Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally kuongea na Mabalozi tarehe 15 Oktoba 2020

Endeleeni na upuuzi wenu, sisi tunasonga mbele kwa kishindo zaidi na safari hii mitano hii itakuwa bora zaidi
 
ASKARI POLISI AKIMTIA KIDOLE CHA MAKALIONI ESTHER MATIKO
 

Attachments

  • Screen Shot 2020-10-15 at 08.24.46.png
    48.8 KB · Views: 2
Buku saba huna hata umakini mpaka unajiquote mwenyewe na kujijibu!Hapo utakuwa umesahau kuswitch kwenye ID yako nyingine ya Next Man
 
Bashiru atakuwa na wakati mgumu sana kutetea ufedhuli unaofanywa na chama chake kwa vyama vya upinzani hadi kuandaa intarahamwe kuwafanyia wapinzani ugaidi.
 
Unafanyaje utani kwa kudhalilisha watu?
Wewe ndio umeluchukua hilo kiuanaharakati maandazi, we unewasikia wanawake wenye ngozi nyeusi wakilisemea hilo? Hivi mbona mnapenda sana kuvuruga? Hamtaki watu wawe na amani kabisa
 
Tunaenda kuliziba tundu kwa kujaza ukweli na kuliwekea mfuniko mzito na hatimaye kulifunga kwa makufuli
Kwa hiyo anaenda kuongea na mabeberu pia. Hakuna wasichokijua kwa taarifa yake huyo mkimbizi wa kitusi anayemwakilisha mkimbizi wa kihutu
 
Nadhani atajikita zaidi kueleza mafanikio ya matumizi ya dola miaka 5 ya magufuki na hasa vipindi vyote vya chaguzi za marudio uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu huu
 
kwanza ni dharau mabalozi kwenda kumsikiliza mganga njaa kama Bashiru,mimi ningekuwa balozi ningetuma muwakilishi au sihdhurii kabisa
 
Umekosea kuswitch ID msukule wewe!
Basi sawa bibi mchawi ila tambua huko nafanyiwa maombi na soon uchawi wako wa kuiloga nchi hii na kutuchukua misukule utaisha

NB: hawezi kiumbe wa kawaida kuwasiliana na msukule isipokuwa yule aliyemchukua msukule na Gwaj boy pekee😂😂😂
 
We msukuke wa lumumba sijui hata unaongea madudu gani hapa!Endelea kulamba viatu vya mabwana zako wanaokupa kula hapo Lumumba!
 
That sentence is grammatically correct. I don't see anything wrong with it. His Excellency employed some art in his language while communicating to his fellow. This is called literature.
Your excellency i am preaching to you...but you are not reachable...!
 
Kwani Bashiri ndo mgombea urais, aache kimbelembele...tunamtaka yule mzee wa "we are suppose""we are suppose""we are suppose"
CCM mgombea huwekwa na chama bna chama ndicho msemaji wake kwa mambo yote tofauti na CHadema ambapo unakuta mgombea hata akichemka chama kikipelekewa barua kinakataa kinasema kamupeni hiyo barua mwenyewe!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…