TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Ni dalili mbaya na fundisho. Watu tukiugua yawezekana mara zaidi ya mia. Hivi leo phace 4 naona dalili ninazizijua, kifua kuwa kuzito, nimeiyona hii Kama dalili mbaya.

Na nikijaza hewa kwenye mapafu yanakuwa mazito kupita maelezo, sikupiga nyungu yapata wiki sasa.

Mimi Kama Marehem mtarajiwa watz tuache robo mbaya, tuache upuuzi wa kibabe. Mwaka wa sita unyanyasaji sehem za kazi, njiani...muulize Kuna sabb upo traffic kuacha kusimamia level seat? Wizards ya afya kuacha kusimamia kunawa mikono, precautions za kutosha.

Nchi bado haijapata kiongoz kiungwana Kama mwalimu. Mods naomba heading isomeke karibu mkuu
 
Chanjo ile haijasaidia?!
Ingesaidia hawa VIP's wote wangepukitika hivi? Na hapa wala haihitaji Akili kubwa kujua ya kwamba kama akina Hamad na Kijazi wametangulia ghafla hivi basi hata Namba Moja na Namba Mbili Kikatiba hawako salama kivile na Binafsi naanza Kuingiwa na Mashaka juu ya hili.

Na ninavyomjua Namba Moja alivyo Muoga wa Kufa sasa hivi atakimbilia Kwao. Na najua hata Kisaikolojia tu Vifo hivi vimemshtua hasa ikizingatiwa Mgeni ( FM ) wa Kichina ( Uchina ) alipokuja alileta Mzigo wa Kuwaponya na wakautumia wote cha Ajabu wanapukutika tu ikimaanisha kuwa Mchina aliendeleza Utamaduni wake wa Ufamba ( Utapeli ) na sasa wanatucheka tu huko waliko.
 
Itaingiaje wakati milango ya jengo linalindwa na kila aina ya nyenzo. Mdudu ni kiumbe mdogo anaweza akadhibitiwa kirahisi. Acha uzushi!
 
Hali ni tete huu sio wakati wa conspiracy theories ni wakati wa kuwa realistic na kuchukua hatua thabiti ama sivyo nchi itasimama!
 
Jamani, Jamani sina la kusema. Nchi ya Tanzania tumekosa nini?.
Unalo la kusema waambie uwapendao wajikinge na Covid-19 kwa kufuata ushauri wa kitaalam toka popote duniani ikiwa ni pamoja na wa WHO na kuachana na ushauri wa maDoctor of Philosophy (PhD).

Nchi ya Tanzania tumekosa sana kurudia kosa kubwa tulilofanya mwaka 2015 licha ya Mungu kusikia maombi yetu na kutuondolea janga la corona tukaona ni kwa nguvu za binadamu na kurudia kosa kwa mabegi meusi. Changamoto la kupumua linatumaliza!
 
Mmh aiseeee basi serekali iseme watu wachukue tahadhari

Tahadhari tu na sio kingine
Duuh..kaka unasubiri serikali ikwambie kuchukua tahadhari ya maisha yako mwenyewe? Nadhani hata ukimuona nyoka ameingia ndani kwako utasubiri uambiwe kumtoa.
 
Back
Top Bottom