Samahani mkuu ila siasa za kenya ni za Inner Circles. Kila sehemu katika taaisi za uma kuna wakuu ambao wana weza hata kum challenge mkuu wa nchi. Hiyo ni demokrasia iliyopitiliza mipaka.
Kwa yanayoendelea kenya ni udhalilishaji wa raisi na serikali kwa ujumla. Natoa rai katiba tuliyo nayo ibaki hivo hivo.
Nchi kama kenya imejiingiza kwenye mtego wa public participation itafika mda nchi itashindwa kutawalika kwani kila mtu ana mamlaka.
The King Do No Wrong ndio msingi wa katiba ya Jamuhuri yetu kubali kataa na ni bora iwe hivo kuliko kuwa na katiba chama la wana kama kenya hakuna mtu mwenye mamlaka kamili.
Ni sawa na mtu utakuwa baba gani wakati kila ukiamua kitu mke anakupinga na watoto wanakupinga.