Katibu Mkuu CCM kukaimiwa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Anamringi Macha. Ni bada ya Chongolo kujiuzulu

Katibu Mkuu CCM kukaimiwa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Anamringi Macha. Ni bada ya Chongolo kujiuzulu

Kwa hii kauli ya Samia maana yake maneno aliyoandika Chongolo jana kuhusu kujiuzulu kwake ni ya kweli, amesingiziwa uongo, hivyo akaamua kujiuzulu ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.

Tatizo linakuja, kama issue ya Gekul Samia aliweza kuchukua hatua, jambo linaloonesha alishauriwa na vyombo vyake vya usalama, iweje kwa hili la Chongolo Samia atuambie anafuatilia?

Kwanini asingefuatilia ili kujiridhisha halafu watakapokutana kwenye hiki kikao chao awe na jibu kamili? au Samia anataka kutuaminisha hili la Chongolo linekuja ghafla sana kuzidi lile la Gekul?

Hapa Samia ameamua kufunika kombe mwanaharamu apite, baada ya muda wamteue KM mpya maisha yaendelee, kwa maana nyingine kapigwa bao na Chongolo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Dalili zote zinaonyesha kuwa Chongolo aliwekwa kwenye kilengeo ila kawazidi kete ndiyo maana wanapata kigugumizi
 
CCM inazidi kuyumba, wanasema wana benchi pana la viongozi akitoka mmoja mwingine anapatikana kwa kasi.

Sasa hii ya kukaimu ina maana pana sana kuwa hakuna viongozi, labda waende CUF kumtafuta Dr. Bashiru mwingine .


TOKA MAKTABA :

Dr Magufuli kuhusu uanachama wa Dkt.Bashiru Ally, "walisema huyu ni CUF nikasema namtaka hivyohivyo"


View: https://m.youtube.com/watch?v=thomnJ0yto0

Mwenyekiti wa CCM Dr. John Magufuli - "Nilimleta huyu CUF wa CCM Dr. Bashiru Ally aje kuleta mabadiliko kwa kuja kukavunja ka syndicate fulani ndani ya CCM kalikokuwa kagumu kukavunja, watu walipiga makelele CUF huyo ! Nashukuru Dr. Bashiru Ally Kakurwa so far amefanya kazi nzuri kukavunja kakundi haka ..."
 
Surrender tactic imefanya kazi.Aliyemshauri ana akili. Now they feel sorry for him and wanachunguza.

"Surrendering may seem like a sign of weakness, but it can actually be a very powerful move. When you surrender, you are taking away your opponent’s power. They will no longer have the satisfaction of defeating you, and they may even feel sorry for you. This can give you the time and opportunity to regroup and plan your revenge." Law 22
Hii bongo blaza panaeleweka huku,,,, ukileta mambo ya wazungu huku uswahilini mengine hayafanyi kazi....
 
(Paraphrase) TView attachment 2828819umepokea barua ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wetu, Ndugu Daniel Chongolo. Tumeridhia.

Tunafanya uchunguzi na jambo hili linaweza likachukua muda kukamilika, kwa sababu hiyo Naibu Katibu Mkuu (Tanzania Bara) utakaimu hadi hapo taarifa ya uchunguzi itakapokamilika.

(Haya ni maneno ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya kikao cha NEC kilichofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Sawa
 
Dude kubwa linalokaribia kuporomoka. Kila chenye mwanzo kina mwisho...
Mangi kua hapo mbona poa tu

 
Anapoza mambo kwanza!anasubiri joto lipoe ndio ateue mpya!!

Siku akiteuliwa mpya yawezekana akawa ziarani majuu huko!nadhani kinda Boy anapiga jeramba!!
 
Hii bongo blaza panaeleweka huku,,,, ukileta mambo ya wazungu huku uswahilini mengine hayafanyi kazi....
Ha ha ha ha haaaaa jidanganye. Watu hawaendeshi nchi kwa hisia,wanasoma haswaaa,dunia hii haina jipya,jifunze tu kwa waliopita na utatabiri matokeo. Yaani hata ukituona tunaimba hiyena hiyena uswahilini kwetu,usipuuze. Zote ni mbinu.
 
Kwa hii kauli ya Samia maana yake maneno aliyoandika Chongolo jana kuhusu kujiuzulu kwake ni ya kweli, amesingiziwa uongo, hivyo akaamua kujiuzulu ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.

Tatizo linakuja, kama issue ya Gekul Samia aliweza kuchukua hatua, jambo linaloonesha alishauriwa na vyombo vyake vya usalama, iweje kwa hili la Chongolo Samia atuambie anafuatilia?

Kwanini asingefuatilia ili kujiridhisha halafu watakapokutana kwenye hiki kikao chao awe na jibu kamili? au Samia anataka kutuaminisha hili la Chongolo linekuja ghafla sana kuzidi lile la Gekul?

Hapa Samia ameamua kufunika kombe mwanaharamu apite, baada ya muda wamteue KM mpya maisha yaendelee, kwa maana nyingine kapigwa bao na Chongolo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Nimesikia chini chini (rumors) kuwa tatizo la aliyekuwa Katibu Mkuu Chongolo ni ndumila kuwili na alikwishapoteza imani kwa Mwenyekiti, na alikuwa anavujisha siri.
Licha hilo kuna rumours za vuguvugu za movement ya wa Kusini wanaoamini hii ni zamu yao na wanautaka urais.

Haya yanayotokea ni forces za kujipanga tu na kusimika alliances na yote kwa yote its an animal farm and law of the jungle which applies.
 
Screenshot_20231129-195159_Instagram.jpg
 
gekul hakujiudhuru chingolo amejiudhuru mwenyewe

pia kingine chongoli sio mwajiliwa wa selikal bali ni wa chama

hivyo hawajibiki kwa rais bali mwenyekit wake

while gekul ni kiongozi wa selikal
 
Ha ha ha ha haaaaa jidanganye. Watu hawaendeshi nchi kwa hisia,wanasoma haswaaa,dunia hii haina jipya,jifunze tu kwa waliopita na utatabiri matokeo. Yaani hata ukituona tunaimba hiyena hiyena uswahilini kwetu,usipuuze. Zote ni mbinu.
Kila mtu ana timing zake hapa mjini,,,,........
 
Karibu Mangi
Karibu mangi,ila wale waaaamshaamsha wasilaele wameshapigwa changa la macho kimkakati,commredi kaachia kiti kimkakati na uteuzi wa mwenezi ni wa kimkakati vilevile,kukaba kanda ya nyonyo na ile ya kaskazini,tutarajie mikakati kama hiyo kule kusini,Visiwani,Pwani,kwani nako nyanda za juuu kaskazini na kusini kama haijakamilika yaja🏃.
 
Back
Top Bottom