Katiba ya CCM haina suala la Ukomo wa muda wa uongozi.

Katiba ya CCM haina suala la Ukomo wa muda wa uongozi.

You are missing the point dude!

Tatizo sio kuwepo au kutokuwepo kwa kipengele.

Tatizo ni utaratibu unaotumika kuingiza na kutoa vipengele pamoja na kauli za UONGO zinazotolewa na viongozi waandamizi wa chama kulaghai watu juu ya utaratibu huo.

Ahadi hizi wewe kama mwanaCCM umezitekeleza?

NYONGEZA "A"
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA
CHA MAPINDUZI
(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni Moja.
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote.
(3) Nitajitolea nafs i yangu kuondosha umaskini, ujinga,
magonjwa na dhuluma.
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu
mwingine kwa faida yangu.
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu
yangu kwa faida ya wote.
(7) Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na r aia
mwema wa Tanzania na Afrika
 
You are missing the point dude!

Tatizo sio kuwepo au kutokuwepo kwa kipengele.

Tatizo ni utaratibu unaotumika kuingiza na kutoa vipengele pamoja na kauli za UONGO zinazotolewa na viongozi waandamizi wa chama kulaghai watu juu ya utaratibu huo.

Kuna busara moja ya Kiingereza nitaitafsiri kwa Kiswahili ieleweke. Inasema "Si kila jambo sahihi ni zuri. Ni busara sahihi kumpatia chakula mtu mwenye njaa kali, lakini chakula hicho kinaweza kumuua kwa vile tumbo likiwa tupu linapaswa kupewa mlo kwa hatua eg kwanza anywe uji wa moto kabla ya mlo..Kwahiyo japo ni sahihi kumpatia mlo mtu mwenye njaa kali, kufanya hivyo kunaweza kuleta matokeo mabaya, yaani kifo cha mwenye njaa kali."

Kwa kuzingatia busara hiyo ya Waingereza, na kwa kupuuzia maajabu ya CCM kusumbuliwa na ukomo wa uongozi,si katika chama chenu, bali Chadema, as long as viongozi waliopo sasa wana-deliver, who gives a sh*t about ukomo wa uongozi wao? Ndio sheria na kanuni ni muhimu lakini what if sheria na kanuni hizo hazitomsaidia Mtanzania kuondokana na CCM? Do you seriously think Chadema wakiamua kufuata demokrasia halisi na hatimaye wakapata Mwenyekiti na mgombea urais John Shibuda kutakuwa na haja ya kufanya uchaguzi mkuu kwa matarajio ya Chadema kuing'oa madarakani CCM?

Mtu hahitaji kuielewa vema taaluma ya siasa kubaini kuwa CCM wangependa sana kuona Chadema sio tu inadhoofika bali pia inakufa kabisa. Pamoja na hujuma kubwa zinazofanywa dhidi ya chama hicho kikuu cha upinzani kwa kutumia vyombo vya dola na mamluki waliopandikizwa Chadema, moja ya matamanio makubwa ya CCM ni kuiona Chadema ikifa kifo cha asili eg iweke ukomo wa uongozi mahiri uliopo madarakani hivi sasa kisha waingie kila Dick,Tom na Harry na hatimaye CCM iiendeshe Chadema kwa remote control.

Ukomo wa uongozi katika taasisi yoyote ile ni maamuzi na maridhiano ndani ya taasisi husika. Kwa hapa Uingereza, taasisi muhimu kabisa ni monarchy. Na tukiamini kuwa Uingereza ni miongoni mwa mataifa yanayoaminika kwa demokrasia duniani,kwanini basi monarchy haina ukomo? Jibu jepesi ni kwamba monarchy inaonekana kuwa na manufaa makubwa kwa taifa hili kuliko hiyo 'demokrasia' ya kila muda flani ya kuwabadili Labour na Conservatives.

Ni upunguani kwa CCM kuhangaika na ukomo wa uongozi huko Chadema ilhali mnashindwa kuleta ukomo wa umasikini wa Mtanzania. Ni uendawazimu kwa CCM kuhangaika na 'matatizo' ya Chadema ilhali Mwenyekiti wenu kishawatahadharisha kuwa mnaweza kung'oka madarakani mwaka 2015.

Sote watafahamu kuwa 'adui mwombee njaa' na unafiki wenu wa kuonyesha mnakerwa na 'kutokuwepo kwa ukomo wa uongozi ndani ya Chadema' au 'kuchakachuliwa kwa katiba ya Chadema' ni desperation tu. Ndio two wrongs dfon't make a right, lakini kama suala ni uchakachuaji basi babu la uchakachuaji ni CCM, na si kwa masuala yake ya ndani tu bali hata kwa taifa kwa ujumla.Hivi sio ninyi mliobadili rushwa na kuiita takrima?

