TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Wametoka mbali sana toka wakiwa Wizara ya Ujenzi
Kabisa Mama Jescar atakuwa anakazi ya ziada ya kumkanda Mh. Magufuli Mgongo ili arudi katika hali yake ya kawaida maana si kwa upendo ule kwa Marehemu Balozi kijazi huwenda asiwe sawa kwa siku chache hizi.
 
Kwa wasiojua majukumu ka Katibu Mkuu Kiongozi
1613594153713.png
 
Natamani kuunga hoja yako lakini imejaa shutuma na kutia hofu badala ya kuhamasishana kutii maekekezo ya kujinkinga pasipo shurti.

Pia kudhani Marehemu (RIP) amaondoka kwa ugonjwa huo ni dhana potofu.

Hatua sahihi za kiafya ni kinga badala ya tiba.

Hajaondoka kwa huo ugonjwa bali ameondoka kwa ugonjwa gani, au naye kapata ajali kama yule mbunge? Mtatokeza wote huko mlikojificha kuja kutetea serikali inayokwepa uwajibikaji.
 
Kabisa Mama Jescar atakuwa anakazi ya ziada ya kumkanda Mh. Magufuli Mgongo ili arudi katika hali yake ya kawaida maana si kwa upendo ule kwa Marehemu Balozi kijazi huwenda asiwe sawa kwa siku chache hizi.
Who cares?
 
Nadhani ni wakati muafaka wa kuanza kutafuta contacts za Pfizer na kuwafuatilia kwa karibu zaidi....

Serikali yetu ifanye mazungumzo ya haraka na Serikali ya Uchina watuletee Chanjo fasta - hachana na chanjo za Pfizer nawenzake, hao ndio wametuletea viriant ya pili ambayo inaonekana ni more virulent - hachana na jamaa hawa hawafai, angalio waliko peleka majaribio ya chanjo zao wakishirikiana na chanjo za Oxford, majaribio ya chanjo barani Afrika ilikuwa ni Kenya, Afrika kusini na Nigeria Mataifa na Brazil, mataifa yote tajwa hapo juu ndiko variant ya kovid imehibukia - kwa nini Serikali zenu za Kiafrika na Latin Amerika hazijiulizi ni kwa nini? Tuchukuwe chanjo kutroka Uchina na Urusi, sio za hawa wenye ajenda zao za siri kwa kupitia ndani ya chanjo zao, mpango huu walikuwa nao kwa muda mrefu walisubiri muda muhafaka kutekeleza ndoto zao kuhusu bara la Afrika na nchi nyingine maskini Asia nk, hasa hasa bara la Afrika - ugonjwa unapokuwa pandemic Duninia inakuwa juu ya miguu yao maana kila mtu atahitaji chanjo zao hakuna atakaye kwepa hilo - kumbukeni sana wanao tupa tahadhali kuhusu Bill Gates, msidanganywe na sura yake yenye bashasha, yuko crafty kweli kweli na amedhamilia vilivyo.
 
Unatuumiza macho bure kwa maherufi yako haya
IKIWA WATU WANGU WATAZIACHA NJIA ZAO MBAYA NAMI NITAIPONYA NCHI YANGU

MUNGU YUPO KUIPONYA TANZANIA

MALAIKA RAFAYA YUKO KUWAOKOA WATANZANIA TUSIOGOPE TUSIMAME. NA MUNGU

MUNGU ANAHITAJI WACHACHE KUMLILIA KWA AJILI YA NCHIYETU

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Serikali yetu ifanye mazungumzo ya haraka na Serikali ya Uchina watuletee Chanjo fasta - hachana na chanjo za Pfizer nawenzake, hao ndio wametuletea viriant ya pili ambayo inaonekana ni more virulent - hachana na jamaa hawa hawafai, angalio waliko peleka majaribio ya chanjo zao wakishirikiana na chanjo za Oxford, majaribio ya chanjo barani Afrika ilikuwa ni Kenya, Afrika kusini na Nigeria Mataifa na Brazil, mataifa yote tajwa hapo juu ndiko variant ya kovid imehibukia - kwa nini Serikali zenu za Kiafrika na Latin Amerika hazijiulizi ni kwa nini? Tuchukuwe chanjo kutoka Uchina na Urusi, sio za hawa wenye ajenda zao za siri.
Chanjo ya china mi sikubali.
 
💔💔💔💔💔💔
Balozi John William Kijazi lala salama baba
Inaumaaaaa
Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba
Tuendelee kuchukua tahadhari huku tukiomba sana Mungu
Pole Tanzania yangu 💔🙏

Kwani kuna korona? Si mpaka mtaani kwako wafe watu ndio inaonekana ipo? Soon tutaanza kuongea lugha moja.
 
Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.

View attachment 1705005

View attachment 1705003
Balozi John Kijazi enzi za uhai wake
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi

CURRICULUM VITAE

NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons

EDUCATION
  • Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
  • Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
CAREER
  • 1982 – 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1986 – 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1996 – 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1999 – 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 2002 – 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
  • Jan – Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
  • Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
  • Jun 2007 High Commissioner to India
  • 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
LANGUAGES
English, Swahili
Hivii... yale maombi yetu yame-expire???
 
Wizara ya afya wajitathimini njia wanazotumia kupambana na corona kama zinaleta matokeo positive.

Rais akubali tu corona ipo na watu waendelee kuchukua tahadhari na ubaya siku hizi wananchi weng hawajui kinachoendelea wanapata nafasi ya kusikia rais anasema nini vyombo vya habari vimezibitiwa
 
Nachojua mimi kwenye ufugaji chanjo huanza kabla ya ugonjwa.

Ukiwapa kuku chanjo ya mdonde kipindi ugonjwa umeingia utawamaliza kuku wote.

Sasa watz tukikubali chanjo tutegemee vifo vingi kisha hali itatulia maana mdudu keshakolea miongoni mwetu ila miili inajitahidi kujilinda.
Lahaula!!
 
Back
Top Bottom