Katibu Mkuu CCM kukaimiwa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Anamringi Macha. Ni bada ya Chongolo kujiuzulu

Macha Yuko vizuri binafsi napendekeza apewe ukatibu mkuu wa Chama changu CCM
 
Hizi hakina ni habari za alinacha. Nasema hivyo kwa sababu Tanzania rais ni kila kitu na ana uwezo hata kutofanya uchaguzi na akatangazwa mshindi. Kwani Magufuli alihangaika na kura 2020? Si alifanya uhuni na akatangazwa?
 
Hiki ni kitabu gani mkuu. Nimependa sana ya maarifa
 
Kwani alikashifiwa nini mzee chongolo?
"Genge la Wahuni" litayumbisha sana Chama na Serikali kama vyombo hivyo viwili visipokuwa makini na imara.Ndio upo udhaifu mkubwa kwenye utendaji wa Chama na Serikali,lakini "Genge la Wahuni" will be worse for Tanzania and a nightmare if it seizes power.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…