NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Nimemsikia Heche akisema saiv ni 18 m.Bashiru Mbunge anapata milioni 12 kwa mwezi .Hela nyingi kulkio ukatibu mkuu wa CCM alikokuwa
Kwakweli ! 🙏Siyo rahisi kama unavyofikiria
Wewe huna akili! DK Bashiru hajawahi kuwa Cuf! Kama una ushahidi weka hapa kuonyesha usahihi wa mawazo yako.Bashiru Ally hajawahi kuwa na ushawishi wowote hata kwenye chama chake cha zamani CUF
Eti alikuwa Cuf damu!! Dk Bashiru Kakurwa hajawahi kuwa Cuf wala chama chochote cha siasa kabla ya kuwa katibu wa CCM taifa.
Hayo maneno ya kuwa DK Bashiru kuwa ni Cuf ni propaganda za wahafidhina ndani ya ccm ambao walikuwa hawataki mabadiliko na wengi ndio walikuwa wamejimilikisha mali za chama.
Kama wana ushahidi waweke picha yake akiwa Cuf au ushahidi wowote kuonyesha kuwa mtu uyu muadilifu aliwahi kuwa icho chama.
Katibu mkuu kiongozi alikuwa kwa mwezi mmoja tu. Sema huyo ni mmoja wa wafaidika wa genge la Magufuli walipokuwa wanapora pesa za wafanyabiashara.Tambua alikua karibu mkuu kiongozi huyo,unadhani ana njaa?
DK Bashiru sio mpumbavu kama unavyofikilia! Ni mtu muaminifu kwa nchi yake! Hana upumbavu wa kufanya siasa za kufurahisha watu.Anafaa Sana kugombea urais Kwa ticket ya ACT wazalendo!!
Katika mbinu ya ccm kugawa kura za Kanda ya ziwa kama mama akiwa mgombea was CCM!!
Ni good strategic move ya ccm kama wakiitumia vizuri!!
inasikitisha sana, inahuzunisha sana. Imekaa kinyonge sana, yaa asie na umuhimu pahali na asiehitajika mahali fulani lakini anaheshimika, akiondoka mwenyewe pekeyake inatia hofu uhai wake kisiasa...Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.
Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.
Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.
Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Sasa hujui kwakua katibu mkuu kiongozi,inamaana mshahara wake bado upo?Katibu mkuu kiongozi alikuwa kwa mwezi mmoja tu. Sema huyo ni mmoja wa wafaidika wa genge la Magufuli walipokuwa wanapora pesa za wafanyabiashara.
Labda kwa vile yeye alitokea CUF,na ACT inahodhiwa na waliokuwa wanachama wa CUF lakini yeye Bashiru itamsaidia nini CUF kwa sasa,bora ale tu mshahara na posho za ubunge hadi 2025.Aende tu huyo ACT bila kuchelewa. Bila Magufuli asingefika hapo alipofika.
Kaa kimya hujui kitu, au mpigie Bashiru akuambie uhusika wake CUF. Hakuwa mwizi Kabla ya kupata madaraka, alipopata ndio tulishudia siasa za kishenzi za kuunga juhudi, na pale ndio hela chafu alizichota.Wewe huna akili! DK Bashiru hajawahi kuwa Cuf! Kama una ushahidi weka hapa kuonyesha usahihi wa mawazo yako.
Kuhusu ushawishi Dk Bashiru ana ushawishi mkubwa sana kwa wazalendo wachache waliopo nchi hii, ni muaminifu na muadilifu asie na mfano.
Hajawahi kumiliki mali za utapeli au kufanya siasa za kutafuta riziki kama walivyo wanasiasa wengi ndani ya ccm na upinzani kama Mbowe,zito kabwe,halima mdee! Gwajima, nyarandu,Lema, sugu, Makamba,Nape, na watafuta riziki wengine.
Ndugai yupi? Huyu huyu aliyeshuhudia YESU na MKE wake wakitembea kutoka Nazareti hadi Bethlehemu??Bashiru na Ndugai ni Mawaziri kwenye Baraza jipya la Mawaziri
Huna unachojua kumhusu DK Bashiru! Nimekwambia weka ushahidi hapa kuonyesha kuwa haliwahi kuwa Cuf! Unalia lia tu!Kaa kimya hujui kitu, au mpigie Bashiru akuambie uhusika wake CUF. Hakuwa mwizi Kabla ya kupata madaraka, alipopata ndio tulishudia siasa za kishenzi za kuunga juhudi, na pale ndio hela chafu alizichota.
Yaani ndugai kiongozi wa mhimili ajishushe hivyo?Bashiru na Ndugai ni Mawaziri kwenye Baraza jipya la Mawaziri
Umekuwa profeki toka lini bosi? Nayule polepole jee? Plofesaiii da-diii 🤣Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.
Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.
Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.
Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Kwani ni Islamic?Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.
Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.
Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.
Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Huyu na Polepole walitajirika sana katika ule mradi haramu wa kununua wapinzani uchwara. Walikuwa wanaweka cha juu wakati mwingine mara mbili ya kile alicholipwa mpinzani uchwara. Magufuli alikuwa na mabilioni aliyokuwa anapora kwenye plea bargain, alikuwa anachota tu ili mradi kuikomoa Chadema. Magufuli alikuwa mpumbavu sana.Katibu mkuu kiongozi alikuwa kwa mwezi mmoja tu. Sema huyo ni mmoja wa wafaidika wa genge la Magufuli walipokuwa wanapora pesa za wafanyabiashara.
Siyo rahisi kama unavyofikiria