Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Dkt. Bashiru Ally unasumbuka sana. Rais Samia tarehe 30, Aprili atashinda kwa asilimia 100%


Kusema kuwa pengine wako watu na inawezekana kabisa wamepewa budget ya kumchafua mwendazake na wale watu wote waliokuwa wa mkono wake wa kuume.!!

Msichojua Mwendazake JPM alikuwa mwalimu mahiri. Kawafundisha viongozi wa Tanzsnia aliofanya kazi nao. Wengine walishindwa akawatumbua akiwa hai(End of semistars Exam walifeli). Walio baki hawakujua amewatungia mtihani wa final na uko kwenye shelves na marking scheme yake kawakabidhi Watanzania Wazalendo. Wapende wasipende viongozi waliocha nyuma na JPM tutawapima kwa marking scheme ya Mwenda zake.

PM majaliwa anaongoza haya maswali mwanzo ya T/F anascore. Atakuwa alikuwa mwanafunzi mzuri wa JPM. Wako wengine wala hawajajielewa kwamba wako kwenye Exam theatre.
 
majaliwa pekee katika huu uongozi ndiye naemuona ana kazi ngumu kuliko wote, huyu mtu inabidi atumie extra brain kukabiliana na dhoruba or otherwise achukue upande wa pili ambao hauna gharama na hauhitaji nguvu, upande wa kua neutral tu na kuangalia penye maslahi. yani kufanya utendaji just for granted
 

Kazi ngumu katika utumishi wa watu with time always pays abundantly. On jana pale kwenye kongamano la viongozi wa dini Dodoma. Mshehereshaji Askofu alipotaja jina lake tu makofi ya kumwaga ya kasikika. Wako wengine pale hadhara ilikuwa nzito hata kusikia baadhi ya matamshi yao. Makofi zaidi wakiyapata kwa fadhila za wanafunzi waalikwa.
 
Matumizi mabaya ya "Mstaafu".
Mstaafu n yule muda wake wa kustaafu umefika kutokana na umri.
Bashiru ni aliyekuwa Katibu Mkuu.
 
Siasa za kijinga za Afrika.

Huu upoyoyo ulipaswa kuuacha baada ya kuvunja ungo.

Tuzungumzie ajenda za kimaendeleo na haki za watu na siyo kushiriki vita vya madaraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…