Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda sasa dunia itatangaziwa rasmi kuwa Mchina Wuhan amejaa tele Tanzania ili WHO itupatie Msaada wa Chanjo ili tuliobaki na anayetujaza Ujinga kuwa hakuna tusife nao.Duh sasa hivi hali ishakuwa mbaya kwa kweli
Ingesaidia hawa VIP's wote wangepukitika hivi? Na hapa wala haihitaji Akili kubwa kujua ya kwamba kama akina Hamad na Kijazi wametangulia ghafla hivi basi hata Namba Moja na Namba Mbili Kikatiba hawako salama kivile na Binafsi naanza Kuingiwa na Mashaka juu ya hili.Chanjo ile haijasaidia?!
Unalo la kusema waambie uwapendao wajikinge na Covid-19 kwa kufuata ushauri wa kitaalam toka popote duniani ikiwa ni pamoja na wa WHO na kuachana na ushauri wa maDoctor of Philosophy (PhD).Jamani, Jamani sina la kusema. Nchi ya Tanzania tumekosa nini?.
Na aliyemjaza kiburi pia ateketeeNingependa sana yule mama Waziri kimbelembele mwenye sura ngumu kama kidume ateketee kwa Corona
Je VIP walio wengi wamepata chanjo ya Korona? Na kama hii ni kweli chanjo imetoa matokeo chanya? Je Korona ipo Tanzania? Na kama ipo ikitangazwa kuwa ipo je itasaidia kuokoa maisha ya watu wengi?
Duuh..kaka unasubiri serikali ikwambie kuchukua tahadhari ya maisha yako mwenyewe? Nadhani hata ukimuona nyoka ameingia ndani kwako utasubiri uambiwe kumtoa.Mmh aiseeee basi serekali iseme watu wachukue tahadhari
Tahadhari tu na sio kingine
Hata chini inapiga sana tu sema ndo hivyo taarifa hazitoki kwa vile ni low profileSasa hivi hii kitu inapiga huko juu juu kwanza.
Laiti trakiDuuh ila Dereva anadai wasafiri tunaelekea njia Salama [emoji2960]