Katibu Mkuu CCM usimtishe Mbunge, tunaomba uishauri Serikali Wabunge wote na viongozi waanze kukatwa kodi

Katibu Mkuu CCM usimtishe Mbunge, tunaomba uishauri Serikali Wabunge wote na viongozi waanze kukatwa kodi

MBUNGE AACHIE JIMBO!

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbongwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohijiwa na gazeti la Nipashe

Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema

Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.

"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais"

Maoni yangu:
Kwanza kabisa niseme wazi kabisa Mimi nilipata wasaha wa kumsikiliza vizuri mbunge aliyesema wazi kuwa mishahara yao wabunge haiwatoshi na alieleza vizuri kabisa kwanini aseme hayo, na mimi nilitarajia kabisa haya ni maoni yake binafsi na anao uhuru wa kutoa maoni yake akiwa bungeni na kama ni hukumu basi sisi wananchi ndio tunajua chakufanya.

Kwenye hili kumekuwa na unafiki mwingi sana na wengi watajidai kuwa hawaungi mkono hoja ya Maganga lakini ukweli ni kwamba wabunge wote kwenye mioyo yao wanaunga mkono hoja lakini wanaogopa wananchi kuusema ukweli. Ukimsikiliza Maganga akijieleza vyema utamuelewa kuwa wabunge wanao mzigo mkubwa sana pamoja na mshahara huo unaotajwa.


Nimeshangazwa na Katibu mkuu bwana Chongolo kumtishia mbunge anayetoa maoni yake na kusema kama hataki aachie ubunge hii ni kinyume kabisa na haki za bunge na mbunge na pia uhuru wa maoni.

Kama kweli tunajali wananchi na wewe ni katibu mkuu tunaomba ukishauri chama na serikali mishahara ya wabunge na viongozi wote ianze kukatwa kodi kama wafanya kazi wengine na wananchi wengine.

Ukweli ni kwamba wabunge na viongozi wakubwa mishahara yao haikatwi kodi kwa hiyo wanakula tuu mishahara kama ilivyo na hii hoja ya mbunge Maganga iwe chachu ya kubadilisha sheria zetu na kuishauri serikali kubadili sheria ili kila mtu alipe kodi sio kuwahamisha wananchi kulipa kodi huku wengine tena kundi kubwa lenye kipato kikubwa halilipi kodi.

Kwako katibu mkuu Chongolo.
Ukweli hasa wabunge wanatakiwa kupunguziwa na kukatwa kodi kama wafanyakazi wengine.
Seating allowance au posho ya kikao iondoshwe kwani kuwepo bungeni ni moja ya kazi zao. posho ya kupewa ni ya chakula tuu. nayo iwe chakula cha wastani pale dodoma.

Wafanya kazi wote huenda makazini kwa gari zao wenyewe na kulipia mafuta iweje mbunge apewe gari na pesa za mafuta.
Baada ya kikao wanakwenda kufanya kazi nyingine huko majimboni mwawo.
wabunge wanatakiwa waishi majimboni mwawo karibu na wapiga kura wawo.
 
Hivi ni njia gani rahisi ya kumtimua mbunge mliomchagua? Maaana mbunge anaweza chaguliwa kweli na wananchi baadae akawageuka, inabidi wavumilie mpaka mitano iishe ndio wamtimue kwa kura. Hamna njia ya rahisi na haraka kumtimua anytime?
 
Si aache ubunge,akafanye kazi yenye mshahara/pesa nyingi

Ova
 
Mkuu hivi unajua kwamba Kodi inakatwa kwenye mshahara tu na siyo kwenye posho?

Maganga amesema mshahara wa mbunge kwa mwezi ni mil 3.8 kwa mwezi. Lkn ukweli ni kwamba wabunge wanavuta mkwanja takribani mil 12 kwa mwezi. Kwahiyo kodi itakatwa kwa hiyo mil 3.8 tu lkn kwenye hizo mil 9 hakutakatwa.
Ulishawah kuwa mbunge na ukapokea mshahara? Weka uthitisho hapa
 
MBUNGE AACHIE JIMBO!

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbongwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohijiwa na gazeti la Nipashe

Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema

Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.

"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais"

Maoni yangu:
Kwanza kabisa niseme wazi kabisa Mimi nilipata wasaha wa kumsikiliza vizuri mbunge aliyesema wazi kuwa mishahara yao wabunge haiwatoshi na alieleza vizuri kabisa kwanini aseme hayo, na mimi nilitarajia kabisa haya ni maoni yake binafsi na anao uhuru wa kutoa maoni yake akiwa bungeni na kama ni hukumu basi sisi wananchi ndio tunajua chakufanya.

Kwenye hili kumekuwa na unafiki mwingi sana na wengi watajidai kuwa hawaungi mkono hoja ya Maganga lakini ukweli ni kwamba wabunge wote kwenye mioyo yao wanaunga mkono hoja lakini wanaogopa wananchi kuusema ukweli. Ukimsikiliza Maganga akijieleza vyema utamuelewa kuwa wabunge wanao mzigo mkubwa sana pamoja na mshahara huo unaotajwa.


Nimeshangazwa na Katibu mkuu bwana Chongolo kumtishia mbunge anayetoa maoni yake na kusema kama hataki aachie ubunge hii ni kinyume kabisa na haki za bunge na mbunge na pia uhuru wa maoni.

