katiba ya ukweli ni ipi?

wesele

Member
Joined
May 22, 2013
Posts
31
Reaction score
3
Katiba ya ukweli ni ile isiyokuwa na wingi wa wanasiasa bali wingi wa wananchi .
 
Nafikiri katiba ya kweli ni ya kuchukuliwa hatua viongozi wanaobainika ni wezi serikalini na kuwanyonga hadharani bila kujali wadhifa wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…