Katibu Mkuu CHADEMA tafadhali ahirisha uchaguzi mkuu mpaka hapo baadae kwakuwa kuna viashiria vya uvunjifu wa amani

KENGE, POPOMA,...🚴🚴🚴🤣🤣😅🤣😃
 
"NYIE FANYENI UCHAGUZI WENU SISI TUPO KUWALINDA. MRADI UWE WA KIDEMOKRASIA"

...alisikika mzee mmoja wa kampuni ya ulinzi ya MARANYA MANYANDA SECURITY GUARD!!







Disclaimer: Just A Chit Chat!!
 
Polisi wapo watalinda amani mfanye uchaguzi wenu kwa amani msitoane ngeu
Jeshi la polisi lipo Ondoa shaka.Hakuna haja ya kuahirisha
itabidi polisi wa kutosha wamwagwe na yale magari yao ya upupu yawepo japo hakutakuwa na fujo
 
Unatoa ushauri kwa kuwa unaona dhahiri mbowe ameshindwa kabla ya kura kupigwa. Ungeshauri mbowe ajitoe badala ya kuahirisha uchaguzi. Ushauri wa kilevi huu
Sijachelewa sasa hivi tu barua rasmi itatoka
 
Liwalo na liwe. Hao watu watatu, Lissu, Lema na Heche waenguliweugombea na wafukuzwe uanachama mara moja. Maelezo ya Lema yamethibitisha mipango yao ya usaliti baada ya kugundua katika front line mpya iliyokuwa ikiandaliwa na chama, wao hawakuwemo. Msigwa alijondoa mwenyewe. Hawa watatu wakaamua kufanya mapinduzi kwa njia chafu tunazozishuhudia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…