Katibu BAKWATA Kagera akatwa mkono, mkataji auawa kwa kipigo

Katibu BAKWATA Kagera akatwa mkono, mkataji auawa kwa kipigo

Kitu ambacho nilikuja kugundua ni kwamba so called WASOMI ndo WANAPELEKESHWA NA DINI MBAYA

MIMI NI MUISLAM NA SIKUWAHI KUJUA TUNACHUKIWA HIVI HUKU MITAANI MPAKA NILIVOANZA KUONA CHUKI HUMU .
HIZI DINI ZA KUCHUKIA BINADAM WENGINE MMEZITOA WAPI AISEE

I PRACTICE ISLAM ILA IMANI NI ZAIDI YA UTU
 
Wapumbavu hawakosekani hata humu jf, huyo aliachishwa Kazi ndo maana kwa roho yake mbaya akafanya aliyoyafanya.

Ili iwe jino kwa jino basi kama huyo muuji lau angekuwa amekatwa mkono hapo awali basi kwa kulipiza ndo ingeleta maana ya jino kwa jino pigia mstari hapo, acheni ujinga

sasa kama aliachishwa kazi huoni kwamba nayy ndo analipiza
 
Mkazi wa Muleba mkoani Kagera, Abdulmalick Yahya (42) ameuawa kwa kushambuliwa na wananchi, baada ya kuonekana akimshambulia kwa panga Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) Mkoa wa Kagera, Hamza Zacharia (43).

Kutokana na tukio hilo, Zacharia anauguza majeraha katika Hospitali ya Rufaa ya Bukoba. Shambulio hilo limesababisha apoteze kiganja cha mkono wa kushoto.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumanne Februari 6, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Blasius Chatanda amethibitisha tukio hilo lililotokea Ijumaa Februari mosi, mwaka huu.

Chatanda amesema uchunguzi wa awali umebaini Abdulmalick kabla ya kutekeleza tukio hilo, alikuwa mtunza stoo ya vifaa katika mradi wa ujenzi wa jengo la Bakwata Complex linalojengwa katika Manispaa ya Bukoba.

“Februari mosi, 2024 alifukuzwa kazi ya kutunza ghala (stoo) la vifaa vya ujenzi wa Complex hiyo na kamati ya ujenzi, akamtuhumu Katibu wa Bakwata kwamba ndiye chanzo cha hayo yote. Kwa hiyo akaplan (akapanga) kulipa kisasi,” amesema Kamanda Chatanda.

Amesema, “Kitendo hicho kilisababisha mashuhuda waliokuwepo kujaribu kumzuia asiendelee kumjeruhi na walipoona anageuka na kutaka kuwadhuru, walimshambulia hadi pale alipookolewa na polisi na kuwahishwa hospitalini. Hata hivyo, alifariki dunia akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Bukoba.”

Kamanda Chatanda amesema uchunguzi kuwabaini waliohusika kumshambulia na kusababisha kifo cha mtuhumiwa huyo unaendelea.

Amesema watakaokamatwa watachukuliwa hatua za kisheria, ikiwemo kufikishwa mahakamani.

“Tunawaomba wananchi kumrudia muumba wao, hilo litawaongeza hofu na kuthamini maisha ya wenzao. Pia jamii iepuke kujichukulia sheria mkononi, ndiyo maana mtu akikosea tunatakiwa kumkamata au kutoa taarifa kwa mamlaka za Serikali, ili sheria ichukue mkondo wake,” amesema.

Sheikh wa Mkoa wa Kagera, Haruna Kichwabuta alipotafutwa hakuwa tayari kuzungumzia suala hilo.

Amesema mamlaka zinazoshughulikia makosa ya jinai ndiyo zenye mamlaka ya kulizungumzia.

“Unajua hizo taarifa unazosema ni jinai ziko polisi na mimi sipo niko safarini nje ya mkoa. Nami nasoma habari kama wanavyozisoma wengine, pengine nikifika nitafahamu na kulizungumzia,” amesema Sheikh Kichwabuta.

Shuhuda wa tukio hilo, Said Fabian amesema; “Alimkatakata panga kidogo mgongoni yule bwana (Zacharia) akadondoka katika hali ya kujitetea akaweka mkono kichwani, ili asikatwe panga kichwani, kwa hiyo yule bwana (Abdulmalick) alichofanya alikata palepale mkono ulipokuwa mpaka akautoa."

Majeruhi afunguka

Majeruhi wa tukio hilo, Zacharia amesema alilazimika kuigiza kwamba amefariki ili asiendelee kushambuliwa maeneo mengine ya mwili.

“Wakati anakata mimi na-guard (najikinga) na mkono, kwa hiyo kila akitupa panga mimi naweka mkono, hali ilivyoendelea hivyo ilibidi nijifanye nimefariki kwa hiyo akakata mara ya mwisho akaona mimi sijitingishi ndiyo akaondoka," amesema.
"mtu akikosea tunatakiwa kumkamata au kutoa taarifa kwa mamlaka za Serikali", hapa itabidi kumuomba mtuhumiwa akamatwe au asubiri ili taarifa ipelekwe kwenye mamlaka za Serikali!
 
KATIBU wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Wilaya ya Bukoba Mjini, Hamza Zacharia Abdallah, amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga yaliyomsababishia kupoteza kiganja cha mkono wa kushoto.

Zacharia anadaiwa kutendewa ukatili huo na Abdulbarik Yahaya, aliyekuwa mtunza vifaa vya mradi wa ujenzi wa jengo la baraza hilo (BAKWATA Complex), wilayani Bukoba Mjini, baada ya Katibu huyo kumtuhumu kwa ubadhirifu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam (endelea).

