Katibu mkuu CWT agoma kurudi Temeke kufundisha

Ametakiwa yeye arudi kituo chake cha kazi, hawezi kujitetea mbona mwenzake hajarudi, atekeleze alichotakiwa kufanya
Kwanini arudi kipindi hiki ambacho amekataa kuwa chaka na si wakati mwingine? Kwamj kuwa chawa lazima?
 
Akirudi ana kuta barua mezani ya uhamisho kwenda swekeni kama sio tukuyu Au huko nkasi basi mabamba mpakani na burundi [emoji23][emoji23][emoji23]
Atahamishiwa kwenye ile wilaya aliyokataa uteuzi wa kua mkuu wa wilaya. Sirikali ni lidude likubwa sana huwezi kua ndani yake halafu ukashindana nayo hautashinda
 
Status ya huyu Japhet Maganga ikoje? Je amekwisha ripoti TEMEKE kwenye shule aliyopangiwa?
 
Status ya huyu Japhet Maganga ikoje? Je amekwisha ripoti TEMEKE kwenye shule aliyopangiwa?
Alifunguliwa kesi ya utoro kazini baada ya kutoripoti kituoni kwake kwa zaidi ya siku 5 pasipo kutoa taarifa.
 
Kwamba nikiwa mwalimu siwezi kuacha kazi muda wowote ninaotaka Mimi????
 
Chezea Mshahara wake wa milioni 7 kwa mwezi, V8 VX aliyonunua katakana na makato ya Walimu kila Mwezi, anajilipa Honoraria hata milioni 10 akitakq, bado za safari za nje ya nchi kwa gharama za michango ya Walimu.

JE WEWE UNAWEZA KUACHA HAYO MAOKOTO WAKATI WALIMU WAMERITHIKA ATUMIE FEDHA ZAO KAMA ANAVYOTAKA ILI MRADI AWAPE T SHIRT MEI MOSI?
 
Kwani hakuna Mamlaka iliyo juu yake?
 
Unamtoa mgodi wenye dhahabu unampeleka kwenye shamba la mate mbele, atawaelewa kweli

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…