Pre GE2025 Katibu Mkuu ACT Wazalendo: Rais Samia alituhadaa na falsafa yake ya maridhiano kutupotezea muda

Pre GE2025 Katibu Mkuu ACT Wazalendo: Rais Samia alituhadaa na falsafa yake ya maridhiano kutupotezea muda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu amesema Rais Samia Suluhu Hassan alitumia njia ya maridhiano kuwapa upofu kwa muda wapinzani ili aweze kujipanga kukabiliana nao.

“Kumbe Mheshimwa Rais alikuwa anatuhadaa kwa hiyo Rais akataka kwanza awe na kipindi cha kutokusumbuliwa ili aweze kuishika nchi kwa hiyo wapinzani akatuhadaa ili tupunguze makashkash akaleta falsafa ya maridhiano kwamba anataka kuifungua nchi kumbe moyoni mwake anajua kwamba hapa alikuwa anatupotezea muda tu” amesema Ado

Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini

Ado ameyasema hayo Februari 08, alipokuwa na ziara ya kichama wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani na kudai kuwa hivi sasa baadhi ya matukio kama ya kubambikiwa kesi kwa wanasiasa yamerejea akitolea mfano kesi ya utoaji wa taarifa za uongo inayomhusu aliyewahi kuwa Katibu katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa.

 
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu amesema Rais Samia Suluhu Hassan alitumia njia ya maridhiano kuwapa upofu kwa muda wapinzani ili aweze kujipanga kukabiliana nao.

“Kumbe Mheshimwa Rais alikuwa anatuhadaa kwa hiyo Rais akataka kwanza awe na kipindi cha kutokusumbuliwa ili aweze kuishika nchi kwa hiyo wapinzani akatuhadaa ili tupunguze makashkash akaleta falsafa ya maridhiano kwamba anataka kuifungua nchi kumbe moyoni mwake anajua kwamba hapa alikuwa anatupotezea muda tu” amesema Ado

Ado ameyasema hayo Februari 08, alipokuwa na ziara ya kichama wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani na kudai kuwa hivi sasa baadhi ya matukio kama ya kubambikiwa kesi kwa wanasiasa yamerejea akitolea mfano kesi ya utoaji wa taarifa za uongo inayomhusu aliyewahi kuwa Katibu katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa.
View attachment 3230383
Waswahili ni wajanja sana.Na bado hadi mseme abeee!
 
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu amesema Rais Samia Suluhu Hassan alitumia njia ya maridhiano kuwapa upofu kwa muda wapinzani ili aweze kujipanga kukabiliana nao.

“Kumbe Mheshimwa Rais alikuwa anatuhadaa kwa hiyo Rais akataka kwanza awe na kipindi cha kutokusumbuliwa ili aweze kuishika nchi kwa hiyo wapinzani akatuhadaa ili tupunguze makashkash akaleta falsafa ya maridhiano kwamba anataka kuifungua nchi kumbe moyoni mwake anajua kwamba hapa alikuwa anatupotezea muda tu” amesema Ado

Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini

Ado ameyasema hayo Februari 08, alipokuwa na ziara ya kichama wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani na kudai kuwa hivi sasa baadhi ya matukio kama ya kubambikiwa kesi kwa wanasiasa yamerejea akitolea mfano kesi ya utoaji wa taarifa za uongo inayomhusu aliyewahi kuwa Katibu katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa.

Ngoja tuwaulize chadema kama nanyi mlikuwa mnahusika kwenye maridhiano maana wanasema nyie ni ccm B.
 
Wapinzani wengi wa nchi hii ni wapuuzi unakubalije maridhiano na chama kinachoongoza serikali wakt lengo la vyama vya kisiasa ni kushika serikali? Walilainishwa na wao wakalainika
 
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu amesema Rais Samia Suluhu Hassan alitumia njia ya maridhiano kuwapa upofu kwa muda wapinzani ili aweze kujipanga kukabiliana nao.

