Katiba ya Tanzania ni bora zaidi ya Katiba ya Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla

Katiba ya Tanzania ni bora zaidi ya Katiba ya Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla

kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
KATIBA YA KENYA NA TANZANIA ZOTE NI UPUMBAVU TU NI KAJITABU KA KUCHAMBIA TU (Saa mia voice)
Ya kenya ni kinyesi ya tanzania ni uharo

KATIBA YOYOTE ISIYO ZUIA WANASIASA KUWA WAPIGA KURA KAMWE HAIWEZI KUWA NZURI ...KUNA MAMBO MENGI ILA ILI LA WANASIASA KUZUIWA KUPIGA KURA KWENYE CHAGUZI KUU NI LA MSINGI SANA KAMA MNAYO AKILI MTAJUA KWANINI NINASEMA HIVI ....KAMWE WANASIASA WASIRUHUSIWE KUWA WAPIGA KURA KWENYE CHAKUZI KUU ZOZOTE ZILE ZA KISERIKALI. kama kuchagua RAIS,WABUNGE,MADIWANI NK hivyo vitafanya vyama vya siasa kuwa na watu wachache makini na kuleta umoja wa kitaifa siyo kama sasa kuna daraja za watanzania serikali imeacha kutumikia taifa inatumikia wanachama wa ccm...na kubagua wasio ccm na wasio wana siasa
 
Matokeo ya Urais hayapingwi Mahakamani.
Rais ana madaraka ma
kubwa sana, yani alitoka Mungu anafatia yeye.
Makada wa chama (ma DC) wanafanya kazi za chama kulipwa Kwa fedha na rasilimali za walipa kodi. Huu ni mzigo mkubwa kwa Wananchi.
Mihimili yote haina maana inamuabudu Rais.
Katiba ya Kenya ni Bora mara elfu kuliko ya Tanzania.
hizo ni dosari na kasoro ndogo mno ambazo kwa maoni yangu licha ya uwepo wake zimesaidia pakubwa sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na usalama wa Taifa letu. na nadhani kama kuna marekebisho eneo hilo basi yatakua madogo mno na nafasi hizo zitaendelea kuwapo...

kuhusu matokeo ya urasi kupingwa mahakamani nadhani nalo si muhimu sana na hasa ukizingatia nia na dhamira ya watu wanao dai na kupambana jambo hilo jepesi na lisilo na muhimu sana, hata hivyo nalo nadhani kama kuna marekebisho, basi yatakua ni madogo tu na mahakama nyingine zinaweza kupewa uwezo wa kuskiza kesi hizo...

Mamlaka ya Rais yanapotoshwa tu na wenye nia ovu na mustakabali mwema wa siasa na demokrasia ya nchi yetu. Mamlaka ya Rais Tanzania, Africa na duniani kote yako sawa na kwa sehemu kidogo sana yametofautiana na kwahivyo hiyo sio changamoto hata kidogo Tanzania...

Taifa letu la Tanzania lina katiba bora zaidi Africa Mashariki na ndio maana amani, utulivu na umoja wetu ni Imara zaidi kadiri siku zinavyokwenda 🐒
 
Kiufupi ni kuwa wakenya na Kenya wana Mengi sana ya kujifunza kutoka Tanzania.ila sisi tuna machache sana ya kujifunza kutoka kwao hususan mchezo wa Riadha😀😀😀
Naona unabubujikwa kwa ujinga, next ufiche utaabika mbele ya watu wazima
 
KATIBA YA KENYA NA TANZANIA ZOTE NI UPUMBAVU TU NI KAJITABU KA KUCHAMBIA TU (Saa mia voice)
Ya kenya ni kinyesi ya tanzania ni uharo

KATIBA YOYOTE ISIYO ZUIA WANASIASA KUWA WAPIGA KURA KAMWE HAIWEZI KUWA NZURI ...KUNA MAMBO MENGI ILA ILI LA WANASIASA KUZUIWA KUPIGA KURA KWENYE CHAGUZI KUU NI LAMSINGI SANA KAMA MNAYO AKILI MTAJUA KWANINI NINASEMA HIVI ....KAMWE WANASIASA WASIRUHUSIWE KUWA WAPIGA KURA KWENYE CHAKUZI KUU ZOZOTE ZILE ZA KISERIKALI. kama kuchagua RAIS,WABUNGE,MADIWANI NK hivyo vitafanya vyama vya siasa kuwa na watu wachache makini na kuleta umoja wa kitaifa siyo kama sasa kuna daraja za watanzania serikali imeacha kutumikia taifa inatumikia wanachama wa ccm...na kubagua wasio ccm na wasio wana siasa
Relax gentleman kua na staha kidogo kwa faida ya family hii pana sana JF...

