Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huku tunaishi kwa mawazo ya mtu mmoja Rais pekeeMpaka tuamue kwa dhati
Or
Untill the nature decides.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku tunaishi kwa mawazo ya mtu mmoja Rais pekeeMpaka tuamue kwa dhati
Or
Untill the nature decides.
Wadanganye wajinga wenzako, sisi tunaoishi mipakani tunaijua Kenya kuliko weweKabla ya kuwasifia wakenya tujiulize walifikaje hapo... hao majirani wamemwaga damu nyingi kufikia hapo walipo. Udikteta wa enzi za Moi ulikuwa ni mkubwa na viongozi wengi waliompinga walipitia msoto na wengine kuuwawa. Mwaka 2008 tunaukumbuka kwa machafuko ya wao kwa wao na kupelekea vifo vingi sana. Tanzania tupo tayari kupita njia waliyopita? Kuhusu uchumi mnaosema kwamba wako mbali ni stori za Alinacha. Huo uchumi mzuri ni kwa tabaka la wachache nchini Kenya. Wananchi walio wengi wana hali ngumu sana kimaisha kuliko sisi watanzania. Wakenya wanaoingia TZ kihalali na kinyemela ni wengi mno ili kutafuta maisha mazuri. Na hizo sera zao za kibepari zimechangia hali ya usalama Kenya kuwa ni ya kusuasua hasa kwenye mambo ya ugaidi. Kimsingi hakuna mwanausalama au mzalendo yeyote ndani ya Tanzania anayeweza kusikiliza huu ushuzi wa BAVICHA na CHADEMA kwa ujumla. Tanzania iko vizuri kuliko CHADEMA wanavyodhani
Wewe ni wa kupuuzwa. Unajua naishi wapi? Halafu unaweza ukaishi mpakani na bado ukawa mpuuzi tu.Wadanganye wajinga wenzako, sisi tunaoishi mipakani tunaijua Kenya kuliko wewe
Utakuwa na kideri weweWewe ni wa kupuuzwa. Unajua naishi wapi? Halafu unaweza ukaishi mpakani na bado ukawa mpuuzi tu.
Nadhani pia na wewe hujaielewa post yangu.Zinaendeshwa live kwenye TV? Nadhani hujamuelewa mleta uzi
SawaNadhani pia na wewe hujaielewa post yangu.
Ukimuiga tembo kula boga................Tuseme ukweli Kenya wana moja ya Katiba Bora kabisa kwa mazingira ya Afrika.
Yaani ukiangalia Mazingira ya Africa yalivyo basi hawa jamaa wana katiba nzuri sana aangalia Kesi ya BBI yao inaendeshwa live kabisa kila mtu anaweza fuatilia mjadala, huku hata kurecord tu hauruhusiwi kinacho uhusiwa ni kupigapiga picha tu.
Ni lini tutakuwa na hata Robo ya katiba ya hawajirani zetu?
Hapana mkuu. Bado ni: the truth will set us free. Covid haitaki uongo.Covid 19 will set us free. Covid 19 best liberator ever.
Tuseme ukweli Kenya wana moja ya Katiba Bora kabisa kwa mazingira ya Afrika.
Yaani ukiangalia Mazingira ya Africa yalivyo basi hawa jamaa wana katiba nzuri sana aangalia Kesi ya BBI yao inaendeshwa live kabisa kila mtu anaweza fuatilia mjadala, huku hata kurecord tu hauruhusiwi kinacho uhusiwa ni kupigapiga picha tu.
Ni lini tutakuwa na hata Robo ya katiba ya hawajirani zetu?
Wafuasi wa CHADEMA ndo mlivyo na akili zenu za ovyoUtakuwa na kideri wewe
Sawa mkuuWafuasi wa CHADEMA ndo mlivyo na akili zenu za ovyo
Kesi ngapi tumeshazishuhudia zikiwa live?hiyo case ya yule askari aliyemuua yule mmarekani mweusi , ilikuwa ni DRC?USA lini walianza kuonesha proceedings za mahakama live ,kuwa na akili japo kibaba tu.
USSR
Nchi ya wanyonge au nchi ya Siri?Kwetu kila kitu ni siri kuanzia mikataba ni siri posho ni siri salary ni siri nchi ya wanyonge
Mkuu wew kwanini hutaki katiba mpya? Au hii iliyopo hujaona mapungufu yake?Hela ya kula huna unakimbilia katiba italeta ugari kwenu
USSR
Tanzania ni Noth Korea ya Afrika .......!!We naye unachekesha!!ina maana huo uhuru wa kuonyesha matukio ya mahakamani live ni kutokana na technology!??basi kama ni hivyo mbona hapa hata kurecord tu matukio mahakamani huku kesi ikiwa inaendelea hata kwa kutumia simu tu ni kosa?!kenya wana matatizo yao lakini kwenye uhuru wako mbali sana!!sisi kila kitu utaambiwa ni kutokana na sababu za kiusalama, ina maana kwenye level ya usalama tuko pabaya zaidi hata ya USA?!!