CCM inaipinga katiba mpya kwa nguvu zote. Kwa sasa hatuna katiba na ndio unamwona Magufuli anasema mahakama nyang'anya pesa watu wote washitakiwao, kisha anakuja Samia na kusema futa kesi zote na warudishie pesa zao. Magufuli anasema atakaekubali masharti ya ujenzi wa bandari ya bagamoyoni Mwendawazimu, anakuja Suluhu anasema ni anza ujenzi. Katiba haitapatikana kwa maombi, bali kwa gharama kubwa sana.
Hivi umepitia vizuri hoja yangu niliyomuuliza mtoa mada?
Si ndio nikwambia tafiti utazikuta pale maktaba ya UDSM? Kama una usingizi lala, siyo lazima uendelee kumwaga pumba zako hapa.
Umekwishajibiwa. Nenda library ya UDSM hapo. Kuna dissertations kibao. Hamu yako ya tafiti itakatwa.
authority?
Authority gani? Hii ya CCM na wizi wa kura?
Anamfananisha wakili Msomi Hashim Rungwe na Vitu vyanHovyoSasa Hashim Rungwe na Mwendazake yupi angefaa??..why ulete dharau kwa Hashim Rungwe?
Matusi ndiyo jadi yenu. Wee lete huo utafiti kama utaniona nakunanga kiasi hiki.
Katiba mpya si hitaji la watanzania walio wengi.....Amka, amka, usilale...Katiba mpya inakuja hiyo. Tafuta kazi nyingine kama kula yako kunategemea katiba mbovu ya sasa.
Hakika πKwanza weka chanzo cha hiyo riwaya yako, pili hiyo ni hypothesis au thesis? tatu huwezi kutoa shutuma kwa katiba yetu bila kuwa na hoja dhahiri na kufanya upembuzi yakinifu kuthibitisha huo ubovu unaodai kwa kiwango hicho cha kimataifa. Wasiwasi wangu hujawahi isoma katiba na hujui sayansi na falsafa ya katiba. Ni kweli tunahitaji mabadiliko yatakayochochea demokrasia na ustawi wa taifa, lakini si lazima sana katiba mpya.
Aitoe wapi?!!Suala ninalohoji, umejuaje kama Tanzania ina katiba mbovu kuliko zote?
Leta Taarifa ya utafiti wako.
Kwani Magu anasemaje huko motoniMwana JF,
Hebu fikiria hili. Katiba yetu inasema Tume ya Uchaguzi ikishamtangaza mtu hakuna mtu anaruhusiwa kupinga matokeo mahakamani. Ulishafikiria siku mwenyekiti wa tume akimtangaza mtu yeyote kuwa Rais itakuwaje?..
Punguza ujinga sasa na weye!Suala ninalohoji, umejuaje kama Tanzania ina katiba mbovu kuliko zote?
Leta Taarifa ya utafiti wako.
Anaomba maji ya kunywa saa hizi. Haombi kuombewa tena.πππππKwani Magu anasemaje huko motoni