Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Ndio wenzenu wanavyozitumia chanjo awaangaiki na kumchanja kila mtu, kwanza vijana wengi wakipata serikali zao azitaki hata kujua mbinu zao za kujitibu na wala hospitali zao aziangaiki nao.Tumeambiwa na nani?
Uongo mtupu.
Aisee yani hadi sasa bado mnasubiri serikali iseme mchukue tahadhari?
Na Mwenyezi Mungu asiufanye moyo wake kuwa mgumu maana akiendelea kuwa mbishi itakula kwakeWiki hii hii utasikia kaitisha chanjo
Kweli kabisa huyu mzee kwa Magu alikuwa kama nduguUsiku wa leo utakuwa mrefu sana! Maana hajui katika circle yake nani anafata
Hujasoma heading mkuu, au ndiyo akili za bangi?
Walifanya sana mizaha hawa ndugu zetu sasa acha tuone mwisho wao maana hakuna cha kwenda India wala nini huu mziki tutacheza wote humu humu.Inafanya vizuri Sana hii corona. Ipige na yule mwenye mhimili ulijichimbia Sana pamoja na subwoofer
Yaan ndani ya siku noja
Maalim seif.vedasto msungu
Baloz kijaz
we umeona wapi kuna mtt kafa na corona??Kuanzia kesho wanangu hamna kwenda shule. Elimu inatafutwa. Uhai hautafutwi.
Wewe dada unabwabwaja sana,hivi mtu utaepukaje social distance wakati lazime uende kazini.Kujilinda ni jukumu la mtu binafsi. Ina maana huna sabuni? Huna uwezo wa kununua barakoa ya 500? Huwezi kuweka distance kati yako na mtu mwingine? Unataka Rais akushikie kiboko kufanya hayo? Embu tuwe serious kidogo jamani.
Kweli kabisa huyu mzee kwa Magu alikuwa kama ndugu
mungu wa nyoka chatuSisi tunamtegemea mungu
750Kv hiiTunaanza kuongea lugha moja maana leo kolonya imegonga "PENTAGON".
M/Mungu atuepushe. Sio juu tuu huku chini inapiga zaidi ila cc wa upande huu hakuna mwenye muda na cc.Sasa hivi hii kitu inapiga huko juu juu kwanza.
May his soul RIP, ni umri wa Mkulu huyu! JPM akae chonjo kunahitajik Ikulu nzima kupimwa...Hajafa kwa Corona (in Mataga's voice)
Hivi kwanini Corona inawakwepa akina Ndugai, akina Kabudi, akina Sirro na kuchukua watu wema?Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi
CURRICULUM VITAE
NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons
EDUCATION
CAREER
- Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
- Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
LANGUAGES
- 1982 β 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1986 β 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1996 β 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1999 β 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
- 2002 β 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
- Jan β Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
- Dec 2006 β Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
- Jun 2007 High Commissioner to India
- 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
English, Swahili
Kifo cha kawaida sana.Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi
CURRICULUM VITAE
NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons
EDUCATION
CAREER
- Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
- Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
LANGUAGES
- 1982 β 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1986 β 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1996 β 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1999 β 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
- 2002 β 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
- Jan β Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
- Dec 2006 β Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
- Jun 2007 High Commissioner to India
- 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
English, Swahili