GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #41
huyu jamaa nimemsikiliza leo clouds nimeshindwa kumuelewa kabisa.......shafii anajaribu kumuelekeza na kumtuliza lakini jamaa daah munkari ipo juu anajifanya mjuaji sana hadi kero yaani
Katika hali inayoonyesha kuwa sasa kuna uwezekano mkubwa wa kutokea mtafaruku mkubwa kama siyo uadui mkubwa baina ya Shirikisho la Soka Tanzania ( TFF ) na Klabu ya Yanga.
Muda si mrefu katika Kipindi cha michezo cha Clouds fm cha leo Jumapili mchana huu huu Mtangazaji alianza kumuhoji Katibu Mkuu wa TFF Mwesiga kuwa nini kilitokea hadi Yanga ikashindwa kusikilizwa na CAF huku TFF ikiwepo? Majibu ya Katibu Mkuu wa TFF yalikuwa kama yafuatavyo nayanukuu " Ndugu Mwandishi wa Habari sijui mnataka sisi TFF tufanye nini ili hivi Vilabu viridhike. Tuliwataarifu Yanga mapema sana juu ya taratibu za CAF na hadi tukaenda mbele kuwataka Viongozi wa Yanga na hasa kupitia Msemaji wao waende kuhudhuria Kozi za Uongozi na Mawasiliano ambazo huandaliwa na kuratibiwa na CAF lakiki Yanga hawakuenda. Ni suala la aibu sana Mtu ambae hata hajafanya utafiti wa kutosha na hana ufahamu wa kutosha kukurupuka kwenda kubwabwaja katika vyombo vya habari kuonyesha umbumbumbu wake " mwisho wa kumnukuu Katibu Mkuu wa TFF Mwesiga.
Baada ya Mtangazaji huyo kumalizana kumuhoji Katibu Mkuu wa TFF alimgeukia Msemaji wa Yanga Jerry Muro ambae leo alikuwa studioni juu ya hili na majibu ya Jerry Muro yalikuwa hivi namnukuu " Ndugu Mtangazaji kwanza nianze kwa masikitiko makubwa kwa kusema kuwa ni jambo la aibu na la kukera sana kumsikia Mtu mzima kama Katibu Mkuu wa TFF Mwesiga akionyesha jinsi gani yeye sasa alivyo mbumbumbu. Kwanza nimwambie tu kuwa Mimi nina Masters Degree tena ya kutoka USA, Sweden na South Africa na sijasoma na kupata Vyeti vyangu katika hivi Vyuo vyenu vya Manzese. Na si tu kwamba nimesoma sana lakini pia kama Mwesiga anaweza alete hapa Vyeti vyake na Mimi nitoe vyangu kisha tuviweke na muweze kuona Mimi Jerry Muro na yeye Katibu Mkuu wa TFF Mwesiga nani ana akili kumzidi mwenzie na tena anikome kwani naweza kuzidi kumuumbua zaidi ya haya kwani siogopi chochote kwakuwa Yanga ni Timu ya Wananchi na ni wa Kimataifa " mwisho wa kumnukuu Jerry Muro.
Kuna wale ambao huwa mnadhani nakurupuka hivyo basi kwa yoyote aliyesikiliza Kipindi cha Michezo cha Clouds fm cha kila Jumapili ambacho kimemalizika muda si mrefu atakuwa ni shahidi yangu kwa haya niliyoyaorodhesha hapa ila kwa atakayetaka kujiridhisha zaidi anaweza kwenda Clouds fm wakampe audio insert ya Kipindi hicho na haya maneno yao ya shombo yalianza kusikika Saa saba ( 7 ) na dakika 37 na kumalizika Saa saba ( 7 ) na dakika 43 na ukiona bado mgumu kuamini nenda TCRA ambao huwa wanarekodi hivi Vipindi wakupe " mzigo " kamili.
Kituko kikubwa cha aibu ambacho Msemaji wa Yanga amekifanya leo na ambacho hata Watangazaji wa zamu waliokuwepo studioni walikishangaa ni pale ambapo Jerry Muro aliposema kuwa Klabu ya Yanga ni kubwa kuliko Shirikisho la Soka barani Afrika ( CAF ) na kwamba wao Yanga kama Yanga hawatishwi kwa lolote na CAF hivyo basi maamuzi ya Yanga lazima yaheshimiwe na CAF.