Akizungumza na MwanaHALISI Online kwa njia ya simu, leo tarehe 6 Februari 2024, Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Blasius Chatanda, amesema tukio hilo limetokea wiki iliyopita, baada ya Yahaya kumvamia Seikh Hamza ofisini kwake majira ya asubuhi na kuanza kumcharanga mapanga

Amesema, baada ya mtuhumiwa huyo kuanza kumcharanga mapanga hadi kiganja cha mkono wake wa kushoto kukatika, majirani waliingilia kati kwa ajili ya kumdhibiti lakini alikaidi kitendo kilichowapeleka waanze kumshambulia na kumsababishia majeraha ambapo alifariki wakati akiwa njiani akikimbizwa hospitalini kwa ajili ya matibabu.

Kamanda Chatanda amesema chanzo cha tukio hilo ni Sheikh Hamza kumtuhumu mlinzi huyo kwa ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa jengo hilo.

Ameongeza kuwa mhanga wa tukio hilo anauguza majeraha katika Hospitali ya Rufaa ya Bukoba.

“Mtuhumiwa alikuwa stoo keeper wa mradi wa BAKWATA Complex, jina lake nimelisahau sababu kwa harakaharaka sina taarifa. Yule bwana alikuwa ameondolewa kwa sababu ya kutuhumiwa sio muadilifu hivyo baada ya kuondolewa akamtuhumu Hamza kuwa yeye ndiyo sababu ya kumfanya atoke kwenye ile nafasi. Tukio hilo lilitokea nadhani kati ya tarehe 1 au 2 Februari mwaka huu,” amesema Kamanda Chatanda na kuongeza:

“Kesho yake baada ya kuondolewa saa 5.00 asubuhi pale alipokuwa anakaa yule mzee alikuwa anashona akamfuata akaanza kumcharanga mapanga mkono ukaachia, lakini majirani walioona kitendo kile wakaingia kuamulia na yeye hakukubali bahati mbaya nao wakampiga wakamjeruhi Askari wakaingilia kati wakampeleka hospitali lakini njia.

1707278640306.jpg
ni akafariki.”
 
Wapumbavu hawakosekani hata humu jf, huyo aliachishwa Kazi ndo maana kwa roho yake mbaya akafanya aliyoyafanya.

Ili iwe jino kwa jino basi kama huyo muuji lau angekuwa amekatwa mkono hapo awali basi kwa kulipiza ndo ingeleta maana ya jino kwa jino pigia mstari hapo, acheni ujinga

Mudi karuhusu muuane na ndio tunachokishuhudia katika ulimwengu wa kiislam.
 
Kitu ambacho nilikuja kugundua ni kwamba so called WASOMI ndo WANAPELEKESHWA NA DINI MBAYA

MIMI NI MUISLAM NA SIKUWAHI KUJUA TUNACHUKIWA HIVI HUKU MITAANI MPAKA NILIVOANZA KUONA CHUKI HUMU .
HIZI DINI ZA KUCHUKIA BINADAM WENGINE MMEZITOA WAPI AISEE

I PRACTICE ISLAM ILA IMANI NI ZAIDI YA UTU

Uislam ni dini ya kinafiki,na matendo ya hovyo yamejaa katika ulimwengu wa kiislam hili liko wazi bila kificho,dini imewapofusha na kuwafanya vilema wa akili.
 
Haki ya "self defence" inaanzia wapi na kuishia wapi?

Huyo kamanda wa polisi anayedai waliohusika na mauaji ya huyo marehemu wanatafutwa ili kufikishwa mahakamani, haoni kama walikuwa wanajilinda ili wasishambuliwe na marehemu?

Au kamanda wa polisi hajui kama kuna kitu kinaitwa "self defence" kwenye sheria zetu? kwa maelezo yake ni kama vile anawaona watuhumiwa tayari wana hatia, sawa na wale wanaopiga mwizi na kumuua.

Nina wasiwasi hao watuhumiwa wa mauaji wasije kuhukumiwa kwa kosa la mauaji bila kukusudia. Ikitokea hivyo, dhana nzima ya "self defence" itakuwa haina maana tena.
Hiyo itakuwa kazi ya mahakama kuamua kama ni self defense au la.
 
Nan nyie mkibaki pekee mtafirwa mpaka nawatoto walio wazaaa papa karuhus
Kuhusu kufirana Waislam wa pwani ndio Waasisi, mpaka shanga wanavaa na wanakatikia kabisa dushe...kama afanyavyo Afande Rama

Huwa Wanaita mambo ya pwani

Katika hili tukio la kumkata Imamu haishangazi kwa upande wa Waislam kwakuwa huwa Mna mihemko na jazba sana katika kutekeleza Mauaji

Huwa hamna "Subra" wala kutafakari kwa kina kabla ya kufanya jambo

Sasa mnagombana katika ujenzi wa nyumba yenu tena ya uwekezaji wa kuwapatia kipato...why msisuluhishe mambo kidiplomasia?
 
Haki ya "self defence" inaanzia wapi na kuishia wapi?

Huyo kamanda wa polisi anayedai waliohusika na mauaji ya huyo marehemu wanatafutwa ili kufikishwa mahakamani, haoni kama walikuwa wanajilinda ili wasishambuliwe na marehemu?

Au kamanda wa polisi hajui kama kuna kitu kinaitwa "self defence" kwenye sheria zetu? kwa maelezo yake ni kama vile anawaona watuhumiwa tayari wana hatia, sawa na wale wanaopiga mwizi na kumuua.

Nina wasiwasi hao watuhumiwa wa mauaji wasije kuhukumiwa kwa kosa la mauaji bila kukusudia. Ikitokea hivyo, dhana nzima ya "self defence" itakuwa haina maana tena.
Lengo hapo wawakamate wachukue rushwa kubwa kwa kuwatishia na kesi ya Mauaji.
 
Back
Top Bottom