Katiba ya Kenya: Kesi zinaendeshwa live, huku itatuchukua miaka 200 kufika

Wadanganye wajinga wenzako, sisi tunaoishi mipakani tunaijua Kenya kuliko wewe
 
Kuendesha Kesi Live mpaka Katiba iseme ?
 
Ukimuiga tembo kula boga................
 

Bila uchumi yote hayo n maigizo!!
Bado kenya n poor n its going no where with american democracy

Ilikua footprint ya USA SASA INAKUA YA CHINA!!
Huwezi chukua mbinu za adui yako utegemee kumshinda!!
I love china lol! They have their own system n now catching Us n toning the west
 
KUNA MPUUZI MMOJA ALIAMRISHA BUNGE LIONYESHWA USIKU TU KATIBA MPYA NI MUHIMU USSR
 
Mimi nina imani ya dhati katiba mpya itapatikana Tanzania, tena ile tuitakayo. Kama Jiwe alikata moto pasi watu kutarajia ikiwa yeye mwenyewe alishajipa hakika ya kutawala kwa muda mrefu sana basi hata katiba itapatikana.
Inawezekana isiwe kupitia kwa huyu mama (kwa mipango ya Mungu labda na yeye transitional president tu wa kutuliza uharibifu wa Jiwe) lakini katiba mpya itapatikana.
 
USA lini walianza kuonesha proceedings za mahakama live ,kuwa na akili japo kibaba tu.

USSR
Kesi ngapi tumeshazishuhudia zikiwa live?hiyo case ya yule askari aliyemuua yule mmarekani mweusi , ilikuwa ni DRC?
 
Samahani mkuu ila siasa za kenya ni za Inner Circles. Kila sehemu katika taaisi za uma kuna wakuu ambao wana weza hata kum challenge mkuu wa nchi. Hiyo ni demokrasia iliyopitiliza mipaka.

Kwa yanayoendelea kenya ni udhalilishaji wa raisi na serikali kwa ujumla. Natoa rai katiba tuliyo nayo ibaki hivo hivo.

Nchi kama kenya imejiingiza kwenye mtego wa public participation itafika mda nchi itashindwa kutawalika kwani kila mtu ana mamlaka.

The King Do No Wrong ndio msingi wa katiba ya Jamuhuri yetu kubali kataa na ni bora iwe hivo kuliko kuwa na katiba chama la wana kama kenya hakuna mtu mwenye mamlaka kamili.

Ni sawa na mtu utakuwa baba gani wakati kila ukiamua kitu mke anakupinga na watoto wanakupinga.
 
Tanzania ni Noth Korea ya Afrika .......!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…