Katiba ya Kenya: Kesi zinaendeshwa live, huku itatuchukua miaka 200 kufika

Katiba ya Kenya: Kesi zinaendeshwa live, huku itatuchukua miaka 200 kufika

Wewe ni wa kupuuzwa. Unajua naishi wapi? Halafu unaweza ukaishi mpakani na bado ukawa mpuuzi tu.
Ukweli Kenya inayo midddle class kubwa ambayo inafaidi uchumi wa kati. Maskini pia wapo kama ilivyo dunia nzima hasa Afrika.
 
Hapana mkuu. Bado ni: the truth will set us free. Covid haitaki uongo.
Tatizo ccm mabingwa wa frustrating/dashing hopes na aspirations za watanzania hadi heavenly intervation. God works in mysterious ways ikiwemo kushusha plague kama ilivyo hadithiwa kweye biblia.
 
Hizo ni mbembwe tu hapa Tanzania kama hufahamu kesi zote isipokuwa zinazohusiana na maswala nyeti ya usalama wa nchi au ubakaji wa mtoto mdogo Kila mtu anaruhusiwa kwenda kusikiliza.

Hakuna mtu anakatazwa kuingia mahakamani na kusikiliza kesi.
Kenya sio kwenda kusikiliza bali inarushwa live
 
Unajua tofauti ya kusikilizwa na kuonyeshwa live kwenye TV?
Hizo ni mbembwe tu hapa Tanzania kama hufahamu kesi zote isipokuwa zinazohusiana na maswala nyeti ya usalama wa nchi au ubakaji wa mtoto mdogo Kila mtu anaruhusiwa kwenda kusikiliza.

Hakuna mtu anakatazwa kuingia mahakamani na kusikiliza kesi.
 
Sasa hivi Statesman tena umerudi kuwa stroke?!
Hizo ni mbembwe tu hapa Tanzania kama hufahamu kesi zote isipokuwa zinazohusiana na maswala nyeti ya usalama wa nchi au ubakaji wa mtoto mdogo Kila mtu anaruhusiwa kwenda kusikiliza.

Hakuna mtu anakatazwa kuingia mahakamani na kusikiliza kesi.
 
Hatutaki katiba ambayo mtu akiamka anaagiza Ndege kwa casha Uraya, anaamua kujenga Airport kijijini kwake, anatumia kodi za wananchi kununulia korosho n.k
Hakuna mtu aliyezaliwa ili awe mfalme.Binadamu wote ni sawa.
Samahani mkuu ila siasa za kenya ni za Inner Circles. Kila sehemu katika taaisi za uma kuna wakuu ambao wana weza hata kum challenge mkuu wa nchi. Hiyo ni demokrasia iliyopitiliza mipaka.

Kwa yanayoendelea kenya ni udhalilishaji wa raisi na serikali kwa ujumla. Natoa rai katiba tuliyo nayo ibaki hivo hivo.

Nchi kama kenya imejiingiza kwenye mtego wa public participation itafika mda nchi itashindwa kutawalika kwani kila mtu ana mamlaka.

The King Do No Wrong ndio msingi wa katiba ya Jamuhuri yetu kubali kataa na ni bora iwe hivo kuliko kuwa na katiba chama la wana kama kenya hakuna mtu mwenye mamlaka kamili.

Ni sawa na mtu utakuwa baba gani wakati kila ukiamua kitu mke anakupinga na watoto wanakupinga.
 
Hatutaki katiba ambayo mtu akiamka anaagiza Ndege kwa casha Uraya, anaamua kujenga Airport kijijini kwake, anatumia kodi za wananchi kununulia korosho n.k
Hakuna mtu aliyezaliwa ili awe mfalme.Binadamu wote ni sawa.

Hicho kijiji pia ni sehemu ya tanzania mkuu na pia naona hoja zako zina toa lawama juu ya mtu fulqni na sio kwa maslahi mapana kwa wote.
 
Vijiji vyote vijengewe airport kwa sababu ni sehemu ya Tanzania
Hicho kijiji pia ni sehemu ya tanzania mkuu na pia naona hoja zako zina toa lawama juu ya mtu fulqni na sio kwa maslahi mapana kwa wote.
 
Back
Top Bottom