Katiba ya Tanzania ni bora zaidi ya Katiba ya Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla

Katiba ya Tanzania ni bora zaidi ya Katiba ya Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla

Kenya wakuu wa mikoa na wilaya hawateuliwi kichawa, wanagombea na kupigiwa kura na wananchi .
Jambo la maana sana
 
kwa mfano katiba ya Kenya ya 20210 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Marekebisho yepi yataje ikiwo kuitambua Tanganyika. Wabunge wa Zanzibar wenye Bunge lao wanakuja Tanganyika kujadili nn! Nchi mbili ziliungana n ipi na ipi zikowapi nani Rais wake. Na kama ziliungana mbona siyo nchi moja? Na kama ziliungana mbona waZanzibar wanatuita wa bara wahamiaji?
 
Nan anaburuzwa?

Kwahiyo hicho ndo kinafanya katiba iwe mbovu??

Kwahiyo matatizo katika utendaji ndo yanafanya katiba kuwa mbovu??

Kwanza ulishawah kuisoma hiyo katiba yenyewe au unabwabwaja tu hapa?
ndiyo,
utendaji wa Rais na Makamu Rais unafaa kua defined clearly bila contradictions kwenye katiba, vinginevyo ndiyo hayo matatizo kila baada ya uchaguzi Kenya kwasabb ni utata mtu...

Tanzania umeshawahi kuona Rais na Makamu wake wanazodoana huko mtaani kwenye majukwaa ya kisiasa, huku wote wakiwa wa chama kimoja?
Ni kwasabb wajibu na majukumu yao mazito yameelezwa vyema kwenye katiba bora zaidi Africa Mashariki ya Tanzania...

unadhani ingekua katiba mbovu kama ya Kenya kuhusu wajibu na majukumu ya Rais na naibu wake tungekua tupo na maendeleo, mathalani haya ya bwawa la mwalimu Nyerere, SGR, Mapinduzi ya kilimo na biashara kubwa kama ilivyo sasa?

si tungalikua tuna vutana tu Raisi anavutia huku Naibu Rais ana vutia kule, hiyo si useless kabisa gentleman? 🐒
 
ndiyo,
utendaji wa Rais na Makamu Rais unafaa kua defined clearly bila contradictions kwenye katiba, vinginevyo ndiyo hayo matatizo kila baada ya uchaguzi Kenya kwasabb ni utata mtu...

Tanzania umeshawahi kuona Rais na Makamu wake wanazodoana huko mtaani kwenye majukwaa ya kisiasa, huku wote wakiwa wa chama kimoja?
Ni kwasabb wajibu na majukumu yao mazito yameelezwa vyema kwenye katiba bora zaidi Africa Mashariki ya Tanzania...

unadhani ingekua katiba mbovu kama ya Kenya kuhusu wajibu na majukumu ya Rais na naibu wake tungekua tupo na maendeleo, mathalani haya ya bwawa la mwalimu Nyerere, SGR, Mapinduzi ya kilimo na biashara kubwa kama ilivyo sasa?

si tungalikua tuna vutana tu Raisi anavutia huku Naibu Rais ana vutia kule, hiyo si useless kabisa gentleman? 🐒
Tabia za watu unaingiza kwenye katiba? Kwani make na mume na kila mmoja ana majukumu yake huwa hawazodoani?
 
Marekebisho yepi yataje ikiwo kuitambua Tanganyika. Wabunge wa Zanzibar wenye Bunge lao wanakuja Tanganyika kujadili nn! Nchi mbili ziliungana n ipi na ipi zikowapi nani Rais wake. Na kama ziliungana mbona siyo nchi moja? Na kama ziliungana mbona waZanzibar wanatuita wa bara wahamiaji?
hayo yote unayozungumza nadhani hakuna linalohitaji marekebisho wala mabadiliko yoyote,
ispokua panahitajika kutolewa elimu, ufahamu na uelewa wa kutosha kwasabb hiyo tu ndiyo changamoto ya msingi,

kazi ambayo wabobevu tena kwa kujitolea tutaifanya bila gharama wala mbambamba yoyote..

nadhani kidogo sana yanahitajika marekebisho na mabadiliko makubwa kwenye sheria zinazohusu mambo ya maendeleo ya wananchi, mathalani kwenye kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara na huduma msingi muhimu za kijamii kama vile elimu, afya, maji nk. huko ndiko ambako nadhani ni muhimu zaidi kwa mabadiliko 🐒
 
kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Umeamka na hangover au ndio umetoka bar saa hii. Ni utumbo gani huu umeandika ? Hii katiba yenye viraka unaweza kufananisha na katiba ya hapo kenya tu ? Kwa jinsi ilivyo mbovu hata chama tawala chenyewe hakiiheshimu hukuna accountabiliy. Chawa
 
