CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Au anadhani ni Burundi huko kwa kuwa tu ni one ecosystem.Kwani Chato sio Tanzania???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au anadhani ni Burundi huko kwa kuwa tu ni one ecosystem.Kwani Chato sio Tanzania???
Nyie mbweha mnaakili kweli? Watu wakichukua tahadhari wanakatazwa rejea kilichotokea kule moshi watu kuvuliwa barakoa na wenye mamlaka, yule prof wa out alitoa tahadhali wenzie wakampiga vitaUnasubiri Serikali ikuambie Usinywe Sumu utakufa? be a Man, Maisha yako yathamini wewe mwenyewe kabla ya Serikali
chukua hatua mkuu usisubili matamkoAisee nikiangalia idadi ya misiba nnayokutana nayo wiki mbili hizi
siyo hali ya kawaida
Something is not right somewhere
... sio tu iseme bali i-enforce! Ndio jukumu la kwanza la serikali inayojali uhai.Mmh aiseeee basi serekali iseme watu wachukue tahadhari
Tahadhari tu na sio kingine
Na kiongozi wa nchi anatakiwa aamke na kutoa tasrifa kwa Watanzania. With right measures. Sio hao waigizaji wake kuji selfee na glasi za miti shamba na nyungu.Hali ni tete huu sio wakati wa conspiracy theories ni wakati wa kuwa realistic na kuchukua hatua thabiti ama sivyo nchi itasimama!
Unauliza Masela Kijiwe cha Saigon?You mean Bilali!!
ujenge na nyumba kabisa hapo unaposubiri.Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Namba Moja ( Baba ) na Namba Mbili ( Mama ) wako salama kama huyu Mtendaji wao Mkuu wa karibu Kafyekwa ( Kapukutika ) nao.
Binafsi naanza sasa Kujiandaa kwa Habari Mpasuko nyingine mbaya nchini kwani nijuavyo kuna Mmoja Kihistoria tu Afya yake ilishakuwa na Mgogoro kwa kuwa na Kirusi cha Kuishi kwa Matumaini sasa akiingiwa tu na Kirusi cha Wuhan huenda Tanzania tukawa na Siku 15 au 30 za Maombolezo.
Acha ujinga wewe wakati watu wakivaa barakoa mnawavua, yule prof wa out katoa waraka wa kujikinga mkamgeukaNaona comments nyingi humu ni ushabiki na bendera fuata upepo.
1. Wote tunakumbuka jinsi mwaka Jana tulivyo pambana pamoja tulishinda
2. Rais kwa kinywa chake kesha sema tuchukue tahadhari zote, hata wizara ya afya imetoa muongozo, kosa la serikali liko wapi
3. Tukumbuke hii ni new variant, je nani kaleta? Is it only for Africa?
Hebu tuchukue tahadhari tukiwa tunajiuliza maswali.
Hata huko kwenye chanjo bado wanakufa in large numbers
Tuache kulaumu Rais bana. Huo ni ushamba
Acha uzushi wewenipo dsm mtaa wa kwa azizi ally najaribu kufatilia kama kuna mtu yyte kadanja kwasababu ya hako ka mdudu ila bado sijaona yyte, na hakuna anaechukua tahadhari vile vile, sasa nazidi kuchanganyikiwa sana.
endelea kuwa na hofu basiUnazungumza kama mganga wa kienyeji
nazungumzia corona.Mbona kwa mambo mengine huwa anawachana watu bila aibu vipi hili la covid aibu imetoka wapi???
hii tunaita symbiotic relation one is harmed one is benefiting hapo mtu anakuja kula shavu saaafi full ving,olaDuuh hatari sana, hii wiki sio njema kabisa kwa upande wa serikali yaani acha tu maana watumishi waandamizi wanazidi kupungua tu yaani ni pigo aisee
Huyu naye ka jinga vile, sasa wakitangaza ndiyo itaisha? Kila mtu ajilinde kivyake ukisubiri kutangaziwa na serikali utaishia! Tupigeni nyungu jamani!
LeadershipJamani, Jamani sina la kusema. Nchi ya Tanzania tumekosa nini?.
ikifosi tutahalibu uchumi au nasema uongo ndugu zanguuuuu... sio tu iseme bali i-enforce! Ndio jukumu la kwanza la serikali inayojali uhai.
Sayansi haiendi na maigizoNYUNGU,. Niwakti sahihi wakupiga nyungu kwa mara nyingine tena[emoji3525][emoji3525]