Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,358
- 4,263
Huu mwaka ulikuwa ni wa fitina za kufa mtu na kusagiana kunguni kwa kwenda mbele kuelekea uchaguzi 2024 na 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Babati wanasemaje....Mnyika yu wap siku hizi?
Amepona ukichaa?
Vyupa tuKwani Babati wanasemaje....
Uchaguzi wa mwaka gani mkuu?Huu mwaka ulikuwa ni wa fitina za kufa mtu na kusagiana kunguni kwa kwenda mbele kuelekea uchaguzi 2014 na 2015
Dada yenu mmegeuka?Vyupa tu
Ugaidi wa Mbowe na matunda yake umeyaona hapa Babati
Ova
Zao la Cdm HiloDada yenu mmegeuka?
Watu wa Msdunga..UTWARI
Bebeni mzigo wenu ...mkifika Dabili ..kuna makande pale kwa YudaZao la Cdm Hilo
Dada yake njaa Kali , Na Maredbrigade ( (Mkufunzi wa zamani wa Hicho kikosi)
Kwa tetesi au?Sijutiiiii kuchelewa kulala hahahaha saafi sana
Asante GODBLESS Leam kwa tweet yako ya juzi
Kuwa mama, malezi ya watoto, nyumba na kuhudumia mume hubadilisha mfumo mzima wa maisha hata umri huchangia upungufu wa mambo meeeeengiSijui ni sifuatilii siasa siku hizi au nimezichoka, sielewi!
Una aina flani ya kaunafiki kabaya, hii taarifa kwa mfano ikiwa ya uongo utaweza kuendelea kusimamia unachokiamini?Sishangai, chongolo kwa Ukatibu mkuu alikuwa chongo kweli. Alipwaya sana.
Utakuwa upo busy sana na unakosa uhondo. Maana ukizifuatilia hupati stress 🥰Sijui ni sifuatilii siasa siku hizi au nimezichoka, sielewi!
Muulize FaizaFoxy hapo juu au hujaona alichopost?Kwa tetesi au?
Tetesi na chanzo ni online blogMuulize FaizaFoxy hapo juu au hujaona alichopost?
aliyemkashifu kuwa ana pwaya ni FaizaFoxy ambaye ni kada kindakindaki wa CCM kama wewe, mjibu yeye not meTetesi na chanzo ni online blog
Leo muhusika alikua mwenyekiti wa kikao Cha Sekretariet ya Chama ( kikao Cha maandalizi ya vikao vya Cc na Nec)
Mabadiliko kwenye vyama vya Siasa ni jambo la kawaida nashangaa wanaolipwa kumkashifu Ndg Chongolo