Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
- Thread starter
- #21
Uko sahihi kabisa,Huyu GS yuko makini sana, Hongera sana CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa,Huyu GS yuko makini sana, Hongera sana CCM
Nawe sikachawa kadogodogo ?Chawa mkubwa anawapiga stop chawa wadogo waache uchawa!!!!.
Wonders shall never cease
Muache uchawa sasa naona ujumbe umewafikiaHakika mkuu wangu.....
Mh.Chongolo ni mtu wa kazi haswa anayekijua chama na vijana wa nchi hii .....👏👏
SIEMPRE CCM💪
Wewe utaacha Uchawa kweli?Maneno adhimu.....
Maneno kuntu.....
Maneno mujarabu kabisa.
Kongole kwa katibu wetu mkuu ndg.Chongolo [emoji123][emoji122][emoji122]
SIEMPRE CCM
KM pigakazi kaka,KATIBU MKUU WA CCM NDG. CHONGOLO AITAKA UVCCM KUACHA KUWA WAPAMBE BINAFSI WA VIONGOZI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka viongozi wa mikoa na wilaya kutumia umoja wa vijana wa chama hicho kujenga miundombinu pamoja na miradi ya maendeleo wanayoanzisha kwenye maeneo yao.
Katibu Mkuu ametoa maagizo hayo leo tarehe 15 Novemba, 2021 baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu ya umoja wa vijana wa CCM katika shule ya Bukama, kata ya Kagoma wilayani Muleba, Mkoani Kagera.
Amesema malengo ya kuanzisha umoja wa vijana haikuwa na maana ya kuwatumia vijana hao kwenye mambo ya kutafuta kura za wagombea na kuhangaika na masuala binafsi ya viongozi, bali ni kujenga nchi kwa kujitolea na baadae kupata fursa ya kwenda kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi.
Amesema miaka ya nyuma kazi ya umoja wa vijana ilikuwa ni kujiitolea kujenga miundombinu na kufanya mambo mengine ya maendeleo na baadae kupata fursa ya kwenda jeshini kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi kwa ujumla.
“Miaka ya 2000 nyuma, asilimia tisini ya vijana ambao walikuwa wanachukuliwa kwenda jeshini walikuwa wanatokana na umoja wa vijana na ni kwa sababu walikuwa wanajitolea kulitumika taifa kwa kupitia umoja huo,” amesema.
Amesema kuwa kwa sasa vijana wengi wa umoja wa vijana wamekuwa wapambe namba moja ya wagombea na waangaikaji wa mambo binafsi ya viongozi huku wakiacha majukumu yao halisi.
Katika hatua nyingine Ndg. Chongolo amewapongeza umoja wa vijana Wilaya ya Muleba, kwa kujitolea kujenga vyumba vya madarasa huku akimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na viongozi wengine wa Muleba kuendelea kuwatumia vijana hao katika kujenga miundombinu mingine kwani tayari wameonesha utayari na uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa moyo.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Kukitetea chama kwa mazuri yake si uchawa.....Muache uchawa sasa naona ujumbe umewafikia
Kwa hiyo ukiyasemea mazuri ya chama ni uchawa??!Wewe utaacha Uchawa kweli?
katibu wenu amesisitiza 'uvccm acheni uchawa"Kazi ya vijana ni kuimarisha chama!
Kaziiendelee Team, We proud on you,KATIBU MKUU WA CCM NDG. CHONGOLO AITAKA UVCCM KUACHA KUWA WAPAMBE BINAFSI WA VIONGOZI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka viongozi wa mikoa na wilaya kutumia umoja wa vijana wa chama hicho kujenga miundombinu pamoja na miradi ya maendeleo wanayoanzisha kwenye maeneo yao.
Katibu Mkuu ametoa maagizo hayo leo tarehe 15 Novemba, 2021 baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu ya umoja wa vijana wa CCM katika shule ya Bukama, kata ya Kagoma wilayani Muleba, Mkoani Kagera.
Amesema malengo ya kuanzisha umoja wa vijana haikuwa na maana ya kuwatumia vijana hao kwenye mambo ya kutafuta kura za wagombea na kuhangaika na masuala binafsi ya viongozi, bali ni kujenga nchi kwa kujitolea na baadae kupata fursa ya kwenda kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi.
