eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
CCM inaipinga katiba mpya kwa nguvu zote. Kwa sasa hatuna katiba na ndio unamwona Magufuli anasema mahakama nyang'anya pesa watu wote washitakiwao, kisha anakuja Samia na kusema futa kesi zote na warudishie pesa zao. Magufuli anasema atakaekubali masharti ya ujenzi wa bandari ya bagamoyoni Mwendawazimu, anakuja Suluhu anasema ni anza ujenzi. Katiba haitapatikana kwa maombi, bali kwa gharama kubwa sana.
Hivi umepitia vizuri hoja yangu niliyomuuliza mtoa mada?