kua mstahimilivu na mwenye subra tu, naona una wazo jipya, wakati muafaka utaliwasilisha..

vinginevyo,
Tanzania hakuna ubaguzi wa vyama, ukabila, rangi au dini wakati wa uchaguzi na kwenye utoaji wa huduma muhimu za kijamii kama vile afya, elimu, maji n.k
hii inatufanya kama Taifa kua bora zaidi na wenye katika muhimu sana zaidi ya Kenya na Africa Mashariki kwa ujumla 🐒
 
Ni ukichaa kufananisha Katiba ya 1961 na katiba ya 2010 na kudai eti ya 1961 ni bora kuliko 2010.

Huo ni ukichaa grade A
ndio uone sasa katiba ya Kenya ya majuzi ni chakavu na mbovu isiyofaa utadhani ni ya mwaka 1919 kumbe ni 2010 tu hapo majuzi,

lakini katiba ya Tanzania ya 1977 ni bora na nzuri zaidi utadhani imeundwa mwaka jana kumbe inazidi ya miaka50 dah. Tanzania imependelewa sana na Mungu 🐒
 
kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mimi naamini kuna kutumia akili na kutumia mahaba,yaani unakipenda kitu mpaka akili yako unaiweka pembeni,halafu bila kujua kuna watu na wewe wanakutumia sababu ya maslai yao,wanatamani uendelee kuwa mjinga ili waendelee kuinyonya inchi yako
Mreta maada utachagua mwenyewe uko kundi gani
 
Mimi naamini kuna kutumia akili na kutumia mahaba,yaani unakipenda kitu mpaka akili yako unaiweka pembeni,halafu bila kujua kuna watu na wewe wanakutumia sababu ya maslai yao,wanatamani uendelee kuwa mjinga ili waendelee kuinyonya inchi yako
Mreta maada utachagua mwenyewe uko kundi gani
Infact,
niko kwenye kundi la katiba bora na nzuri, ya kistaarabu na makini mno ya Tanzania,

najaribu kuwafahamisha ninyi wenye mahaba ya kupitiliza ati Tz nasi tuwe na katiba mpya mbovu inayofanana na ile ya kenya ambayo inawaletea matatizo makubwa mno hao majirani zetu 🐒
 
kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Je, una uhakika kwamba hauugui kichaa?
 
Je, una uhakika kwamba hauugui kichaa?
gentleman,
tafadhali sana naomba upitilize moja kwa moja hosipitalini kwa mtaalamu wa matatizo ya afya ya akili usipitie kwingineko hali yako itakua mbaya zaid, aise dah pole sana aise 🐒
 
kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mpumbavu mkubwa wewe!
 
ndio uone sasa katiba ya Kenya ya majuzi ni chakavu na mbovu isiyofaa utadhani ni ya mwaka 1919 kumbe ni 2010 tu hapo majuzi,

lakini katiba ya Tanzania ya 1977 ni bora na nzuri zaidi utadhani imeundwa mwaka jana kumbe inazidi ya miaka50 dah. Tanzania imependelewa sana na Mungu 🐒
Nikwambie kitu

Uzuri NO ONE will ever Believe this nonsense unayosema hapa

Unajifurahisha tu maana you are full of shit
 
Nikwambie kitu

Uzuri NO ONE will ever Believe this nonsense unayosema hapa

Unajifurahisha tu maana you are full of shit
no gentleman,

amini Mungu Pekee,

achana na hayo maushirikina yako, ramli, makasiriko na mihemko useless kabisa 🤣

kaa kimya huna hoja alaa 🐒
 
no gentleman,

amini Mungu Pekee,

achana na hayo maushirikina yako, ramli, makasiriko na mihemko useless kabisa 🤣

kaa kimya huna hoja alaa 🐒
Siamini hata huyo Mungu wako unaedai ni wa kweli and blah blah

Keep him for yourself

Siamini mungu wala shetani,altogether

Uzuri unajitekenya na kujichekesha mwenyewe...who cares!

MaCCM bwana.....