Ukomo wa uongozi katika Chadema or not, katiba iliyochakachuliwa or not, as long as Dkt Slaa na timu yake wanawezxa kuikomboa Tanzania kutoka katika nira ya ufisadi, who gives a damn?

You guys need to get a life!
 
Watu wamekua vipofu kabisa kwa Mbowe,sasa CCM ikiwa haina ukomo ndo CDM isiwe na Ukomo,Chadema si wao ni Mbadala sasa kama Chadema itafanana kila kitu na CCM basi imeshindwa kuwa Mbadala
 
Cdm hakuna kusikiliza kilio cha ccm maana hapo walipo wanalia hasara kwa hela walizowapa hao vibaraka maana mapandikizi yao yamestukiwa. Mbona majuzi cdm walisema wanaanzisha Redbridge kwa mujibu wa katiba yao, ccm na serekali mishipa ikawatoka. Mungu hamfichi mnafiki
 
Si umeonyeshwa pale kila kipindi mchagga akiwa mwenyekiti ukomo hakuna lakini akiingia kabila nyingine anawekewa ukomo tupeni ufafanuzi hapo.


Mods, kumbukeni, maumivu ya kichwa huanza pole pole... Hawa wanaopanda mbegu za ukabila, wakati wanajua kwamba wanachozungumza is cha kweli, wasipochukuliwa hatua sasa, itakuwa ngumu sana kuing'oa mbegu hiyo ikistawi. Mtu kama huyu hatufai kwenye jukwaa la wastaarabu. Please, do the needful.
 


Tunaikomalia Chadema kwa sababu, kilikuwepo na reasons behind tunazijua!, na kilivanish into thin air with specific ill motives behind!.

Pasco.


Ill motives to who? CCM na washirika wake au wana-CDM, Maana hii inaonekana kuwakera wanaCCM kuliko wanaCDM.. :A S 39:
 
Mkuu Pascal Mayalla huwa unaheshimika sana hapa jukwaani na muda mwingine huwa unaongea kwa mafumbo lakini hapa Sidhani kama unaongea kwa parables maana upo clear kuwa CHADEMA imefuta kipengele cha uongozi.

Hili swali aliwahi uliza Nape humu jukwaani na akajibiwa na Dr slaa pamoja na JJ Mnyika kwa hoja na nyaraka kwamba kipengele cha ukomo hakikufutwa ila katika kusaka maoni ya kutunga katiba mpya chini ya Prof Baregu suala hilo halikuwekwa na wanachama.

HIVYO BASI unapojenga hoja kuhusu suala hili usiseme kilinyofolewa bali sema katiba mpya haijazungumzia. Maana mtu anaweza dhani ilifanyiwa amendment ikafuta hiko kipengele.

Pascal upo credible so una uwezo wa kutengeneza au kuharibu so kabla hujachangia lolote keep your facts straight!!

Ni hayo tu mkuu wangu
Mkuu Zitto jnr, kwanza asante for much respect.
Utungaji katiba is a process, kila kilichokuwepo kwenye katiba ya mwanzo, kilikuwepo kwa sababu, unapotunga katiba mpya, kila kitakacho ondolewa lazima kijadiliwe with minutes written down.

Katika huo utunzi wa katiba mpya hakuna minutes zozote kuhusu kipengele hicho, as if it's an oversight, kwa taarifa kipengele hicho ni moja ya misingi mikuu kwa Chadema kuitwa Chama cha Demokrasia, how can katiba ya Chadema iwe silent?.
P
 
Mkuu Zitto jnr, kwanza asante for much respect.
Utungaji katiba is a process, kila kilichokuwepo kwenye katiba ya mwanzo, kilikuwepo kwa sababu, unapotunga katiba mpya, kila kitakacho ondolewa lazima kijadiliwe with minutes written down.

Katika huo utunzi wa katiba mpya hakuna minutes zozote kuhusu kipengele hicho, as if it's an oversight, kwa taarifa kipengele hicho ni moja ya misingi mikuu kwa Chadema kuitwa Chama cha Demokrasia, how can katiba ya Chadema iwe silent?.
P
Unajua pascal unanishangaza sana ni lini ukomo wa madaraka ni indicator ya demokrasia per se?? Russia na Uturuki kulikuwa na ukomo wa madaraka ila umeona watawala walivyouchezea huo mfumo hadi wanabadilisha majina ya vyeo ili waendelee kutawala!!
Mbowe hajakalia kiti kimabavu, licha ya kuwa hakuna term limits ila kuna uchaguzi wa kitaifa kila baada ya miaka 5 sasa kama wanachama wanaona hafai si anakatwa au usipokua na ukomo huwezi angushwa kwa kura??
CCM kwa mfano tu sio kulinganisha ukomo unaweza kuwa by default kila baada ya miaka 5 ila Je umewahi ona nafasi hyo inagombewa?? Zaidi mtu akiwa Rais anapita bila kupingwa sasa hyo ndio demokrasia unayoongelea kwa basing on term limits?? Kenya kuna demokrasia kisa term limits??

