Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
yule ni CCM full"Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini"
Huyu huyu alielia juzi kufanyiwa rafu Zanzibar mpaka jamaa wa CCM akajitoa au Zitto mwingine?!
Nina wasiwasi na hiyo nukuu hapo juu, inawezekana mleta mada umeikosea, tazama tena rekodi zako.
Huyo mnafiki na mdini balaa! Kipindi cha jpm alipopotezewa na rais kila siku kubweka tu!Zitto anapongeza kukua kwa demokrasia nchini? Huyu huyu? 🤣🤣🤣 Eeh sawa.
Zitto ni mwana CCM nje ya CCMZitto siku ya leo tarehe 8.09.2021 amefanya mazungumzo na ndugu katibu mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa niaba ya CCM.
Mazungumzo hayo yaiyodumu kwa zaidi ya masaa 7 yalijadili vitu vingi ikiwemo ushirikiano baina ya vyama vyao. Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini.
Taarifa zaidi inafuata
View attachment 1929653
Zitto kakutana na katibu mkuu wa ccm kwa cheo chake cha mwenyekiti mpya wa TCD (Tanzania centre for democracy) na ameshatembelea ofisi za chadema na nccr mageuziZitto ni ccm
Nafikiri Maza atakuwa anataka kumshirikisha kwenye serikali yake.....!!"Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini"
Huyu huyu alielia juzi kufanyiwa rafu Zanzibar mpaka jamaa wa CCM akajitoa au Zitto mwingine?!
Nina wasiwasi na hiyo nukuu hapo juu, inawezekana mleta mada umeikosea, tazama tena rekodi zako.
ZT ccm damuZitto siku ya leo tarehe 8.09.2021 amefanya mazungumzo na ndugu katibu mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa niaba ya CCM.
Mazungumzo hayo yaiyodumu kwa zaidi ya masaa 7 yalijadili vitu vingi ikiwemo ushirikiano baina ya vyama vyao. Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini.
Taarifa zaidi inafuata
View attachment 1929653
Haaa haa just haaa haa..! CCM ndivyo walivyomwandikia Zito cha kusema.😄"Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini"
Huyu huyu alielia juzi kufanyiwa rafu Zanzibar mpaka jamaa wa CCM akajitoa au Zitto mwingine?!
Nina wasiwasi na hiyo nukuu hapo juu, inawezekana mleta mada umeikosea, tazama tena rekodi zako.
Zitto kakutana na katibu mkuu wa ccm kwa cheo chake cha mwenyekiti mpya wa TCD (Tanzania centre for democracy) na ameshatembelea ofisi za chadema na nccr mageuzi
zito anajiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni 2025-30!! Na anajua hatma ya Mbowe!!!kikwete alimuandaa zito kuiua Chadema kupitia ACT!!!MISSION ACOMPLISHED!!!
Aliopokutana na katibu wa CDM Mnyika hakuwa msaliti , Leo kukutana na katibu was ccm ndo usaliti?Ayatollah Zitto ni msaliti sasa maccm yameanza kumtumia wazi wazi. ACT Wazalendo
Ananikumbusha ya Mongosutu Buthelezi wakati ANC na makundi mengine yakipigania uhuru yeye alikuwa aki-sneak behind na kushirikiana na Makaburu kuwajumu waafrika wenzake. Hizo ni roho za kibinafsi na kutaka kutumia advantage ya kupata madaraka kwa kutumia mgongo wa CHADEMA ndiyo maana kila siku unamuona ni kigeugeu. Kilichopo kichwani kwake yeye ni Cheo na hana falsafa anayoisimamia ambayo unaweza kusema ameiuza kwa wananchi na wameielewa. Mkakati wake muda wote ni kutafuta mahali penye ombwe la uongozi au ombwe la mfumo wa kufanya siasa basi yeye ndiyo anaingia hata kama kwa macho ya kawaida inaonekana ni kujidhalilisha yeye huwa hajali.KATIBU MKUU WA CCM DANIEL CHONGOLO AFANYA MAZUNGUMZO NA ZITTO KABWE
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Ndg. Zitto Kabwe.
Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 08 Septemba, 2021 Makao Makuu ya CCM Dodoma, ambapo Ndg. Zitto aliambatana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho Ndg. Lawrence Malawa.
Pamoja na mambo mengine, Mazungumzo hayo yamelenga zaidi kujitambulisha kwa Mwenyekiti mpya wa TCD Ndg. Zitto Kabwe alieyechaguliwa mwezi Agosti mwaka huu.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Zitto hatunae tena, na hivi timu kikwete zimeshika hatamu, anapiga tu hela za USALITI.Ayatollah Zitto ni msaliti sasa maccm yameanza kumtumia wazi wazi. ACT Wazalendo
Zitto alialikwa na CCM kama kiongozi mwandamizi wa TCD au?KATIBU MKUU WA CCM DANIEL CHONGOLO AFANYA MAZUNGUMZO NA ZITTO KABWE
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Ndg. Zitto Kabwe.
Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 08 Septemba, 2021 Makao Makuu ya CCM Dodoma, ambapo Ndg. Zitto aliambatana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho Ndg. Lawrence Malawa.
Pamoja na mambo mengine, Mazungumzo hayo yamelenga zaidi kujitambulisha kwa Mwenyekiti mpya wa TCD Ndg. Zitto Kabwe alieyechaguliwa mwezi Agosti mwaka huu.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Mwacheni ZZK aizike CCM rasmi.Zitto siku ya leo tarehe 8.09.2021 amefanya mazungumzo na ndugu katibu mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa niaba ya CCM.
Mazungumzo hayo yaiyodumu kwa zaidi ya masaa 7 yalijadili vitu vingi ikiwemo ushirikiano baina ya vyama vyao. Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini.
Taarifa zaidi inafuata
View attachment 1929653