Tuendelee kupiga nyungu [emoji23]
Awali ya kwanza ni kufuata maelekezo ya wataalamu na siyo wanasiasa, tufuate maelekezo ya Dr Fauci( daktari Mkuu wa Serikali) vaa barakoa, nawa mikono kila wakati, kaa mbali umbali wa mita mbili (social distancing) kwani Tanzania siyo Kisiwa! If you cannot trust God with your medicine you cannot trust God with your prayer since God is of nature!! Doctors treat God Heals!