Tetesi: Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Bashiru Ali kutimkia ACT Wazalendo

Tetesi: Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Bashiru Ali kutimkia ACT Wazalendo

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Kwani kuna mbuge hana gari? Au hujui kama ni mbunge?
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Hata iwapo ataelekea tlp hana athari kwa yeyote🤓
 
Wewe huna akili! DK Bashiru hajawahi kuwa Cuf! Kama una ushahidi weka hapa kuonyesha usahihi wa mawazo yako.

Kuhusu ushawishi Dk Bashiru ana ushawishi mkubwa sana kwa wazalendo wachache waliopo nchi hii, ni muaminifu na muadilifu asie na mfano.

Hajawahi kumiliki mali za utapeli au kufanya siasa za kutafuta riziki kama walivyo wanasiasa wengi ndani ya ccm na upinzani kama Mbowe,zito kabwe,halima mdee! Gwajima, nyarandu,Lema, sugu, Makamba,Nape, na watafuta riziki wengine.
Hakuna sababu ya kumtukana mtu kuwa hana akili kwa sababu tu kasema Bashiru alikuwa CUF. Kwa taarifa yako ni kweli Bashiru alikuwa mwanachama wa CUF ni kwa vile tu hakutaka nafasi ya uongozi alijikita kwenye taaluma yake akiwa mhadhiri hapo mlimani. Kuna wakati Magufuli mwenyewe alikiri kuwa ni kweli Bashiru alikuwa mwana CUF lakini kwa sasa ni mwana CCM.
 
Mkakati wa ACT Wazalendo ni kumtumia Bashiru kufungua maeneo ya kanda ya Ziwa hasa Kagera na Wilaya cha Chato anakubalika sana.
Bashiru amekuwa mpweke kwa kipindi kirefu kambi yake yenye wanaCCM wengi wamekichagua chama cha ACT kwasababu bado kinahitajika kujengwa Tanganyika baada ya kuwekeza Zanzibar kwa muda mrefu.
"baada ya kuwekeza Zanzibar kwa muda mrefu" mkuu, kiliwekeza zanzibar au kilinufaika na u... wa lipumba kuivuruga cuf.
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Kiapo chake hakimruhusu isipokuwa ni kwa kazi maalumu
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Jingaa wee, Mh Bashiru, ni mzalendo , hajawahi kuhitaj Maisha ya Anasa.
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Unazeeka mzee mwenzangu,dalili zako za uzee na Mimi ninazo..mzima lakini!!?
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Ataungana na kina Lisu 🤪🤪

View: https://www.instagram.com/p/C4gFeL6qfc3/?igsh=bnkzZndjeXR1bG1p
 
Bilashaka ipo kwenye mkataba wa yeye na mwajiri.Ila ana stahki zake ambazo analipwa hadi leo.
Ukisema bila shaka ina maana hauna uhakika. Ukisema ana stahiki ina maana una uhakika. Hapa nielewe lipi?
 
Hakuna sababu ya kumtukana mtu kuwa hana akili kwa sababu tu kasema Bashiru alikuwa CUF. Kwa taarifa yako ni kweli Bashiru alikuwa mwanachama wa CUF ni kwa vile tu hakutaka nafasi ya uongozi alijikita kwenye taaluma yake akiwa mhadhiri hapo mlimani. Kuna wakati Magufuli mwenyewe alikiri kuwa ni kweli Bashiru alikuwa mwana CUF lakini kwa sasa ni mwana CCM.
DK Bashiru hajawahi kumiliki kadi ya Cuf wala JPM hakusema kuwa DK ni Cuf! Bali alisema wakati anamchagua DK Bashiru kuwa katibu mkuu wambea walimwambia kuwa uyo mtu ni Cuf.

Taasisi ya urais ina vyombo vingi vya uchunguzi isingekuwa suala rahisi JPM ateue mtu kutoka Cuf awe GC wa chama.
tunaomjua DK Bashiru vizuri hajawahi kuwa Cuf.

Safari ya kisiasa ya DK Bashiru ilianzia mwaka 1995 alipokuwa katibu wa mbunge wa Bukoba vijijini wa wakati huo Marehemu Sebastian kinyondo.

Alipoachia nafasi hio hajawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha upinzani, bali vyama mbalimbali vilikuwa vinamtumia kwa tafiti za kisiasa.

Mara kadhaa alipokuwa hapa udsm ameitwa na kamati kuu ya ccm kutoa mada za kitaalamu kuhusu mwenendo wa siasa hapa nchini. Kama mtaalamu asiefungana na upande wowote kwa wakati huo.
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Chai ya rangi
 
Siku ya wakulima hakuwa anajenga hoja, bali alikuwa analeta nongwa. Enzi zake na Magufuli Kila hoja iliyokuwa inatolewa ya aina hiyo walikuwa wanaita uchochezi. Usitake kuturudisha nyuma kwa huyo tapeli tukikumbuka siasa zao za kihayawani.
Hafai hata kidogo huyu enzi za utawala wao binadam walitoweka kimiili bila kujulikana alafu wanamsifua huku gaidi
 
Back
Top Bottom