TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Kujilinda ni jukumu la mtu binafsi. Ina maana huna sabuni? Huna uwezo wa kununua barakoa ya 500? Huwezi kuweka distance kati yako na mtu mwingine? Unataka Rais akushikie kiboko kufanya hayo? Embu tuwe serious kidogo jamani.
tunataka awe serious na Corona Kama anavyokuaga serious na swala la Kodi

"Kwani nasema uongo ndugu zangu"
 
Naona walichelewa sana. Ilikuwa haijaanza kufnya kazi. Huko Idodomy presha inapanda presha inashuka. Na walivyokuwa wanapumuliana sijui itakuwaje
Nimewaza mbali ndio maana nimemkumbuka waziri wa uchina.....

Naomba nilale ambao tumeelewa tusisahau kujifukiza
 
Kwahiyo Baba kapewa vaccine fake?? Mbona mnyikulu ametangia hajupewa chanjo nini?

Chanjo sio kila kitu inapunguza tu makali ya ugonjwa. Ndio maana hata ukipata chanjo endelea kuchukua hatua, tahadhari, kula vizuri, ikiwezekana avood misongamano.

Ni vigumu sana. Daladala tu kasheshe.

Halafu unaweza kuwapa ndugu zako bila kujua pamoja na chanjo.

Uchumi, maisha lazima yaendelee. Hasa sisi walalahoi, tutakufa na njaa, tukifungia.

Mawili kufa na njaa au Corona?
 
Tumkaribie Mungu zaidi! Naomba Mungu azidi kuilinda nchi yetu Tanzania na watu wake, ktk jina lipitalo majina yote, Yesu Kristo, amen!

Hapana, hakuna Mungu anasikiliza wezi wa kura na mabaradhuli, piga mpaka akili iwakae vizuri. Wale wapinzani mliwaua juzi kwenye uchaguzi ili mkae madarakani lazima ilipwe. Ule ushirikina wa wiki ya nyungu unaanza lini?
 
Serikali yetu ifanye mazungumzo ya haraka na Serikali ya Uchina watuletee Chanjo fasta - hachana na chanjo za Pfizer nawenzake, hao ndio wametuletea viriant ya pili ambayo inaonekana ni more virulent - hachana na jamaa hawa hawafai, angalio waliko peleka majaribio ya chanjo zao wakishirikiana na chanjo za Oxford, majaribio ya chanjo barani Afrika ilikuwa ni Kenya, Afrika kusini na Nigeria Mataifa na Brazil, mataifa yote tajwa hapo juu ndiko variant ya kovid imehibukia - kwa nini Serikali zenu za Kiafrika na Latin Amerika hazijiulizi ni kwa nini? Tuchukuwe chanjo kutoka Uchina na Urusi, sio za hawa wenye ajenda zao za siri.
Hizi habari umezitoa wapi?

Sayansi inaendana na facts sio conspiracies na habari za kufikirika..., lete data katika chanjo zote percentagewise ni ipi ina more positive results..., na hio ya China imepimwa wapi na variants ya Africa kusini na data zinasemaje ? Habari za nani kaleta and what not kwa sasa ni immaterial..., the only issue is what works,,,
 
Naona comments nyingi humu ni ushabiki na bendera fuata upepo.
1. Wote tunakumbuka jinsi mwaka Jana tulivyo pambana pamoja tulishinda
2. Rais kwa kinywa chake kesha sema tuchukue tahadhari zote, hata wizara ya afya imetoa muongozo, kosa la serikali liko wapi
3. Tukumbuke hii ni new variant, je nani kaleta? Is it only for Africa?
Hebu tuchukue tahadhari tukiwa tunajiuliza maswali.
Hata huko kwenye chanjo bado wanakufa in large numbers
Tuache kulaumu Rais bana. Huo ni ushamba

Bado hamjatetea vizuri, mtatetea sana lakini kutowajibika kwa serikali kwenye hili kunafahamika. Propaganda mfu hazina nafasi kwenye hili. Zile pesa zilitolewa na wazungu kupambana na covid zilienda wapi?
 
I'm speechless [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji1430]
Umetutunuku degree zetu,tukakufurahia, Umeondoka [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom