Katiba ya CCM haina suala la Ukomo wa muda wa uongozi.

Katiba ya CCM haina suala la Ukomo wa muda wa uongozi.

Chadema uchaguzi wao wa ndani ni baada ya 2015 .Wamekosea kama walikuwa wanadhani wanaweza kupeta kirahisi .Hakuna Uchaguzi wafe tu huko waliko .

Naunga MKONO HOJA! Nashauri chama (CDM)

  1. kifanye tathimini ya kina na kuona kama kuna uwezekano (KIKATIBA) kuahirisha uchanguzi HADI BAADA YA UCHAGUZI MKUU 2015.
  2. Pia CDM kifanye tathimini ya kutosha juu ya mazuri na mabaya ya kuwa na uchaguzi huo 2014
  3. Chama kifanye tathimini juu ya mazuri na mabaya ya kuwa na uchaguzi huo 2015
  4. Tathimini ikiwa CDM itajipanga kufanya uchaguzi wa ndani 2015 wakati huo huo uchaguzi Mkuu 2015 ukiahirishwa kwa mizengwe.
 
Naunga MKONO HOJA! Nashauri chama (CDM)

  1. kifanye tathimini ya kina na kuona kama kuna uwezekano (KIKATIBA) kuahirisha uchanguzi HADI BAADA YA UCHAGUZI MKUU 2015.
  2. Pia CDM kifanye tathimini ya kutosha juu ya mazuri na mabaya ya kuwa na uchaguzi huo 2014
  3. Chama kifanye tathimini juu ya mazuri na mabaya ya kuwa na uchaguzi huo 2015
  4. Tathimini ikiwa CDM itajipanga kufanya uchaguzi wa ndani 2015 wakati huo huo uchaguzi Mkuu 2015 ukiahirishwa kwa mizengwe.
Katiba ikiwa chakachuzi ni fake hivyo hayo maoni yako ni bure kama katiba. yenyewe ni fake.
 
Hahahahhahahaha Matola acha kunivunja mbavu.

Mbona unamchokoza Mzee Bonafide Genuine.

Hahahahahahaha.

We ndenda kijiwe cha Yericko Nyerere cha Lebnan ukapate mpya za leo toka kwa Snake ze Master.

Hahahahahaha

Jason bourne ana matatizo sana, wale waliokuwa wanavutiwa na riwaya zake sasa hivi wote wanajiona wajinga.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Gideon Jeremiah, haki wewe u miongoni mwa wachache mnaipenda Chadema kwa dhati!. Kuna wengi ambao ni wanachama, wapenzi na mashabiki wa Chadema ambao ni wapambe tuu!, hawana lolote wala hawaisaidii Chadema kwa kuiibia nyimba tuu za sifa na mapambio!, mapenzi ya kweli, yanaonyeshwa pale mtu unapoumia mpaka nafsini na moyoni, ukiona chama unachokitegemea kinafanya madudu!, Mwigamba ameibua madai mazito ya msingi, halafu viongozi wanakujsa humu na majibu ya ....(mepesi) halafu mijitu humu inawashangilia!.
Asante tena Gideon Jeremiah.
Pasco.

ukiona kambi ya lowasa inakusifia basi ujue umejinyea, hoja za mwingamba hata jama zingekuwa na maana mara mia bado njia aliyoitumia inamhukumu...
 

Mkuu Mwanaukweli, kila kipengele kinawekwa kwenye katiba for a reason!. Niliwauliuza Chadema what were the reasoms behindi kipengele hicho kuwekwa?.

Kipengele kikishawekwa, kinaweza kuondolewa kama zile sababu hazipo tena!, tena sio kinyemela!.

Tunaikomalia Chadema kwa sababu, kilikuwepo na reasons behind tunazijua!, na kilivanish into thin air with specific ill motives behind!.

CCM inaweza kufanya makosa ya kusema uongo hata mara100 na ikawa not a big deal!, lakini Chadema wakisema uongo hata mara moja tuu, its a big deal!, naamini sababu unazijua!.

Pasco.

Kama kipengele hicho kilikuwepo na kikaondolewa, kwa nini uhoji sababu za kukiondoa wakati hukuhoji sababu za kukiweka? Na kama kuhoji kwa nini siyo vikaoni?
 
