Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
KENGE, POPOMA,...🚴🚴🚴🤣🤣😅🤣😃Namshauri katibu mkuu wa chadema ndugu john mnyika aahirishe kwanza uchaguzi mkuu ,kwa sababu Kuna viashiria vya uvunjifu wa amani au ikiwezekana lissu na heche wawekewe pingamizi la kisheria kwa kauli zao wamevunja kanuni za uchaguzi ,tubaki na wagombea wawili tu