Alisema maji moto bhana...Tatizo wabongo tu wabishi sana. Unakutana na mtu anakuambia Tanzania hamna Corona...
Ana ona aibuHali ni mbaya.
Serikali iseme neno
Mungu tunusuru[emoji24]
yani amri imewala wenyewe kwanzaAcha wote tucheze mdundo mmoja sio masikini sio tajiri, safari hii wote tunabanana humu humu ndani hakuna kwenda kutibiwa nje
Matusi ya nini ndg? Kitu gn kimeuma hapo? Kuna neno Corona umeitoa wp, mbona mm sikusema kuhusu Corona!.... kabla ya Corona watu walikuwa hawafi? Fala wewe!
Badala kuweka nguvu kwenye kuhamasishana tujijinge, tupo bize kupigia kelele wenye mamlaka...Wengi wanaisikiliza serikali tu
au nasema uongo ndugu zanguuuuuMitano tenaaaaa! Ahahahaha
Ametuingiza cha kike/Kiume na Herd Immunity.Most likely vaccinated secretly!
... ninyi hususan wewe si ndio mlikuwa mnabeza humu! Janga halibezwi ndugu; watu wanakufa halafu mnaleta maneno ya dharau humu? Eti kabla ya Corona watu walikuwa hawafi? Sasa imepiga penyewe; endeleeni na kebehi zenu!Matusi ya nini ndg? Kitu gn kimeuma hapo? Kuna neno Corona umeitoa wp, mbona mm sikusema kuhusu Corona!
Acha lugha za kuudhi wewe dada!!.....swali! je wavaa barakoa hawapati corona??
Unatumia kigezo gani kuniambia huo ni uzushi?..Acha uzushi wewe
Ww mnyonge atakutangaza nani? Watu wanapotea sema ndio hivyo misiba haikiki hawana status za hivyo muhimu kuchukua tahadhari mtu kwa wiki moja unazika hata wa4 unaowajua hili goma kuanzia mwezi wa 11 na moja huko linapiga non stop dadekiAsee ipunguze punguze hao wajuu kwanza kabla ya kufika kwetu wanyonge.
Kwa hiyo nyinyi ACT Wazalendo siyo watanzania?
... neno la uzima sana hili! Mungu ashukuriwe kwa neno hili la maonyo; ila mpumbavu atasikia maonyo? Na akisikia ataelewa? Maana yu katika kivuli cha upumbavu.Aonywae mara nyingi akishupaza shingo, huvunjika na wala hapati dawa...
Wewe una uelewa huo. Trust me kuna mijinga mingi sana inawasikiliza wanasiasa kuliko madaktari na hata Mungu.Hi mambo mingine sielewi bhana...
Kwani tunahitaji kutangaziwa ndo tujue ipo?!!
... maskani huku wanaondoka sio mchezo; hao mabosi unawasikia kwa sababu wana majina makubwa. Sasa hivi ni misiba kila kona ya nchi; sio mijini sio vijijini. Usiombe.Korona inaondoka na mabosi tu
... maskani huku wanaondoka sio mchezo; hao mabosi unawasikia kwa sababu wana majina makubwa. Sasa hivi ni misiba kila kona ya nchi; sio mijini sio vijijini. Usiombe.