TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

MUANZE KUANDIKA URITHI MAPEMA SASA

NAONA WAUZA MAGARI WAUZZA SPARE WAKIFUNGUA KAMPUNI ZA KUBEBEA GARI ZA MSIBA

SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA
WALE WALIOWAKE WATABAKI NA KUSU IRI KUNYAKULIWA

WALE WALIOKUFA WATAFUFUKA NA KUPOKEA MIILI MIPYA...

RIP BALOZI WETU

MAKANISA NA ..KUJAZANA NA WATU

FEB-MAY TUOMBE SANAA WAPENDWA TUOMBE SANA SANA SANA SANA
WATUMISHI WA MUNGU MSSISHIE KUSEMA TU OMBENI KWA AJILI YA NCHIYETU
 
Kumekucha!!! Hatimae mdudu ametia timu kwenye ofisi ya Mh Rais rasmi!!!

Kocha Magu ajipange apangike kweli kweli, mpaka ikifikia mwezi wa 4 hivi, atakua ameshapoteza "BENCHI LAKE LOTE LA UFUNDI MPAKA SUB ZOTE" kutokana na ule ugonjwa wa kishetani aliosema haupo Tanzania.

Itakua yeye "ANAFANYA UTEUZI" na Sir God nae "ANAFUTA UTEUZI". Kasheshe, Tutaongea lugha moja mwaka huu walai!!!

Mtu unalala huku una mawazo kilo 7 kichwani, mawazo ya kesho sijui utaamshwa na taarifa gani. Ukisikia simu inaita asubuhi asubuhi PRESHA INAPANDA kabla hata ya kupokea, roho ipo juu juu huna amani masaa yote. Ukiingia JF unakuta thread tatu tatu za misiba hujui uanze kutoa pole thread ipi!!!
Wezi wa kura na wauwaji wote hawatabaki mpaka april 2021 corona itajibu.
 
Chanjo inafanya kazi kama huna ugonjwa, ukishakua nao haifanyi kazi

Bado inafanya kazi, kwa asilimia kubwa tu Pfizer 95% kuokoa maisha yako, dalili ndogo tu, hujitaji kwenda hospitali. AstraZeneca 62%.

Russian,Chinese, Cuban we don't have enough sample, uwazi, ukweli, enough testing to make any conclusion.
 
IKIWA WATU WANGU WATAZIACHA NJIA ZAO MBAYA NAMI NITAIPONYA NCHI YANGU

MUNGU YUPO KUIPONYA TANZANIA

MALAIKA RAFAYA YUKO KUWAOKOA WATANZANIA TUSIOGOPE TUSIMAME. NA MUNGU

MUNGU ANAHITAJI WACHACHE KUMLILIA KWA AJILI YA NCHIYETU

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
MUANZE KUANDIKA URITHI MAPEMA SASA

NAONA WAUZA MAGARI WAUZZA SPARE WAKIFUNGUA KAMPUNI ZA KUBEBEA GARI ZA MSIBA

SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA
WALE WALIOWAKE WATABAKI NA KUSU IRI KUNYAKULIWA

WALE WALIOKUFA WATAFUFUKA NA KUPOKEA MIILI MIPYA...

RIP BALOZI WETU

MAKANISA NA ..KUJAZANA NA WATU

FEB-MAY TUOMBE SANAA WAPENDWA TUOMBE SANA SANA SANA SANA
WATUMISHI WA MUNGU MSSISHIE KUSEMA TU OMBENI KWA AJILI YA NCHIYETU
Huo ndio wakati wa godmark funeral director Tanzania kupiga kazi .
 
Mbwa kula matapishi si halamu... Poleni familia ya Mzee Kijazi ... RIP
 
💔💔💔💔💔💔
Balozi John William Kijazi lala salama baba
Inaumaaaaa
Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba
Tuendelee kuchukua tahadhari huku tukiomba sana Mungu
Pole Tanzania yangu 💔🙏
 
Bado inafanya kazi, kwa asilimia kubwa tu Pfizer 95% kuokoa maisha yako, dalili ndogo tu, hujitaji kwenda hospitali. AstraZeneca 62%.

Russian,Chinese, Cuban we don't have enough sample, uwazi, ukweli, enough testing to make any conclusion.
Kwahiyo Baba kapewa vaccine fake?? Mbona mnyikulu ametangia hajupewa chanjo nini?
 
Kumekucha!!! Hatimae mdudu ametia timu kwenye ofisi ya Mh Rais rasmi!!!

Kocha Magu ajipange apangike kweli kweli, mpaka ikifikia mwezi wa 4 hivi, atakua ameshapoteza "BENCHI LAKE LOTE LA UFUNDI MPAKA SUB ZOTE" kutokana na ule ugonjwa wa kishetani aliosema haupo Tanzania.

Itakua yeye "ANAFANYA UTEUZI" na Sir God nae "ANAFUTA UTEUZI". Kasheshe, Tutaongea lugha moja mwaka huu walai!!!

Mtu unalala huku una mawazo kilo 7 kichwani, mawazo ya kesho sijui utaamshwa na taarifa gani. Ukisikia simu inaita asubuhi asubuhi PRESHA INAPANDA kabla hata ya kupokea, roho ipo juu juu huna amani masaa yote. Ukiingia JF unakuta thread tatu tatu za misiba hujui uanze kutoa pole thread ipi!!!
Natamani kuunga hoja yako lakini imejaa shutuma na kutia hofu badala ya kuhamasishana kutii maekekezo ya kujinkinga pasipo shurti.

Pia kudhani Marehemu (RIP) amaondoka kwa ugonjwa huo ni dhana potofu.

Hatua sahihi za kiafya ni kinga badala ya tiba.
 
Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.

Hapana, hakuna corona Tanzania maana tulifanya maombi na Corona ikaondoka nchini. Ngoja kwanza wananchi wajue wanadanganywa kiasi gani na utawala huu.
 
Natamani kuunga hoja yako lakini imejaa shutuma na kutia hofu badala ya kuhamasishana kutii maekekezo ya kujinkinga pasipo shurti.

Pia kudhani Marehemu (RIP) amaondoka kwa ugonjwa huo ni dhana potofu.

Hatua sahihi za kiafya ni kinga badala ya tiba.
Imekula kichwa. Na bado. Walikuwa wanatamba midomo wazi ngoja iwafyeke.
 
Back
Top Bottom