Katiba ya Chadema inasema uchaguzi ni kila baada ya miaka 5!, miaka mitano inaisga 2014!, mamlala ya extention mwisho ni mwaka 1!, hivyo ni 2015, baada ya 2015 bila uchaguzi Chadema itakuwa ni illegal party!, piga ua galagaza uchaguzi ni lazima 2014 not beyond, tena tutahakikisha tunashinikiza this time mwenyekiti ni lazima awe Prof. Safari, Arfi or "the one and only best you have!".

Huku sio kuingilia mambo ya ndani ya Chadema, bali kufanya maamuzi fedha zetu zitumikaje?.

Pasco.

mtashinikiza nyie kama akina nani?
 
Kama kipengele hicho kilikuwepo na kikaondolewa, kwa nini uhoji sababu za kukiondoa wakati hukuhoji sababu za kukiweka? Na kama kuhoji kwa nini siyo vikaoni?

Kipengele hicho kiliwekwa wakati Bob Makani alivyokuwa Mwenyekiti. Alivyoingia Mbowe kipengele kikaondolewa.

Nadhani umeshajua sababu ya kukiingiza na kukitoa...
 
mtashinikiza nyie kama akina nani?
Walipafedha za kuiendesha Chadema!.

Mimi kama mlipa kodi, nina haki ya kujua public na private conduct ya kule kodi yangu inakokwenda!.
Chadema is paid my taxpapyers money!, taxpayers have the right to know its conduct!.
Pasco.
 
Hii habari ilikuwemo humu ikatolewa

[wanabidii] UFISADI WA ZITTO ZUBERI KABWE

Wednesday, October 30, 2013​
kauli yake inadhihirsha tabia zake za kisaliti.​
anataka kuficha maovu yake ya kupokea Million 250 CRDB na zile Dolla laki 2 na ushee kupitia German.​
Huyu bwana ni msaliti na kwa wajuzi wa mambo mtaona ni kwanini hakuandamana na dr slaa wakati wa kampeni za urais​
CCM wana mtumia na walishamtumia siku nyingi na innafaa atemwe cheo chake kabla ya 2015 atakiangamiza chama.​
Zito your finished man, nlikuamini lakini baada ya kusoma post inayokuhusu wewe sina imani nawe kanisa​
Umethamini hela kuliko maisha ya sisi walalahoi tunaotegemea ukombozi wa kweli......​

Riporti ya siri inaeleza ukweli 23/6/2008 saa 07:52 ulikutana na kina Wassira na mtu wa usalama wa Taifa sea cliff​
30/6/2008 Ulipokea mshiko wako CRDB Bank kiasi 250Tsh Million.​
Kisha Jumatano ya tarehe 16/12/2009 majira ya saa 13:12 za mchana​
kwa Ujerumani akaunti namba .............................,​
ziliingizwa dola za kimarekani 266,000 pesa hizi katika​
uchunguzi zimebainika kuwa zilitoka Tanzania katika Benki ya​
NMB Dar katika akaunti namba​
.............................. ... yenye jina la TSA,​

Fedha hizo alizichukua ili kutoa taarifa za siri za chadema na aliezipokea kwa niaba yake huko germani ni mwana mama alisoma nae nae akapewa Dola 25,000 kama ahsante...kweli tanzania hatuna wazalendo​

wakatoa na evidence hii Mfano tarehe 7/9/2010 siku ya jumanne saa 11:21 asubuhi,​
...............kupitia namba yake ya simu ya kiganjani​
......................, alimpigia Zitto kupitia simu ya kiganjani namba​
.............................. waliongea mambo mengi japo kwa muda mfupi, na​
jambo kubwa lilikuwa ni "vipi kuna kipya ndani ya Chadema?"​
Zitto alijibu "yapo mengi lakini hayana impact kwa ccm"​

LISEMWALO LIPO NA KAMA HALIPO LAJA.