“Kumbe Mheshimwa Rais alikuwa anatuhadaa kwa hiyo Rais akataka kwanza awe na kipindi cha kutokusumbuliwa ili aweze kuishika nchi kwa hiyo wapinzani akatuhadaa ili tupunguze makashkash akaleta falsafa ya maridhiano kwamba anataka kuifungua nchi kumbe moyoni mwake anajua kwamba hapa alikuwa anatupotezea muda tu” amesema Ado

Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini

Ado ameyasema hayo Februari 08, alipokuwa na ziara ya kichama wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani na kudai kuwa hivi sasa baadhi ya matukio kama ya kubambikiwa kesi kwa wanasiasa yamerejea akitolea mfano kesi ya utoaji wa taarifa za uongo inayomhusu aliyewahi kuwa Katibu katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa.

4R za mchongo.

Lissu anakuwaga mbele sana.

Katiba ya Warioba iko tayari, Katiba Pendekezwa iko tayari.

Anakujanmtu mjanja mjanja na mwongo mwongo anakwambia anaunda Kamati Nyingine ya Katiba😅😅😅😅
 
Jambo linalomhusisha Zitto na Mbowe haliwezi kufika Mwisho wala kuleta matokeo tarajiwa
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu amesema Rais Samia Suluhu Hassan alitumia njia ya maridhiano kuwapa upofu kwa muda wapinzani ili aweze kujipanga kukabiliana nao.

“Kumbe Mheshimwa Rais alikuwa anatuhadaa kwa hiyo Rais akataka kwanza awe na kipindi cha kutokusumbuliwa ili aweze kuishika nchi kwa hiyo wapinzani akatuhadaa ili tupunguze makashkash akaleta falsafa ya maridhiano kwamba anataka kuifungua nchi kumbe moyoni mwake anajua kwamba hapa alikuwa anatupotezea muda tu” amesema Ado

Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini

Ado ameyasema hayo Februari 08, alipokuwa na ziara ya kichama wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani na kudai kuwa hivi sasa baadhi ya matukio kama ya kubambikiwa kesi kwa wanasiasa yamerejea akitolea mfano kesi ya utoaji wa taarifa za uongo inayomhusu aliyewahi kuwa Katibu katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa.

 
Watu wanawadharau ili hawajui wao ni magwiji wa siasa za fitna na hadaa, smooth operators.
Wanaodharauliwa, wanaofanyiwa siasa za fitna na hadaa ni Watanzania wapiga kura.
 
Watu wanawadharau ili hawajui wao ni magwiji wa siasa za fitna na hadaa, smooth operators.
Smooth operators indeed, hawatumii aggresive approach. ndio maana wenye akili walikuwa wanakataa kitu ila watu wakawa haelewi
 
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu amesema Rais Samia Suluhu Hassan alitumia njia ya maridhiano kuwapa upofu kwa muda wapinzani ili aweze kujipanga kukabiliana nao.

“Kumbe Mheshimwa Rais alikuwa anatuhadaa kwa hiyo Rais akataka kwanza awe na kipindi cha kutokusumbuliwa ili aweze kuishika nchi kwa hiyo wapinzani akatuhadaa ili tupunguze makashkash akaleta falsafa ya maridhiano kwamba anataka kuifungua nchi kumbe moyoni mwake anajua kwamba hapa alikuwa anatupotezea muda tu” amesema Ado

Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini

Ado ameyasema hayo Februari 08, alipokuwa na ziara ya kichama wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani na kudai kuwa hivi sasa baadhi ya matukio kama ya kubambikiwa kesi kwa wanasiasa yamerejea akitolea mfano kesi ya utoaji wa taarifa za uongo inayomhusu aliyewahi kuwa Katibu katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa.

Lissu alipigwa sana vita, ila he was right, na wengine pia akili zitafunguka
 
Nakuja kukaa chini kikao cha chama, wakati nyumbani nina viti.
Kikao cha ACT, unaanza kuongelea Chadema😂😂😂😂😂😂.
 
Back
Top Bottom