Kama kweli tunajali wananchi na wewe ni katibu mkuu tunaomba ukishauri chama na serikali mishahara ya wabunge na viongozi wote ianze kukatwa kodi kama wafanya kazi wengine na wananchi wengine.

Ukweli ni kwamba wabunge na viongozi wakubwa mishahara yao haikatwi kodi kwa hiyo wanakula tuu mishahara kama ilivyo na hii hoja ya mbunge Maganga iwe chachu ya kubadilisha sheria zetu na kuishauri serikali kubadili sheria ili kila mtu alipe kodi sio kuwahamisha wananchi kulipa kodi huku wengine tena kundi kubwa lenye kipato kikubwa halilipi kodi.

Kwako katibu mkuu Chongolo.
Umeamua kuja kujitetea? Achia ngazi
 
Kama unatambua kazi, majukumu ya mbunge huwezi kumuunga mkono Maganga. Kuwagawia wananchi hela, kutoa misaada kwa wananchi sio jukumu la Mbunge.

Mbunge anatakiwa kuhamasisha wananchi kujipatia maendeleo yao, na kuisimamia vizuri miradi ya maendeleo jimboni kwake ambayo ndio itapunguza shida kwa wananchi wake.

Kama kila mbunge atataka kulipwa hela ya kuhonga wananchi wake ili wamchague tena, ni mshahara kiasi gani utatosha?
Kabisa asee
 
1. Mamlaka ipi inalipa wabunge mishahara ?
2. Nani anaetoa maamuzi ya kiasi cha mishahara wanayolipwa wabunge?
 
Nani mwenye huruma na kodi za Wanyonge? mbona wabunge na viongozi wajuu hawakatwi kodi? kwanini tusianze na watu kukatwa kodi?
Kwani hoja ya Maganga unayo itetea ni wabunge kulipa kodi au kuongezewa mishahara? Mbona unaji- contradict?

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
MBUNGE AACHIE JIMBO!

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbongwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohijiwa na gazeti la Nipashe

Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema

Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.

"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais"

Maoni yangu:
Kwanza kabisa niseme wazi kabisa Mimi nilipata wasaha wa kumsikiliza vizuri mbunge aliyesema wazi kuwa mishahara yao wabunge haiwatoshi na alieleza vizuri kabisa kwanini aseme hayo, na mimi nilitarajia kabisa haya ni maoni yake binafsi na anao uhuru wa kutoa maoni yake akiwa bungeni na kama ni hukumu basi sisi wananchi ndio tunajua chakufanya.

Kwenye hili kumekuwa na unafiki mwingi sana na wengi watajidai kuwa hawaungi mkono hoja ya Maganga lakini ukweli ni kwamba wabunge wote kwenye mioyo yao wanaunga mkono hoja lakini wanaogopa wananchi kuusema ukweli. Ukimsikiliza Maganga akijieleza vyema utamuelewa kuwa wabunge wanao mzigo mkubwa sana pamoja na mshahara huo unaotajwa.


Nimeshangazwa na Katibu mkuu bwana Chongolo kumtishia mbunge anayetoa maoni yake na kusema kama hataki aachie ubunge hii ni kinyume kabisa na haki za bunge na mbunge na pia uhuru wa maoni.

Kama kweli tunajali wananchi na wewe ni katibu mkuu tunaomba ukishauri chama na serikali mishahara ya wabunge na viongozi wote ianze kukatwa kodi kama wafanya kazi wengine na wananchi wengine.

Ukweli ni kwamba wabunge na viongozi wakubwa mishahara yao haikatwi kodi kwa hiyo wanakula tuu mishahara kama ilivyo na hii hoja ya mbunge Maganga iwe chachu ya kubadilisha sheria zetu na kuishauri serikali kubadili sheria ili kila mtu alipe kodi sio kuwahamisha wananchi kulipa kodi huku wengine tena kundi kubwa lenye kipato kikubwa halilipi kodi.

Kwako katibu mkuu Chongolo.
Anazunguka Mbuyu wakati jambo ni rahisi tu
 
Nani mwenye huruma na kodi za Wanyonge? mbona wabunge na viongozi wajuu hawakatwi kodi? kwanini tusianze na watu kukatwa kodi?
Simple game....wakianza kukatwa kodi....wataanza kuipandisha mishahara juu zaidi ili wakave lile gap la kodi....kama ni PAYE ya 18% basi wataongeza mshahara ili ile asilimia irudishwe .


Nadhani ni more deadly wakianza kukatwa...bora sasa hivi tunaweza kuwahukumu wasiongezewe mishahara sababu wao ni tax free.
 
Kama unatambua kazi, majukumu ya mbunge huwezi kumuunga mkono Maganga. Kuwagawia wananchi hela, kutoa misaada kwa wananchi sio jukumu la Mbunge.

Mbunge anatakiwa kuhamasisha wananchi kujipatia maendeleo yao, na kuisimamia vizuri miradi ya maendeleo jimboni kwake ambayo ndio itapunguza shida kwa wananchi wake.

Kama kila mbunge atataka kulipwa hela ya kuhonga wananchi wake ili wamchague tena, ni mshahara kiasi gani utatosha?
Maoni mazuri
 
Back
Top Bottom