Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Itakuwa live channel ten na TBC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angeenda magu akaongee kisukumaMabalozi karibuni Sana Chama Cha kupigiwa mfano Afrika.
Chama kilichoshiriki kuzipatia nchi nyingine za Afrika Uhuru wake.
Hivyo unapozungumza neno UHURU CCM ndiko mahali pake.
Kama angeenda yeye ungesikia akimfokea huyo balozi DON'T FOLLOW FOLLOW ME WITHOUT BCOZ YOU CAN'T ME I'M ANOTHER
Kuna watu sijui ilikuwaje wakazaliwa.
Imagine CCM ilivyowafukarisha Watanzania kwa miaka 60 sasa lakini hawalali usiku kucha kuhakikisha CCM haiondoki madarakani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama angeenda yeye ungesikia akimfokea huyo balozi DON'T FOLLOW FOLLOW ME WITHOUT BCOZ YOU CAN'T ME I'M ANOTHER
Angeenda magu akaongee kisukuma
Kiukweli huu uchaguzi sio wa kijinga na pia naona kuna moto mkubwa mbeleni. Nakumbuka JPM aliongea na mabalozi mwaka huu na kuwahakikishia uchaguzi huru. KM asiende kuongea uongo kila kitu kipo wazi. Kwenye kikao polepole afukuzweLakini mbumbumbu bado wamo tu!
Hakika.Hawa CCM wana Akili Sana Moves zao zina impact kubwa kwenye kuwaletea Ushindi
Lakini Hata hivyo CCM watashinda No way Hata tufanyaje yani
Najua Mtanitukana hapa[emoji28][emoji28]
Huyu aliweka kiswahili iwe kipaombele hata kwenye SADC kwa vile hajui kuongea english ,kuzuga watu ,wasijue akasema kiswahili itumikeTunakitangaza Kiswahili halafu kuongea na mabalozi anaogopa! Lissu ngoja akaongee nao halafu ITV waonyeshe LIVE.
Inamaana hujui kuwa hawa mabalozi wote wakija kuripoti nchini na wanapoondoka hukutana na Rais? Tafadhali usiitese miguu yako bure kubeba hicho kichwa
Ndio maana Kabudi huwa hachezi mbali, anajua mzee jiwe atawasha mashine ya kusaga na hataelewekaInamaana hujui kuwa hawa mabalozi wote wakija kuripoti nchini na wanapoondoka hukutana na Rais? Tafadhali usiitese miguu yako bure kubeba hicho kichwa
Nyie ndio mliowapokea hao mabalozi?Dah jamaa kala kona kachikichia mitini Ras simba anatafuna kodi zetu bure tu.
Nakuhurumia sana. Haya poleeeNdio maana Kabudi huwa hachezi mbali, anajua mzee jiwe atawasha mashine ya kusaga na hataeleweka
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Watu walioishiwa ndio huokoteza maneno sampuli hiyo. Sisi wazalendo wafia nchi tunajua kuwa Rais Magufuli ametuheshimisha sana watanzania na ametoa mchango mkubwa sana kwenye kuineza lugha ya kiswahili duniani.Kama angeenda yeye ungesikia akimfokea huyo balozi DON'T FOLLOW FOLLOW ME WITHOUT BCOZ YOU CAN'T ME I'M ANOTHER
Ni heri atawale hata lipumba au mama sendiga lkn sio kibaraka,kiujumla ni heli kidogo ninachokipata kuliko kumpa kibaraka nikakosa kabisa na natumai waswahili hamjatujua hiyo tar 28 tutafanya nini.Kuna watu sijui ilikuwaje wakazaliwa.
Imagine CCM ilivyowafukarisha Watanzania kwa miaka 60 sasa lakini hawalali usiku kucha kuhakikisha CCM haiondoki madarakani
UsitupangieKiukweli huu uchaguzi sio wa kijinga na pia naona kuna moto mkubwa mbeleni. Nakumbuka JPM aliongea na mabalozi mwaka huu na kuwahakikishia uchaguzi huru. KM asiende kuongea uongo kila kitu kipo wazi. Kwenye kikao polepole afukuzwe
Maji yapo tumboni yanasogea taratibu. Ulishakumbana na kadhia ya kuzama mtoni. Ogopa maji ya puaUsitupangie
Naaaaaam.Hii ni Aibu jamaa angu
Nenda kare'tweet for Lissu kule Twitter unapitwa jamaa [emoji23][emoji23][emoji23]