Tetesi: Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Bashiru Ali kutimkia ACT Wazalendo

Tetesi: Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Bashiru Ali kutimkia ACT Wazalendo

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Mti wa banghi hauwashiwi moto!
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Aende tu huyo ACT bila kuchelewa. Bila Magufuli asingefika hapo alipofika.
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Wao ACT siwalimpinga JPM sasa wameanza kuokoteza watu wa JPM [emoji16][emoji16][emoji16] tuliwaambia kuwa jpm ni jiwe haswa wakabisha ....zuzu zitto anasemaje....?
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Huo ni uongo!!!
 
Anatapata tapa Bashiru aka kiongozi wa kutumia dola kubaki kwenye dollar sasa anatumia kwacha na fatanga haha 😄 😆 😂 🤣 8
Katibu wa hovyo kuliko wote ccm
 
Inategemea kama aliisimamia katiba na kuilinda kama kiapo chake kilivyotaka
Kila kitu upita mkuu

Alafu Siasa ni hesabu unadhani ukiteuliwa unapendwa tu mteuaji?

Siasa ni namba na namba zenyewe ni ushindi

Kuna mwanasiasa mmoja hapa Est Africa kateuliwa ila akijua anapendwa kumbe yupo mateka bila yeye kujua 😂

Siasa za East A azieleweki
 
Hii ni ramli chonganishi! Kwa taarifa yako Dk Bashiru Kakurwa hana mipango na siasa za maji taka!

Dk Bashiru Ally Kakurwa ni kiongozi mwadilifu hana mipango ya kupata uwaziri, kugombea ubunge! Wala kuwa na mipango yeyote kwenye uchaguzi mkuu wa 2025.
 
Anatapata tapa Bashiru aka kiongozi wa kutumia dola kubaki kwenye dollar sasa anatumia kwacha na fatanga haha [emoji1] [emoji38] [emoji23] [emoji1787] 8
Katibu wa hovyo kuliko wote ccm
Dk Bashiru Kakurwa hakuwa na makando kando ya kuiba wala kuhujumu mali za chama! Alirejesha mali zote za chama zilizokuwa zimeibiwa chamani na mmoja wa watu waliokuwa wameiba "kujimilikisha" mali za chama ni Nape.

Alirudisha mali zote za chama,ikiwemo maduka,majengo, radio station na TV station, viwanja vya wazi n.k chama kiliongeza mapato kuliko wakati wowote toka chama kianzishwe, alisimamia uchaguzi ndani ya chama kwa utaratibu wa kueleweka!

Alilipa madeni na mishahala ya watumishi wote wa chama ambao walikuwa wanadai malimbikizo yao,aliwapa makatibu wa chama wa wilaya nchi nzima vitendea kazi vya ofisi kikamilifu pamoja na kuwapatia magari ya kisasa ili wafanye kazi zao kwa weredi!

Ndio wakati tuliona makatibu wa wilaya na mikoa wakiandaa na kuitisha mikutano ya adhara kunadi sera za chama.

Ndie aliefanya chama kutotegemea wafanyabiashara na mafisadi bali chama kilijitosheleza na kujiendesha kwa rasilimali zake zenyewe.

Sasa sijui tafsiri yako ya kusema ni katibu wa hovyo inatoka wapi? Au wewe ni muanga uliekuwa umejimilikisha mali za chama!!

Kama sio tueleze ni katibu gani wa chama cha mapinduzi aliewahi kufanya kazi ya angalau ya viwango vya DK Bashiru Kakurwa?
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Ngumu sana!

Wanaomshauri wamwache!!

Alikua katibu mkuu kiongozi aliepitia kipindi kigumu sana hasa ku over see transition ya taifa bila kiongozi mkubwa Hadi kiongozi mpya!!

Kipindi chenye tetesi ya makosa yasiyoshtakiwa mahakamani zaidi ya Muumba mwenyewe aamue hatma yake!!

Atulie ubunge umtoshe TU na arudi udsm akafundishe kule!!!

Itakua rahisi sana kwake Kwa makaburi kufukuliwa na kuzikwa upya!!

Labda kama alienwambia hayo ni katibu mkuu kiongozi mpya au Mama mwenyewe kwa kinywa chake!!

Don't try this doctor!
 
Why?, Jamaa alikuwa CUF damu.
Eti alikuwa Cuf damu!! Dk Bashiru Kakurwa hajawahi kuwa Cuf wala chama chochote cha siasa kabla ya kuwa katibu wa CCM taifa.

Hayo maneno ya kuwa DK Bashiru kuwa ni Cuf ni propaganda za wahafidhina ndani ya ccm ambao walikuwa hawataki mabadiliko na wengi ndio walikuwa wamejimilikisha mali za chama.

Kama wana ushahidi waweke picha yake akiwa Cuf au ushahidi wowote kuonyesha kuwa mtu uyu muadilifu aliwahi kuwa icho chama.
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Bashiru Ally hajawahi kuwa na ushawishi wowote hata kwenye chama chake cha zamani CUF
 
Back
Top Bottom