Katibu BAKWATA Kagera akatwa mkono, mkataji auawa kwa kipigo

Kwa sheria zetu hapa Bongo, hao wote wako na hatia mpaka itakapothibitika vinginevyo.
 
Daadeki Ukisikia maamuzi magumu ndio haya sasa, mtu unazuga kufa huku mtu kasimama na panga hapo humuoni? Akikushushia la shingo?

Hio courage sina, ila ya Mbio sina mashaka na miguu yangu hata kidogo kama ni mizima.
 
Hicho kiganja ingekuwa Afrika kusini wangekirudishia na kukiunga tena na mkono.
 
Hii dini ni ya ovyo sana, waumini wake hawana subira, wana munkari. Mioyo yao haina toba, mtu akiamua kufanya ukatili anafanya bila hofu. Kama aliondolewa kazini angeshukuru tu akaendelee na mishe zingine. Kwenye dini nyingine mtu anafukuzwa kwenye kitengo kizuri cha kupiga hela, mtu mpaka amejenga jumba kubwa la kisasa, mara paap anafukuzwa kazini lakini haanzishi ugomvi labda awe ana hitilafu ya akili. Kiujumla hawa waumini huwa hawana hofu ya mungu kujizuia na uovu
 
ilibidi nijifanye nimefariki kwa hiyo akakata mara ya mwisho akaona mimi sijitingishi ndiyo akaondoka
Aisee mara gafla jamaa angekata panga la shingo ingekuwaje?
Dah! Yahya kaishapewa mabikra 72 huko alipo
 
Mmmmmmmh
Aisee., ni hasira au majini yalimvamia?
 
Inaauuma sana! Asante Mungu sheria ya Asili imesimama pale ilipotakiwa!!
 
Uchunguzi wa kipolice bado ni muhimu sana,kuna watu wabaya wanaweza pita humo pia kutimiza yao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…