Katibu Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa Ndugu Victoria C. Mwanziva Anena Kuhusu Uteuzi wa Baraza la Mawaziri.

Katibu Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa Ndugu Victoria C. Mwanziva Anena Kuhusu Uteuzi wa Baraza la Mawaziri.

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
UVCCM TAIFA - Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Ndugu Victoria C. Mwanziva Anena Kuhusu Uteuzi wa Baraza la Mawaziri.

“Tunampongeza Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa mabadiliko aliyoyafanya katika Baraza la Mawaziri pamoja na watendaji wakuu wa Wizara mbalimbali”

“Katika nafasi mbalimbali tumeona uwepo wa Viongozi vijana; hii ni imani kubwa kwa vijana wa Taifa hili katika nafasi muhimu. Tunaamini watafanya kazi kwa bidii ili kuendelea kujenga imani kwa vijana katika kutumikia taifa letu la Tanzania.”

“Tunatumia nafasi hii kuwatakia kila la kheri na kuwaahidi ushirikiano thabiti katika utendaji wao; Kila la Kheri katika kusimamia kwa weledi Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi”

Ndugu Victoria C. Mwanziva
Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa

IMG-20220109-WA0034.jpg


IMG-20220107-WA0043.jpg
 
Chawa yupi, kwani kupongeza ni vibaya? As considered huyu ni kiongozi wa UVCCM mwenye dhamana.
Huyo ni chawa wa kawaida tu.
Hivi kulikuwa na haja kwa kiongozi wa UVCCM kuja kutoa tamko la pongeza uteuzi wa rais ambaye ni mwenyekiti wake?
Hivi angeweza kuja na tamko tofauti na hilo?

Hawa vijana wa UVCCM ni kama mataahira fulani hivi, wao uchawa ndio sifa kubwa kwao.
 
Tukumbushane tu, sera ya taifa ya vijana inamtambua kijana ni yule wa hadi miaka 35! Hivyo kwenye baraza hakuna kijana pale!
 
Huyo ni chawa wa kawaida tu.
Hivi kulikuwa na haja kwa kiongozi wa UVCCM kuja kutoa tamko la pongeza uteuzi wa rais ambaye ni mwenyekiti wake?
Hivi angeweza kuja na tamko tofauti na hilo?

Hawa vijana wa UVCCM ni kama mataahira fulani hivi, wao uchawa ndio sifa kubwa kwao.
Acha ujujaleee weweee, hujui kama huyu ni kiongozi wa Jumuiya ya Vijana tena kiongozi wa Kitaifa, ndiyo msemaji wa UVCCM nchi nzima!
 
Back
Top Bottom