Zanzibar 2020 Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru ashangaa watu 12 kujitokeza kutaka urais Zanzibar, adai wengine wanatumika na mabeberu kutaka kuvuruga nchi yetu

Zanzibar 2020 Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru ashangaa watu 12 kujitokeza kutaka urais Zanzibar, adai wengine wanatumika na mabeberu kutaka kuvuruga nchi yetu

Kwani walitakiwa watia nia wangapi?

Kama wanamgombea wao tayari si watangaze tu? Hizi sinema zote za nini na kuchukua tu pesa za watu wanazolipia fomu bila sababu?
 
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.

Hivi mabeberu ni kina nani? Au ni kichaka cha kuufichia woga wa amumu hii ya tano?
Maana kila wanachokihofia au kuhisi kushindwa wanasingizia mabeberu.
Yaani hata upungufu wa nguvu za kiume kwa wake zao wanasingizia ni mkono wa mbeberu.
Duh safari hii tutashuhudia mengi[emoji3][emoji3]
 
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.





Asikilize ukweli sio uongo wa Miaka 2 zilizopita! IMEVUJA! Mpo 12 Mnatafuta Urais Zanzibar!
 
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.


ashangae Huko Bara mgombea mmoja tu, na aseme wazi kuwa hakuna demokrasia,
 
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.


NAULIZA TENA MARA YA MWISHO CCM KUNA MTAMBO GANI WA KUVURUGA AKILI ZA WATU? HUYU DAKTARI MSOMI NA MWALIMU WA CHUO KIKUU ANA TOFAUTI GANI NA MSUKUMA NA LUSINDE? Mbona hii ni aibu kwa familia na Taifa kwa ujumla
 
Jinga kabisa Hilo , ndo mmpate picha jinsi ya watanzania mlivyo wapumbavu Kwa kuchagua genge la vibaka CCM .

Kugombea ni haki ya mtu , hata kama wagombea wangekuwa bilioni it's none of his fucking business .

Upuuzi Tu kukaa kujisemelesha mavi mavi , mabeberu mabeberu , nonesense .
Vitu vya kijinga jinga Tu . Nyie mshindwe kujenga nchi yenu mkae mnalia like Bitches .
Nimecheka Sana HAKI YA MUNGU kila mtu kanishangaa... Nipo hospital kuna watu wanaangalia news Aljazeera wamejiuliza ninafurahia maudhui ya taarifa( Egypt threatening to invad Libya) au nimechanganyikiwa.
 
Back
Top Bottom