Vituko vingine alivyovifanya ni vya kawaida kama vile:
Ni hayo tu na naomba kuwasilisha.
- Alikuwa anang'ang'ania kuongea bila hata mpangilio hadi kuboa kipindi chote.
- Alikuwa anapata ugumu sana kuyatamka maneno ya Kiingereza japo yeye ni wa Kimataifa.
- Amelowesha sana Mic za Studio za Clouds fm hadi sasa wanahangaika kuzikausha japo hawajafanikiwa kwani alikuwa " anapovuka " sana.
- Kila akiongea alikuwa akiwasukuma na kuwapigapiga wenzie hadi kuwa " kero " kwao.
Usitoe habari ili watu wakushangae wew mtoa habari jitahidi watu washangae habari yenyewe.unaongea vitu ambavyo avipimiki unajua kuna maneno ukiyatamka sehemu watu wanapima na kujua namna gani ulivokuwa waki.wewe unahisi shafii au clouds wanajua nini cha kusema leo kila wanalosema uliamini.na pia mtu anatoa clip ya uyo jamaa ili watu wafanyaje sasa unajua usiwajenge fikra watu kwa mambo ya kubuni
Naamini wewe ni mtoto, au ni mkubwa mwenye akili za kitotoHalafu jifunze kutumia ID yako ile iliyozoeleka na kuja kunijibu Mimi kwa ID yako " mbadala " unaonyesha kabisa ni jinsi gani unavyoniogopa na nilivyo tishio kwako na kwa Wanafiki wenzio waliopo. Narudia tena tumia ile ile ID yako usiniogope na kunikwepa kwa ID zingine. Mbona Mimi yangu ni hii hii na siibadili? Ni kweli Muro anaonekana wa maana hasa kwa wenye AKILI kama zake na ndiyo maana hata alipokuwa studioni leo mjengoni Wafanyakazi wa Clouds walikuwa " wanamsanifu " na " kumcheka " tena kwa dharau. Mwisho muulize huyo Muro wako ni kwanini Msemaji wa Simba huwa akialikwa tu pale studioni hupokelewa utadhani Rais Obama katua Tanzania na hadi Wafanyakazi wa Clouds Media Group humfurahia na kumpa ushirikiano? Mwisho nakuuliza unajua MEMO aliyopigwa Dauda na Issa baada ya Kipindi chao kumalizika kwa kitendo chao cha kumualika Studioni Muro huku akikiuka taratibu zote za Utangazaji ambapo Mabosi zao wamepigiwa sana Simu na Wadau ( Wadhamini wa Kipindi ) kumlalamikia kwa jinsi Jerry Muro alivyokiharibu Kipindi kizima cha leo. Rudi tena ukaelimike kisha urudi humu au na Wewe ndiyo " mhanga " wa hizi likizo za Vijana wetu kwa miezi hii?
Unazidisha uongo, Trump huwa hatukani wa AfrikaHalafu huwezi kuamini kabisa Mkuu kuna Watu tena bila hata uso wa " haya " wanajitoa kabisa ufahamu na kuutetea huu " uozo " wake. Sasa nimeshapata jibu kwanini Muwania Urais nchini Marekani kwa ticket ya Republican Ndugu Donald Trump huwa anatutukana Waafrika na kwa aina hii ya fikra hakika Waafrika tunastahili kutukanwa kama siyo kudhihakiwa na Wazungu.
Mkuu kama wewe unajiona ndo unajua kufikiri, kweli Tanzania tuna ttzoMkuu leo nimejifunza kitu kwa Watanzania na hakika bado tuna safari ndefu kufika tu hata robo tatu ya waliotuzidi akina Kenya, Uganda na Rwanda hasa hasa katika nyanja nzima ya KIFIKRA na kujua KUFIKIRI kama siyo kujenga HOJA.
