TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Unasubiri Serikali ikuambie Usinywe Sumu utakufa? be a Man, Maisha yako yathamini wewe mwenyewe kabla ya Serikali
Nyie mbweha mnaakili kweli? Watu wakichukua tahadhari wanakatazwa rejea kilichotokea kule moshi watu kuvuliwa barakoa na wenye mamlaka, yule prof wa out alitoa tahadhali wenzie wakampiga vita
 
Hali ni tete huu sio wakati wa conspiracy theories ni wakati wa kuwa realistic na kuchukua hatua thabiti ama sivyo nchi itasimama!
Na kiongozi wa nchi anatakiwa aamke na kutoa tasrifa kwa Watanzania. With right measures. Sio hao waigizaji wake kuji selfee na glasi za miti shamba na nyungu.
 
ujenge na nyumba kabisa hapo unaposubiri.

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Acha ujinga wewe wakati watu wakivaa barakoa mnawavua, yule prof wa out katoa waraka wa kujikinga mkamgeuka
 
nipo dsm mtaa wa kwa azizi ally najaribu kufatilia kama kuna mtu yyte kadanja kwasababu ya hako ka mdudu ila bado sijaona yyte, na hakuna anaechukua tahadhari vile vile, sasa nazidi kuchanganyikiwa sana.
Acha uzushi wewe
 
Kanuni ni Ile Ile UKIFA UNAZIKWA TUNAENDELEA NA MAISHA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…