Tabia za watu unaingiza kwenye katiba? Kwani make na mume na kila mmoja ana majukumu yake huwa hawazodoani?
kwahiyo unaleta tabia yako binafsi na ya familia yako kwenye uongozi wa nchi, right?🤣

kwahiyo mambo ya mke wako na mume wako yametamkwa kwenye katiba 🤣

ebu elezea mambo ya uongozi wa nchi kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau gentleman, hayo ya tabia binafsi za mke na mume mfanye huko chumbani na kwenye familia yenu.

Mambo ya kitaifa ni kwa maslahi mapana ya Taifa 🐒
 
Matokeo ya Urais hayapingwi Mahakamani.
Rais ana madaraka ma
kubwa sana, yani alitoka Mungu anafatia yeye.
Makada wa chama (ma DC) wanafanya kazi za chama kulipwa Kwa fedha na rasilimali za walipa kodi. Huu ni mzigo mkubwa kwa Wananchi.
Mihimili yote haina maana inamuabudu Rais.
Katiba ya Kenya ni Bora mara elfu kuliko ya Tanzania.
 
Kiufupi ni kuwa wakenya na Kenya wana Mengi sana ya kujifunza kutoka Tanzania.ila sisi tuna machache sana ya kujifunza kutoka kwao hususan mchezo wa Riadha😀😀😀
Naona mambumbumbu mmeamua kuunganisha nguvu kwenye ujinga.

ECONOMIC RACE IMF points Kenya as East Africa's largest economy. Tanzania's $85bn GDP will rise to $136bn by 2028 while Kenya's $118.1bn will hit $151bn.

Note: idadi ya Wakenya in 2022 ilikuwa 52m, Tanzania 60m. Na Tamzania ina ukubwa wa eneo mara 1.6.
 
Nikuulize swali moja, ni kwanini mahakama ya kikatiba hajawahi kufanya kazi Tanzania? Ukinijibu ndio nitajua Kama unauhakika na unachokizungumza.
kutokana na ubora na umadhubuti wa katiba yetu ya 1977, hapakua na haja, umuhimu wala sababu ya chombo hicho kufanya kazi kutokana na umakini wa katiba hiyo ulivyo.

na uwezekano wa changamoto za kikatiba hazikuwepo kabisa kutokana na utaalanmu wa sheria zilizopo kwenye katiba hiyo, ukilinganisha na sasa labda yapo mawazo ya madai ya hiyo kitu kufanya kazi ingawa hakuna mashishiko sana..

hata hivyo,
mahakama zilizopo zinaweza kutumika kutatua na kutafutiwa ufumbuzi masuala mbalimbali yanayofanana na hayo kwasabb zimepewa nguvu ya kisheria kufanya hivyo na katiba yenyewe,

kupanga ni kuchagu,
infact, licha ya mahitaji hayo bado si muhimu kiviiile. Na katiba ya Tanzania ni bora zaidi ya ya Kenya na nchi nyingine yoyote Africa Mashariki 🐒
 
kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Yaani kuna watu vichaa sana

CCM wote wana vichaa
 
Yaani kuna watu vichaa sana

CCM wote wana vichaa
sasa muerevu mwenye changamoto ya afya ya akili umefikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala na umebaki na mihemko tu dah? sasa itakuaje 🤣
 
Umeamka na hangover au ndio umetoka bar saa hii. Ni utumbo gani huu umeandika ? Hii katiba yenye viraka unaweza kufananisha na katiba ya hapo kenya tu ? Kwa jinsi ilivyo mbovu hata chama tawala chenyewe hakiiheshimu hukuna accountabiliy. Chawa
sasa gentleman, kama umeamka na umeshatoa Loki na kisungura,

si ungeandika maini sasa ya maana kwa faida ya wadau kuliko mihemko na makasiriko yasiyo na maana yoyote 🤣

Kenya itafika 2027 uchaguzi mkuu na hakuna kitu watakua wamefanya kwajili ya wananchi wao kutokana na ubovu wa katiba yao ambayo imewafanya kila moja ajione mbabe zaidi ya mwenzake lakini pia kila moja ajione ana haki kuliko mwingine 🐒
 
Back
Top Bottom