Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo afanya mazungumzo na Zitto Kabwe

yule ni CCM full
 
Ccm walitaka tu hyo picha na zitto na wameigharamia fedha nyingi ili mabeberu waone kuna demokrasia...
 
Kama huwawezi jiunge nao au mnaupinga usemi wetu mkuu wa kiswahilia,sijaona tatizo ikiwa wengine waliomba kwenda Ikulu kfungua kibaraza cha kahawa na watawala hatimae mnajua kinachoendelea serikali kasweka jela mwenyekiti.
 
Zitto ni mwana CCM nje ya CCM
 
Uchumi na demokrasia ipi iliyokuwa ?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zitto ni ccm
Zitto kakutana na katibu mkuu wa ccm kwa cheo chake cha mwenyekiti mpya wa TCD (Tanzania centre for democracy) na ameshatembelea ofisi za chadema na nccr mageuzi
 
zito anajiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni 2025-30!! Na anajua hatma ya Mbowe!!!kikwete alimuandaa zito kuiua Chadema kupitia ACT!!!MISSION ACOMPLISHED!!!
 
Nafikiri Maza atakuwa anataka kumshirikisha kwenye serikali yake.....!!
 
ZT ccm damu
 
Haaa haa just haaa haa..! CCM ndivyo walivyomwandikia Zito cha kusema.😄
Rejea vikaratasi vya waunga juhudi kina Katambi zilivyokua zinatolewa na Polepole,

Zitto alitaka kutuuza CHADEMA, akashindwa.
Lipumba akafanikiwa kuiuza CUF.
 
Reactions: BAK
Wanasiasa wote ni opportunistic tuu awe Zitto,Mbowe na wengine wote
 
Zitto kakutana na katibu mkuu wa ccm kwa cheo chake cha mwenyekiti mpya wa TCD (Tanzania centre for democracy) na ameshatembelea ofisi za chadema na nccr mageuzi

Zitto siku zote anatumika kwa masrahi ya watawala ni ngumu sana kumuamini zitto,
 
zito anajiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni 2025-30!! Na anajua hatma ya Mbowe!!!kikwete alimuandaa zito kuiua Chadema kupitia ACT!!!MISSION ACOMPLISHED!!!

Chadema haitokufa leo wala kesho kila aliyejaribu kuiuwa chadema alikufa yeye, ( MEKO)
 
Ayatollah Zitto ni msaliti sasa maccm yameanza kumtumia wazi wazi. ACT Wazalendo
Aliopokutana na katibu wa CDM Mnyika hakuwa msaliti , Leo kukutana na katibu was ccm ndo usaliti?
Hizi fikra za usaliti kwa kila mtu ni za kijinga tuachane nazo zitadumaza akili za viongozi wa upinzani washindwe kutafuta mbinu mbadala za ushindani
Fikiri ndo mmepewa madaraka alafu kila anaetofoutiana na nyie ni msaliti , si mtawawaliza wapinxani wenu
Tubadili mbinu na mitazamo kama tunajiandaa kupokea serikali
 
Ananikumbusha ya Mongosutu Buthelezi wakati ANC na makundi mengine yakipigania uhuru yeye alikuwa aki-sneak behind na kushirikiana na Makaburu kuwajumu waafrika wenzake. Hizo ni roho za kibinafsi na kutaka kutumia advantage ya kupata madaraka kwa kutumia mgongo wa CHADEMA ndiyo maana kila siku unamuona ni kigeugeu. Kilichopo kichwani kwake yeye ni Cheo na hana falsafa anayoisimamia ambayo unaweza kusema ameiuza kwa wananchi na wameielewa. Mkakati wake muda wote ni kutafuta mahali penye ombwe la uongozi au ombwe la mfumo wa kufanya siasa basi yeye ndiyo anaingia hata kama kwa macho ya kawaida inaonekana ni kujidhalilisha yeye huwa hajali.
 
Zitto alialikwa na CCM kama kiongozi mwandamizi wa TCD au?
 
mambo si mambo zenji.... CCM wameona wakae mezani tena kutafuta muafaka ndani ya muafaka.
 
Mwacheni ZZK aizike CCM rasmi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…