Naamini wewe ni mtoto, au ni mkubwa mwenye akili za kitoto
Mambo ya kupokewa manara kama mfalme , memo walizo pokea watangazaji hazija justfy ulicho kiandika
Na kina zdi kuonesha chuki yako dhidi ya Muro
Siyo kila mtu unadhani yuko shule, tabia yako ya maisha ya kidhahania ndo inaharibu mpaka hoja zako ambazo unadhani ni za msingi
Unazidisha uongo, Trump huwa hatukani wa Afrika
You know nothing unaishi kwa mizuka sana
Punguzaa mkuu, halaf always unajiona uko sawa, tatizo hilo
Ulinijibu vizuri umeharibu hapo nilipoquote.Neno la hovyo la kukujibu lipo lakini ntakutunzia heshima yako.Na labda ukishamjua umasikini wako wa akili na mali ndiyo utakwisha au?
Mkuu kama wewe unajiona ndo unajua kufikiri, kweli Tanzania tuna ttzo
Ulinijibu vizuri umeharibu hapo nilipoquote.Neno la hovyo la kukujibu lipo lakini ntakutunzia heshima yako.
Nilivyo uliza kama hii article muandishi anaweza kua Manara,sababu kubwa ni kwa namna ulivyo conclude kishabiki.Na kutueleza mambo ya uongo likiwemo la mate kujaa kwenye microphones za Clouds.
Wengi wamekuelewa nia yako njema but wakawa disappointed na the way ulivyo malizia kwa kuonyesha chuki za wazi kwa bwana Muro.
Word of advice son,no matter how rich your mind is,your assets are don't disrespect no man.
Ni heri nife kuliko niwe na akili kama zakoKukataa kwako tu kuwa Donald Trump hajawatukana Waafrika ndiko kunazidi tu sasa kunionyesha ni jinsi gani ulivyo absolutely pathetic dull. Kuhusu kujiona niko sawa wala hujakosea Mkuu kwani katika vitu ambavyo vinanipa JEURI na NYODO ni IQ yangu iliyo very extraordinary ambayo nahisi ungebahatika hata tu kuwa nayo theluthi ungemshukuru Mwenyezi Mungu ila yawezekana Mwenyezi Mungu alikuwa na makusudi yake kukuumba kuwa typical lumpen proletariat.
Huna haja ya ku attack ukoo wangu, wewe mi nahis una mattzo wewe mwnyewe na unadhan ukiandka vitu vyako usikosoleweMkuu kama Wewe unaona sijui kufikiri kweli UKOO wako una matatizo sugu.
Ni heri nife kuliko niwe na akili kama zako
Wewe ni conspiracy theorist huna chochote cha maana
Una attack wenzio kwa kujihisi uko perfect wakat, na ww una mambo yako ya ajabi yanayo jionesha humo humo
Donald hajawahi kuwasema waafrika , tena in the sense ambayo kawasema alaf wewe utumie usemi wake huku, wewe huna elim yyte ya uandish wa habari kwa mtindo huo, una claim tuu
Huna haja ya ku attack ukoo wangu, wewe mi nahis una mattzo wewe mwnyewe na unadhan ukiandka vitu vyako usikosolewe
Na ukiandka ujinga tena nakuchana vile vile
Umepotoka kwa hilo mkuu
Sina degree na siyo kila mtu akiandika kimombo ni msomi.Kwani ungemalizia tu kwa Kiswahili nisingejua kuwa na Wewe ni Msomi wa hako Ka degree kako ka " Manzese " alikosema Muro?
Unaona, huo ni ujuhaHebu tulia jifunze kuandika basi kwani unaandika hovyo halafu ningeshauri kama unapenda kutumia Kiingereza basi " tiririka " kwa Kiingereza na kama unapenda Kiswahili basi endelea na Kiswahili kwani kuna UTAFITI uliofanyika uliobaini kuwa Wanaume wengi wenye kupenda sana kuandika andika kwa kuweka maneno ya Kiingereza ni members wazuri sana wa kwa " Magomeni mapipa kwa Macheni " hivyo sitaki kuamini kuwa na Wewe ni mmoja wapo na sasa unawawakilisha humu akina " miba mchicha " wenzio.
Mimi nahisi wewe ni unaandika huku umelewaBora Mimi mwenye ujinga vipi kwa Wewe mwenye " upumbavu? ".
Masters moja inatolewa na nchi 3?