Amesema miaka ya nyuma kazi ya umoja wa vijana ilikuwa ni kujiitolea kujenga miundombinu na kufanya mambo mengine ya maendeleo na baadae kupata fursa ya kwenda jeshini kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi kwa ujumla.
“Miaka ya 2000 nyuma, asilimia tisini ya vijana ambao walikuwa wanachukuliwa kwenda jeshini walikuwa wanatokana na umoja wa vijana na ni kwa sababu walikuwa wanajitolea kulitumika taifa kwa kupitia umoja huo,” amesema.
Amesema kuwa kwa sasa vijana wengi wa umoja wa vijana wamekuwa wapambe namba moja ya wagombea na waangaikaji wa mambo binafsi ya viongozi huku wakiacha majukumu yao halisi.
Katika hatua nyingine Ndg. Chongolo amewapongeza umoja wa vijana Wilaya ya Muleba, kwa kujitolea kujenga vyumba vya madarasa huku akimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na viongozi wengine wa Muleba kuendelea kuwatumia vijana hao katika kujenga miundombinu mingine kwani tayari wameonesha utayari na uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa moyo.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Ulishaingia damuni huyoWewe utaacha Uchawa kweli?
Mwendawazimu waliemfukia Chato.Nani aliasisi na kuulasimisha UCHAWA?
Ni msamiati tu kwa hiyo niliyoandika!katibu wenu amesisitiza 'uvccm acheni uchawa"
Hakuna cha uzalendo wala kutetea chama ni njaa zetu tuKukitetea chama kwa mazuri yake si uchawa.....
Tunachokifanya humu ni kueneza uzalendo wa itikadi bora ya CCM na huu si uchawa.....
Sawa nimekupata kumbe hata BAVICHA hawana uzalendo wa kukitetea chama chao na siasa kinzani👍Hakuna cha uzalendo wala kutetea chama ni njaa zetu tu
Bavicha ni chama tawala?Sawa nimekupata kumbe hata BAVICHA hawana uzalendo wa kukitetea chama chao na siasa kinzani👍
Hwenda siku moja kikawa tawala....je uzalendo wao utaanza ukifika muda huo?Bavicha ni chama tawala?
KaziiendeleeKATIBU MKUU WA CCM NDG. CHONGOLO AITAKA UVCCM KUACHA KUWA WAPAMBE BINAFSI WA VIONGOZI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka viongozi wa mikoa na wilaya kutumia umoja wa vijana wa chama hicho kujenga miundombinu pamoja na miradi ya maendeleo wanayoanzisha kwenye maeneo yao.
Katibu Mkuu ametoa maagizo hayo leo tarehe 15 Novemba, 2021 baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu ya umoja wa vijana wa CCM katika shule ya Bukama, kata ya Kagoma wilayani Muleba, Mkoani Kagera.
Amesema malengo ya kuanzisha umoja wa vijana haikuwa na maana ya kuwatumia vijana hao kwenye mambo ya kutafuta kura za wagombea na kuhangaika na masuala binafsi ya viongozi, bali ni kujenga nchi kwa kujitolea na baadae kupata fursa ya kwenda kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi.
Amesema miaka ya nyuma kazi ya umoja wa vijana ilikuwa ni kujiitolea kujenga miundombinu na kufanya mambo mengine ya maendeleo na baadae kupata fursa ya kwenda jeshini kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi kwa ujumla.
“Miaka ya 2000 nyuma, asilimia tisini ya vijana ambao walikuwa wanachukuliwa kwenda jeshini walikuwa wanatokana na umoja wa vijana na ni kwa sababu walikuwa wanajitolea kulitumika taifa kwa kupitia umoja huo,” amesema.
Amesema kuwa kwa sasa vijana wengi wa umoja wa vijana wamekuwa wapambe namba moja ya wagombea na waangaikaji wa mambo binafsi ya viongozi huku wakiacha majukumu yao halisi.
Katika hatua nyingine Ndg. Chongolo amewapongeza umoja wa vijana Wilaya ya Muleba, kwa kujitolea kujenga vyumba vya madarasa huku akimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na viongozi wengine wa Muleba kuendelea kuwatumia vijana hao katika kujenga miundombinu mingine kwani tayari wameonesha utayari na uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa moyo.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)