Pre GE2025 Katibu Mkuu ACT Wazalendo: Rais Samia alituhadaa na falsafa yake ya maridhiano kutupotezea muda

Pre GE2025 Katibu Mkuu ACT Wazalendo: Rais Samia alituhadaa na falsafa yake ya maridhiano kutupotezea muda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Waswahili ni wajanja sana.Na bado hadi mseme abeee!


Muuaji mnafiki ni hatari zaidi kuliko hata muuaji wawazi.

Unafiki wake wa 4R ulifanimiwa kuwapumbaza wote waliokuwawanalambania utawala bora.

Kwa kweli uongozi wa huyu mama umekuwa ni doa baya kabisa katika Taifa:

-utekaji wa wapinzani
  • mauaji ya wapinzani
  • ugawaji wa rasilimali za nchi kwa wajomba (waarabu)
-rushwa iliyokithiri
Ufisadiulioshamiri
-utapanyaji wa pesaza nchi

n.k.
 
Naam, umeniita?

Tatizo nini?
Mada umeisoma mkuu? anasema kwamba muislam mwenzio ANAHADAA WATU. Hivi kuhadaa watu siyo dhambi? au ukiwa ccm unakuwa tayari kwenda JEHANAMU kwa uongo, fitina, hadaa na dini unaifungia nje?. MAONI YANGU: Kama ndivyo, maccm yanaenda jehanamu kizembe sana.
 
ameingia madarakani mwezi March 2021 umekuja kugundua leo kwamba aliwahadaa 2025 miezi michache kabla ya uchaguzi.
 
Mkisha ridhiana mtaendesha siasa za nini tena? Utterly rubbish thinking
 
Mada umeisoma mkuu? anasema kwamba muislam mwenzio ANAHADAA WATU. Hivi kuhadaa watu siyo dhambi? au ukiwa ccm unakuwa tayari kwenda JEHANAMU kwa uongo, fitina, hadaa na dini unaifungia nje?. MAONI YANGU: Kama ndivyo, maccm yanaenda jehanamu kizembe sana.
Mwaka wa uchaguzi huu myasema yote.

Labda kondoo mwenzenu ndiye atabishanà mwaka huu.
 
Back
Top Bottom