Kwani wewe serikali ikitangaza dharura utapungukiwa nini? We unajuaje kama alietoa wazo hajikingi? Mwisho wa yote we ndo serikali?Kujilinda ni jukumu la mtu binafsi. Ina maana huna sabuni? Huna uwezo wa kununua barakoa ya 500? Huwezi kuweka distance kati yako na mtu mwingine? Unataka Rais akushikie kiboko kufanya hayo? Embu tuwe serious kidogo jamani.
really???Wiki hii hii utasikia kaitisha chanjo
Hali ni mbaya kwa kweli.Kumekucha!!! Hatimae mdudu ametia timu kwenye ofisi ya Mh Rais rasmi!!!
Kocha Magu ajipange apangike kweli kweli, mpaka ikifikia mwezi wa 4 hivi, atakua ameshapoteza "BENCHI LAKE LOTE LA UFUNDI MPAKA SUB ZOTE" kutokana na ule ugonjwa wa kishetani aliosema haupo Tanzania.
Itakua yeye "ANAFANYA UTEUZI" na Sir God nae "ANAFUTA UTEUZI". Kasheshe, Tutaongea lugha moja mwaka huu walai!!!
Mtu unalala huku una mawazo kilo 7 kichwani, mawazo ya kesho sijui utaamshwa na taarifa gani. Ukisikia simu inaita asubuhi asubuhi "PRESHA INAPANDA" kabla hata ya kupokea (Usiombe ukawa na mgonjwa), roho ipo juu juu huna amani masaa yote unategemea taarifa ya vifo. Ukiingia JF unakuta thread tatu tatu za misiba hujui uanze kutoa pole thread ipi!!!
Sichungi. Watanzania wanakufa kwa uzembe wa viongozi.tulishindwa nini kuchukua tahadhari tangu mapema? Nyie ccm mtabeba lawama za vifo vya watanzania.
Sikio la kufa halisikii dawa."Katibu wa Rais", maana mzigo upo katika viunga vya Ikulu.
Mzee baba endelea kushupaza shingo...
Kama inapiga Counter Attack hivi, Alaf bonge la bao kipa hujakaa sawa chuma nyingine hujakaa fresh inakula post😬😬😬 unataman mechi iishe hapo hapo maan ni hatariTunaanza kuongea lugha moja maana leo kolonya imegonga "PENTAGON".
Kabisaaaah yaaanHii inapiga KO mpaka walinzi wenye mafunzo yao
Jifunze ku respect mawazo ya wenzako. Wewe sio binadama ambaye umekamilika peke yako. Kila mmoja ana desire yake na usifikiri kuwa wote tuna mawazo kama yako. Usichokipenda wewe haimaanishi kuwa na sisi pia hatukipendi.Mweh [emoji849] unatwanga maji kwenye kinu Kalaghabaho!! Yaani na mateso yote haya bado unawaza aongezewe tena mitano. Ulianza vizuri ila mwisho ni utopolo mtupu