Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika: Wapi alipo Rais wetu?

Mimi nimependa Kingereza chako aisee!
 
Mzena ni hospital maalum ya kitengo na ni kwa ajili ya high profilers
 
Azidiwe iyo ipi tena?
 
Kwani na wewe ni mdada!? Maana unasutana kidada dada!
 
Jamani bado tu ghrrrrrr

Huyu israeli kazi itamshinda hii
 
Kwahiyo J J Mnyika anajimwambafy kwamba yeye ndio boss kwa sababu wakubwa zake wote wamekimbilia Ulaya.

Bure kabisa huyu dogo!
Kazi ya upinzani ni kusemea mapungufu ya Serikali yako kwenda ulaya vina uhusiano gani na wewe kuficha ficha Ugonjwa?
 
To be honest CHADEMA iachane na siasa nyepesi!! Yaani kikao kilijadili taarifa za mitandaoni? What if ikiwa false?

CDM mnapoteza dira.
Kuongelea kuficha ficha taarifa siyo siasa nyepesi, wapinzani huongea kila mapungufu hupaswi kuwapangia cha kuongea wewe bakia kutetea ufichaji taarifa wao wataendelea kuhoji ficha ficha yenu
 
Watanzania wa wapi unawasemea? Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataona upinzani ni Majungu kwa wenye Akili timamu wanajua kazi ya upinzani ni kuhoji mapungufu yote ya CCM kuanzia madogo mpaka makubwa, huwezi kuwapangia wapinzani vya kuhoji, watu wenye Akili washauri kwenye mikwamo ipi? Hakuna mikwamo kwenye upinzani ndiyo maana wewe Polisiccm Tumeccm wakurugenziccm mlipora uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani, watanzania wenye Akili timamu hawana mda wa kuja na maneno ya kijinga kama yako.
 
Matukio ni sehemu ya mapungufu ya utawala wa CCM na kazi ya upinzani ni kuongelea mapungufu yote ya utawala wa CCM pasipo kubagua hata moja,
 
Matukio ni sehemu ya mapungufu ya utawala wa CCM na kazi ya upinzani ni kuongelea mapungufu yote ya utawala wa CCM pasipo kubagua hata moja,
Sawa minyoo lkn sio kuongelea MTU kuumwa tena kwakushedadia kwenye media hiyo unawaachia wahuni. Anaweza tangulia mshabiki anayejiona kijana mzima waafya ukamwacha huyo unayemwona dhaifu!! Maisha nifumbo.
 
Anaweza tangulia mshabiki anayejiona kijana mzima waafya ukamwacha huyo unayemwona dhaifu!! Maisha nifumbo.
Kweli kabisa. Wao wenyewe walijua Lisu atakufa lakini wanatangulia moja mmoja Lisu anawacheki tu wanavyozikana. Lisu atakuwa wa mwisho wao wakishaisha
 
Kweli kabisa. Wao wenyewe walijua Lisu atakufa lakini wanatangulia moja mmoja Lisu anawacheki tu wanavyozikana. Lisu atakuwa wa mwisho wao wakishaisha
Hilo nalo hatujui... kwamba atakuwa wamwisho!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…