Katibu Mkuu CCM Taifa, Daniel Chongolo apiga stop "Uchawa" ndani ya UVCCM

Kwa hiyo zile nyaraka za kumpongeza Hangaya toka vikao halali huwa nikutuhadaa wanachama ikiwa kuna
Chuki
Vita
Uchawa
Fitina
Makundi nk

Ukiwa Mtendaji mkuu wa chama chenye dola nani au chama kipi huwa kinasababisha hayo.Kumbe Mbatia alikuwa sahihi.
Msajili anadharaulika kwa kuegemea upande mmoja.Tangu lini baba unaita watoto halafu wanakugomea na wanakupa mashariti uachane na mama kwanza
 
KM pigakazi kaka,
 
Wewe utaacha Uchawa kweli?
Kwa hiyo ukiyasemea mazuri ya chama ni uchawa??!

Kuelezea itikadi njema ya CCM si uchawa.....kwani huko si kujikomba kwa MTU/WATU.....

Na Kama hata kuielezea CCM utaniita chawa basi endelea tu kwani sitoacha kukielezea kwa mazuri yake.......

Siempre CCM
 
Kaziiendelee Team, We proud on you,
 
Kaziiendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…