Katibu mkuu kiongozi kiongozi umeshindwa kumshauri Rais kuhusu mishahara ya watumishi wa umma? Tukiibia serikali mtatulaumu?

Katibu mkuu kiongozi kiongozi umeshindwa kumshauri Rais kuhusu mishahara ya watumishi wa umma? Tukiibia serikali mtatulaumu?

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Just imagine kwenye harusi moja ya mtoto wa kiongozi mmoja wa serikali ya mapinduzi zanzibar amezawadiwa bilioni 1.5 ndiyo 1.5 bilion hizo pesa zinatoka wapi? Sio kama wizi nini? Mtumishi wa umma unapataje kiasi chotee cha pesa hiko? Hii haikubaliki hata kidogo

Yaani haiwezekani mtumishi wa umma anapokea vijisenti halafu wabunge ambao KAZI Yao ni kugonga meza tu analipwa 18 milioni hii ni haki?hii ni sahihi? Vp tukiiba sie watumishi wa umma mtatulaumu? Mtu amesoma sana halafu anakuja kulipwa mshahara mbuzi hii haiwezekani kabisa aisee

Watumishi wengi wa umma Tanzania wengi wanapumulia mashine tu ila ni waoga na wajinga kupitiliza wengi kazi yao ni kupiga mapambio tu na watumishi wengi wa umma ni kama hauwajielewi kabisa yaani wapo Very comfortable na kazi yao ni kupiga majungu Tu huko maofisi kwao

Enough is enough! Nimechoka na huu nani amewaambia utumishi wa umma ni wito Nani? Sisi tuna familia na kuna watu nyuma wanatutegemea sasa kwa huo mshahara unasaidia nini? Enough is enough haiwezekani I will anything to get money mimi si mjinga hii nchi ni wote


Angalizo
Moderator acheni uchawa kwa wanasiasa kutokana na kauli mbiu yenu " dare to talk openly'" acheni Uzi upepee 🥳🥳
 

Attachments

  • IMG-20240719-WA0029.jpg
    IMG-20240719-WA0029.jpg
    61.8 KB · Views: 6
hakuna kipya ulichooandika tushapiga sana kelele ila jua tu mwenye shibe hamjui mwnye njaa....huyo mwinyi akishinda njaa basi jua yupo kwenye ramadan.
 
Duh, huyo kuiba au kutokuiba ni uamuzi tu binafsi na hiari?
 
Just imagine kwenye harusi moja ya mtoto wa kiongozi mmoja wa serikali ya mapinduzi zanzibar amezawadiwa bilioni 1.5 ndiyo 1.5 bilion hizo pesa zinatoka wapi? Sio kama wizi nini? Mtumishi wa umma unapataje kiasi chotee cha pesa hiko? Hii haikubaliki hata kidogo

Yaani haiwezekani mtumishi wa umma anapokea vijisenti halafu wabunge ambao KAZI Yao ni kugonga meza tu analipwa 18 milioni hii ni haki?hii ni sahihi? Vp tukiiba sie watumishi wa umma mtatulaumu? Mtu amesoma sana halafu anakuja kulipwa mshahara mbuzi hii haiwezekani kabisa aisee

Watumishi wengi wa umma Tanzania wengi wanapumulia mashine tu ila ni waoga na wajinga kupitiliza wengi kazi yao ni kupiga mapambio tu na watumishi wengi wa umma ni kama hauwajielewi kabisa yaani wapo Very comfortable na kazi yao ni kupiga majungu Tu huko maofisi kwao

Enough is enough! Nimechoka na huu nani amewaambia utumishi wa umma ni wito Nani? Sisi tuna familia na kuna watu nyuma wanatutegemea sasa kwa huo mshahara unasaidia nini? Enough is enough haiwezekani I will anything to get money mimi si mjinga hii nchi ni wote


Angalizo
Moderator acheni uchawa kwa wanasiasa kutokana na kauli mbiu yenu " dare to talk openly'" acheni Uzi upepee 🥳🥳
Unaweza kuwa umesoma lakini hujaelimika, kwenda shule sana haimaanishi kuelimika sana.

Hufahamu kuwa shule ndiyo chanzo cha watu kujazwa ujinga? Ukitegemea masomo ya shule pekee utaendelea kuwa mtumwa daima.
 
Mkuu kitu ambacho watumishi wengi ni kwamba mishahara haiwezi kumuinua mtumishi hata iweje kwasababu wakiongeza mshahara wanapandisha vitu bei watumishi wanatakiwa wadai posho na sio nyongeza ya mishahara kwasababu wanaoumia ni watanzania wengine ambao hawana kazi mtaani inatakiwa mtumishi apate:–

Transport allowance
House allowance
Na asiwe na double taxation kwasababu mshahara ushakata kodi tayari

Lakini pia watumishi wakope kwenye mifuko yao ya jamii kwa riba nafuu kuliko hawa NMB na CRDB wanawaumiza watumishi bila sababu.

Mwaka juzi waliongeza elfu 10 mshahara wakaongeza makato kwenye bank na vitu vikapanda bei maisha wanayoishi mawaziri ndio maisha ya mtumishi wa uma anatakiwa aishi vocha kila mwezi na marupu rupu kibao mshahara hakuna mtumishi atatoboa kwa mshahara.
 
Kwa ajili ya kundi fulani la watumishi: Maoni, ushauri kwa Mama yetu kipenzi Rais wa JMT ambaye ndio mwenye serikali na mwenye mamlaka ya kutoa agizo lolote : kilio walioajiriwa 2014 kudai kupandishwa vyeo kama ilivyostahiki hakijasikilizwa, ni hivi 👉kufikia 2018 walipaswa kupanda vyeo kwa mara ya kwanza, kufikia 2021 walipaswa kuwa kwenye cheo cha pili, kufikia 2024 walipaswa kuwa kwenye cheo cha tatu, lakini ilivyo ni kuwa wapo kwenye cheo cha pili badala ya cheo cha tatu.
 
Back
Top Bottom