NIWAULIZE MOOD KWANINI WALITOA HABARI NZIMA ISIACHWE IKASOMWA NA JF TUKAMPIMA ZITO????


nlibahatika kukariri chache.

kwa sasa ipo WANABIDII BLOG: [wanabidii] UFISADI WA ZITTO ZUBERI KABWE
 
FaizaFoxy, kwanza nikupe pole sana kwa 'kukerwa' na mabadiliko ya katiba Chadema.
Usiwe na wasiwasi, hauko peke yako katika kadhia hii, wengi sana kati ya wana-CCM wamekerwa sana na mabadiliko haya.

Hivyo cheer-up, you are not alone in the depth of sorrow..!! Si unajua tena 'kifo' cha wengi harusi...!!
Otherwise, mabadiliko ndio hayo, mkitaka yaondolewe, basi njooni Chadema muwe wanachama ili mpate haki ya kubadili katiba, vinginevyo, tuonane mwaka 2015 kwenye 'mtanange' wa uchaguzi mkuu..!!
Msalimie sana Ritz ingawa naona leo yuko 'mitini'...!!!

sio yuko mitini,inawezekana leo sio zamu yake,siunajua lb7 project wana shift?
 
Mtei alipomkabidhi uenyekiti Bob Makani, katiba ikabadilishwa na kikaingizwa kipengele cha ukomo wa vipindi viwili. Alipokabidhiwa Mbowe uenyekiti, kipengele hicho kikafutwa bila kushirikisha wanachama katika maamuzi hayo!!!​
 
Katiba ikiwa chakachuzi ni fake hivyo hayo maoni yako ni bure kama katiba. yenyewe ni fake.

Na vipi kama mkutano mkuu ukipitisha hili azimio kwa kauli moja bado itakuwa fake?
 
Ukiangalia kwa makini kwa jicho la tatu utagundua madhaifu ya wanaccm kwenye masuala kadhaa ya msingi. 1. Wako radhi wakomae na matatizo ya chadema kuliko walivyo radhi kukomaa na matatizo ya chama chao. CHADEMA ilishatoa ufafanuzi wa swala la katiba, sisi wana CHADEMA wenyewe hatuna mashaka, wao wana mashaka zaidi na sisi kuliko wanavyopaswa kuwa na mashaka na mambo yao. 2. Hawawapendi viongozi wa juu wa CHADEMA hasa mwenyekiti na katibu ambao misimamo yao na utendaji wao umesaidia sana kuikuza CHADEMA. Hawataki kujifunza ili wakinusuru chama chao juu ya kauli za mwenyekiti wao za kuacha rushwa maana kinaenda kufa, hawataki kuumiza kichwa juu ya tuhuma za katibu wao kuhusishwa na ujangili na yeye kukiri. 3. Ccm wana aina ya viongozi ambao wao ndio wana mahaba nao walioko CHADEMA na wanataka wawe kwenye uongozi wa juu wa CHADEMA kuliko viongozi wengine. Sarakasi za upotoshi wa katiba ni kuwatetea watu wao. Ccm hao hao hawana muda kudeal na matatizo ya kiuongozi ndani ya chama chao. Uongozi ndani ya ccm unapatikana kwa mafurushi ya fedha. Hawana muda na hilo ila wana muda na uongozi utakavyo patikana CHADEMA. Mengine yanasikitisha zaidi... Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wewe si mchumia tumbo huko. Ngoja siku wakikubadilikia kwa jina lako tu, ndiyo utakuja kuongea vizuri humu.
 
Hivi neno Chadema liko kwenye ilani ya uchguzi ya CCM? Hivi ni kwa nini CCM hawatekelezi ilani yao ya uchaguzi baadala yake wambaki kuparamia Chadema?

Usishangae Hiroshima,siku ya kufa nyani miti yote huteleza.Huyu nyani anakaribia kufa anadhani akiparamia mti wa chadema atapona kufa lakini haiwezekani,mti wa chadema nao unateleza.
Na pia mfa maji haachi kutapatapa,hivyo ccm wanapoparamia na kupandikiza migogoro ndani ya chadema wanadhani itawasaidia wasife wanajidanganya.WAJIANDAE TU KWENDA KUZIMU KWA JINSI WALIVYOIFILISI NCHI KWA RUSHWA NA UFISADI.
 
Nasikia Kikwete aligombea na Jiwe na kuna wanaccm waliona bora waongozwe na jiwe kuliko Kikwete..
 
Back
Top Bottom