Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Alisema maji moto bhana...Tatizo wabongo tu wabishi sana. Unakutana na mtu anakuambia Tanzania hamna Corona...
Juzi kati hapa kitaa cha Bunju, mama mmoja kushuka kwa daladala na barakoa yake. Vijana wa bodaboda wanaanza kumzomea eti analeta udhuru, Tanzania hakuna Corona. Magu kaitokomeza... Hapo ni town vipi huko Mpitimbi?