Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Najaribu kuwaza tu walichokuwa wanajadili humo ndani!!
Tume huru sawa
Katiba mpya no.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najaribu kuwaza tu walichokuwa wanajadili humo ndani!!
warundi/wakongo wana asili ya kugeukageuka sana, madalali dalali mnoSijui kwanini sijawahi kumwamini Zitto.
Lile neno 'haaminiki' umbile lake ndio ZuberiSijui kwanini sijawahi kumwamini Zitto.
Zitto ni CCM haswa, aliletwa CHADEMA ili kutufarakanishaAyatollah Zitto ni msaliti sasa maccm yameanza kumtumia wazi wazi. ACT Wazalendo
Hapo wewe ni yupi?
Mseto👇🏾KATIBU MKUU WA CCM DANIEL CHONGOLO AFANYA MAZUNGUMZO NA ZITTO KABWE
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Ndg. Zitto Kabwe.
Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 08 Septemba, 2021 Makao Makuu ya CCM Dodoma, ambapo Ndg. Zitto aliambatana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho Ndg. Lawrence Malawa.
Pamoja na mambo mengine, Mazungumzo hayo yamelenga zaidi kujitambulisha kwa Mwenyekiti mpya wa TCD Ndg. Zitto Kabwe alieyechaguliwa mwezi Agosti mwaka huu.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
The way to freedom and justice is note a bed of roses. The way is infested with all possible filth.Ayatollah Zitto ni msaliti sasa maccm yameanza kumtumia wazi wazi. ACT Wazalendo
Ile shekeli ilishakata? Tuma japo ya sodaZitto ameharibikiwa msameheni bure
Umejuaje ni chadema na sio TLP, CUF, CCM au Tadea?hivi kwanini chadema hupenda sana kumalizia hasira zao za kushindwa kwa zitto? nimeona hii kitu mara nyingi sana
Naam AYATOLAH WA 1 WA ACT WAZALENDOAyatollah Zitto ni msaliti sasa maccm yameanza kumtumia wazi wazi. ACT Wazalendo