Yaani u think kuna watoto humu wakusikilize this nonsense you are spewing here?
 
kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo...

mbaya zaidi,
inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana misuli baina ya Rais na naibu wa Rais..
Naibu wa rais na Rais wanahujumiana hadharani katika kusukuma agenda ya maendeleo kwa wanchi. lakini pia maseneta kwenye baraza lao la seneti wanaweza kuamua tu kwa chuki binafsi na bila sababu yoyote ya msingi wakaanzisha mchakato wa kumbandua governor madarakani, sasa hiyo katiba ina ubora gani?

hivi sasa kuna minong'ono ya mchakato wa kumbandua naibu wa Rais kwenye nafasi yake. Mwenyewe kaishtukia anagomba mno na amekua mkali mno, anadai kwamba hayupo wa kumfanya chochote. hivi kuna kazi ya maendeleo itafanyika kwenye? Serikalini za majimbo ni hovyo kabisa, yaani governor anaweza kumzodoa au kumdindia Rais hadharani kabisa Kenya.
na yote haya ni ubovu wa katiba yao ya 2010..

kwa ujumla katiba yao haiwapi fursa na muda wa kutosha kwa viongozi wa kisiasa kupanga mipango ya maendeleo, kuwatumika wananchi na kuwaletea maendeleo endelevu, zaidi ya kuchochea mafarakano tu, hususani baina ya viongozi hao wawili kwa uchache huku kila moja akijivunia wingi wa kura alizochangia ili kushinda uchaguzi na kuunda serikali, wenye sura ya ukanda na ukabila..

kadhalika,
mihimili mingine ya dola katika serikali Kenya, yaaani bunge na mahakama iko tu kwaajili ya kuchelewesha, kukwamisha au kuzorotesha majukumu ya serikali kuu, taasisi au mamlaka za serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi, kwa kisingizio cha uhuru au haki, ambayo haina faida ispokua maumivu zaidi na ugumu wa maisha ya kwa wa Kenya...

Wakenya wanaharibu miundombinu na samani za nchi yao wenyewe, walizo zigharamikia wao wenyewe kwa gharama kubwa sana kwa kisingizio cha eti ni uhuru na haki ya kikatiba. hiyo ni akili ama nini ndrugu zango? Yaani kuharibu na kujitengenezea maisha magumu zaidi ndio katiba bora, kweli?

Nadhani Taifa la Tanzania halina cha kuiga, wala kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya majirani zetu wa Kenya. Katiba ya Tanzania ni bora, inajitosheleza na ni ya kistaarabu zaidi Africa Mashariki nadhani katiba nyingine si muhimu saaaana kihivyo ila marekebisho kidogo tu ni sawa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Katiba ya Kenya inawalazimisha wagombea urais wawe ni sehemu ya chama cha siasa, wakenya hawalazimishi wanasiasa wao kuwa sehemu ya vyama vya siasa.

Akijisikia mgombea anakwenda chama chochote kwa nia zake binafsi za kuutaka urais bila ya kutazama kama misingi ya chama hicho inakwenda sawa na kile anachokiamini. Wapo kibinafsi zaidi na hawaaminiani wao kwa wao.

Suala la bandari kabla halijapitishwa na CCM Samia aliitwa na wazee wa Chama aelezee kwa kina kitu gani kinachokwenda kufanyika, ikabidi amuandae Hamza Johari ili aweze kulitetea hilo suala mbele ya wazee wa CCM. Ikabidi amwage shule na wazee wakalielewa ndio likaweza kukubaliwa na akaruhusiwa huyo mwekezaji afanye huo uwekezaji.
 
Kwa nchi inavyojiendea unashangaa hata Tlaatlaah ana nafasi ya uongozi. Kwanini watu wasipotee? Ila watu kama hawa tulizaliwa nao, tulisoma nao, tunacheka nao. Ni walewale wa kujipendekeza. Unakuta jibaba marafiki zake wote Ni wanawake, hawezi kutofautisha jema au baya.
 
Katiba ya Kenya inawalazimisha wagombea urais wawe ni sehemu ya chama cha siasa, wakenya hawalazimishi wanasiasa wao kuwa sehemu ya vyama vya siasa.

Akijisikia mgombea anakwenda chama chochote kwa nia zake binafsi za kuutaka urais bila ya kutazama kama misingi ya chama hicho inakwenda sawa na kile anachokiamini. Wapo kibinafsi zaidi na hawaaminiani wao kwa wao.

Suala la bandari kabla halijapitishwa na CCM Samia aliitwa na wazee wa Chama aelezee kwa kina kitu gani kinachokwenda kufanyika, ikabidi amuandae Hamza Johari ili aweze kulitetea hilo suala mbele ya wazee wa CCM. Ikabidi amwage shule na wazee wakalielewa ndio likaweza kukubaliwa na akaruhusiwa huyo mwekezaji afanye huo uwekezaji.
una logic na mantiki nzito na ya maana sana gentleman,
kwa faida ya wadau wote na kwa ustawi wa demokrasia na katiba yetu 👊💪
 
Back
Top Bottom