Mimi nadhani demokrasia ni suala complex mfano namna kiongozi anavyoingia madarakani na kudhibitiwa na taasisi husika ila sio exclusively term limits ndio hoja ya kuprove hakuna demokrasia hapo ndio mnaoshinikiza hoja hii mnaponitatiza.

Labda kama msomi unajua multiple regression analysis inavyofanya kazi kwenye tafiti basi naomba unisaidie je katika ukomo wa madaraka,uchaguzi huru na haki wa ndani NA kiongozi kufuata sheria zilizowekwa na vyombo husika ndio indicator nzuri zaidi ya demokrasia??

Na kama ni ukomo kwanini ndio more related to democracy kuliko zile variable tatu zingine nlizotaja

Karibu mkuu
 
Unajua pascal unanishangaza sana ni lini ukomo wa madaraka ni indicator ya demokrasia per se?? Russia na Uturuki kulikuwa na ukomo wa madaraka ila umeona watawala walivyouchezea huo mfumo hadi wanabadilisha majina ya vyeo ili waendelee kutawala!!
Mbowe hajakalia kiti kimabavu, licha ya kuwa hakuna term limits ila kuna uchaguzi wa kitaifa kila baada ya miaka 5 sasa kama wanachama wanaona hafai si anakatwa au usipokua na ukomo huwezi angushwa kwa kura??
CCM kwa mfano tu sio kulinganisha ukomo unaweza kuwa by default kila baada ya miaka 5 ila Je umewahi ona nafasi hyo inagombewa?? Zaidi mtu akiwa Rais anapita bila kupingwa sasa hyo ndio demokrasia unayoongelea kwa basing on term limits?? Kenya kuna demokrasia kisa term limits??

Mimi nadhani demokrasia ni suala complex mfano namna kiongozi anavyoingia madarakani na kudhibitiwa na taasisi husika ila sio exclusively term limits ndio hoja ya kuprove hakuna demokrasia hapo ndio mnaoshinikiza hoja hii mnaponitatiza.

Labda kama msomi unajua multiple regression analysis inavyofanya kazi kwenye tafiti basi naomba unisaidie je katika ukomo wa madaraka,uchaguzi huru na haki wa ndani NA kiongozi kufuata sheria zilizowekwa na vyombo husika ndio indicator nzuri zaidi ya demokrasia??

Na kama ni ukomo kwanini ndio more related to democracy kuliko zile variable tatu zingine nlizotaja

Karibu mkuu
Mkuu nakusalimia kutoka Runzewe Geita.
 
Mkuu Pascal Heshima kwako,

Hivi ingetikea yule Mwendazake angefariki 2023 hivi, Aliyepo si angeongoza CCM miaka 12 na zaid kidogo?
Mkuu Zitto jnr, kwanza asante for much respect.
Utungaji katiba is a process, kila kilichokuwepo kwenye katiba ya mwanzo, kilikuwepo kwa sababu, unapotunga katiba mpya, kila kitakacho ondolewa lazima kijadiliwe with minutes written down.

Katika huo utunzi wa katiba mpya hakuna minutes zozote kuhusu kipengele hicho, as if it's an oversight, kwa taarifa kipengele hicho ni moja ya misingi mikuu kwa Chadema kuitwa Chama cha Demokrasia, how can katiba ya Chadema iwe silent?.
 
Mkuu Pascal Heshima kwako,

Hivi ingetikea yule Mwendazake angefariki 2023 hivi, Aliyepo si angeongoza CCM miaka 12 na zaid kidogo?
Not necesarly, kama sasa bado hakuna uthibitisho kama ni lazima atagombea yeye. Ikitokea HIIi ikawa kweli, then October 2025 Maza hagombei!.
P.
 
Haaahaaa nimemjibu hapo juu.
Nimeona mkuu, Mbowe kwa sasa ndio anajiweka wazi kuhusu hiyo nafasi. na sasa kila mtu anajua kwamba zile tuhuma za kubinafsisha chama ni za kweli haiwezekani kila anaegombea nafasi hiyo anakuwa adui wake.
 
Not necesarly, kama sasa bado hakuna uthibitisho kama ni lazima atagombea yeye. Ikitokea HIIi ikawa kweli, then October 2025 Maza hagombei!.
P.

Huu mwaka utakuwa siasa tupu mpaka 2026... If at all...

Wengi tuliojipanga na upepo huu huu akipatikana mtu mwingine kama Bwana yule tumeisha na hatujajipanga😂
 
Back
Top Bottom