Tetesi: Katibu Mkuu CCM ni Ally Mufuruki

Kwelihuu n wehuu umeshindwa kuongozaa faniyako yabiashara ukaongoze siasa ambayoo huijuii
 
Ally aache biashara aingie kwenye siasa za majitaka zisizo na mwelekeo? Labda huyo sio Allt tunaemjua ni Ally Mfuruki fake!
Shidaasanaa KAMA ANATAKAKUUA CHAMA AMUULIZE LUBUVA

ASHUKURU HEKIMA ZA LUBUVA
 
Naona chama kinaangalia kwenye unafuu wa fweedha, huyo jamaa ana noti za kutosha atakisaidia chama
 
Kwani mkutano utakuwepo? Sii watazuiwa na Vijana wa Bavicha wakisaidiana na Polisi?
Polisi wamekanusha katazo la mkusanyiko wa vyama kwani ule wa cdm walikuwa wanagopa bendera tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…