Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Kattanga yupo wapi?

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Kattanga yupo wapi?

mzushi

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
3,094
Reaction score
4,252
Leo ni mara ya pili katika kipindi cha karibu wiki ya tatu sasa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Kattanga hajaonekana hadharani na nafasi yake imekuwa ikikaimiwa na Mhe. Kusiruka.

Yeyote mwenye taarifa za huyu Mheshimiwa tafadhari tunaomba atudokeze.
 
Labda mwenzetu unahisi yuko wapi? labda likizo ya kurudisha mizigo yake na familia kutoka Japani
 
Nauliza kwa sababu kwa muda sasa nimekuwa nikimsikia Mh. Rais akimtambulisha Kaimu katibu Mkuu kiongozi ndugu Kusiruka! Je anaumwa au yupo wapi? kwa kuwa yeye ni kiongozi mkubwa na mkuu wa utumishi wa umma nchini na katibu wa baraza la mawaziri na ndiye mkuu wa makatibu wakuu wote ningependa au tungependa kujua Je yupo wapi ndugu huyu?
 
Nauliza kwa sababu kwa muda sasa nimekuwa nikimsikia Mh. Rais akimtambulisha Kaimu katibu Mkuu kiongozi ndugu Kusiruka! Je anaumwa au yupo wapi? kwa kuwa yeye ni kiongozi mkubwa na mkuu wa utumishi wa umma nchini na katibu wa baraza la mawaziri na ndiye mkuu wa makatibu wakuu wote ningependa au tungependa kujua Je yupo wapi ndugu huyu?
Yuko Ikulu anapiga kazi!
 
Nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi sio ya kisiasa . KMK anaweza akawa anatekeleza majukumu yake kimyakimya bila kulazimika kujitokeza hadharani

Hapo nyuma uliingizwa usanii kwenye utumishi wa uma. Waziri alikua anafanya kazi za katibu mkuu, katibu mkuu anafanya kazi za mkurugenzi wa idara. Mkuu wa idara atafanya kazi za maofisa wa kawaida kama makarani au hata wahudumu ili mradi kila mtu alikua anakwenda mbio kupata publicity ya kuonekana anafanya kazi na hivyo ajipendekeze kwa mamlaka ya uteuzi na utenguzi

Watu waliacha kufanya kazi kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za majukumu yao wakawa wanapigana vikumbo kuuza sura kwenye runinga. Maranyingi wakifokea wasaidizi wao, wakitoa matamko hata ya kuwasimamisha kazi(huku kiuhalisia hawana uwezo huo) na pengine kuwananga na kuwafokea wananchi

Matokeo yake wananchi tumehaidaika na kuona mtumishi wa umma anayejitokeza hadharani kwenye vyombo habari ndio mchapa kazi.

Hata hivyo yawezekana mleta uzi kweli amemkumbuka katibu mkuu kiongozi. Nilikua najaribu kupanua mjadala tu
 
Nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi sio ya kisiasa . KMK anaweza akawa anatekeleza majukumu yake kimyakimya bila kulazimika kujitokeza hadharani

Hapo nyuma uliingizwa usanii kwenye utumishi wa uma. Waziri alikua anafanya kazi za katibu mkuu, katibu mkuu anafanya kazi za mkurugenzi wa idara. Mkuu wa idara atafanya kazi za maofisa wa kawaida kama makarani au hata wahudumu ili mradi kila mtu alikua anakwenda mbio kupata publicity ya kuonekana anafanya kazi na hivyo ajipendekeze kwa mamlaka ya uteuzi na utenguzi

Watu waliacha kufanya kazi kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za majukumu yao wakawa wanapigana vikumbo kuuza sura kwenye runinga. Maranyingi wakifokea wasaidizi wao, wakitoa matamko hata ya kuwasimamisha kazi(huku kiuhalisia hawana uwezo huo) na pengine kuwananga na kuwafokea wananchi

Matokeo yake wananchi tumehaidaika na kuona mtumishi wa umma anayejitokeza hadharani kwenye vyombo habari ndio mchapa kazi.

Hata hivyo yawezekana mleta uzi kweli amemkumbuka katibu mkuu kiongozi. Nilikua najaribu kupanua mjadala tu
Yote unayosema ni sawa lakini kwa nini kila kwenye kuapishwa viongozi nafasi yake inakaimiwa na Bwana Kusiruka, toka anaapisha Wakuu wa mikoa hakuwepo na leo imepita zaidi ya wiki mbili hajaonekana tena, lazima Kuna shida sehemu si bure
 
Hata kuwepo kwenye kuapishwa viongozi ni sehemu ya kazi yake pia. Lazima Kuna tatizo si kawaida
Mkuu nimejaribu kukumbuka tu majibu ya wenye dhamana pindi wanapoulizwa maswali ya aina hiyo.
Rejea majibu ya mtendaji mkuu wa serikali/PM, pindi watu walipohoji mitandaoni namba moja yuko wapi.
 
Anaweza akawa anatekeleza majukumu yake kimyakimya bila kulazimika kujitokeza hadharani
 
Yuko Japan, kaenda kukabidhi ofisi na kuhama officially, kumbuka uteuzi ulimkuta yuko bongo......
 
Back
Top Bottom