Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
-
- #101
Endeleeni na upuuzi wenu, sisi tunasonga mbele kwa kishindo zaidi na safari hii mitano hii itakuwa bora zaidiAnajua kiingereza? Maana wasomi wa awamu hii ni takataka kabisa viingereza vyao msikilize prof ndalichako na jiwe utajificha chini ya meza.....
"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Ester ameliongelea hili?
Buku saba huna hata umakini mpaka unajiquote mwenyewe na kujijibu!Hapo utakuwa umesahau kuswitch kwenye ID yako nyingine ya Next ManHalafu tutawaambia ambia na ndugu zenu huko nyumbani kuwa hapa kila kitu kipo mahali pake. CCM ina magwiji wa siasa. Tulikuwa tunamuangalia tuu Mr. Much Know akijiona kamaliza kumbe tunamuandalia roba ya mbao vile comrade Bashiru anaongea polepole kila neno litapenya kwenye ngome za masikio ya mabalozi
Wewe ndio umeluchukua hilo kiuanaharakati maandazi, we unewasikia wanawake wenye ngozi nyeusi wakilisemea hilo? Hivi mbona mnapenda sana kuvuruga? Hamtaki watu wawe na amani kabisaUnafanyaje utani kwa kudhalilisha watu?
Umekosea kuswitch ID msukule wewe!Hiyo imefanywa "purposely"
Kwa hiyo anaenda kuongea na mabeberu pia. Hakuna wasichokijua kwa taarifa yake huyo mkimbizi wa kitusi anayemwakilisha mkimbizi wa kihutuTunaenda kuliziba tundu kwa kujaza ukweli na kuliwekea mfuniko mzito na hatimaye kulifunga kwa makufuli
Basi sawa bibi mchawi ila tambua huko nafanyiwa maombi na soon uchawi wako wa kuiloga nchi hii na kutuchukua misukule utaishaUmekosea kuswitch ID msukule wewe!
"If wishes were horses even beggers would ride"kwanza ni dharau mabalozi kwenda kumsikiliza mganga njaa kama Bashiru,mimi ningekuwa balozi ningetuma muwakilishi au sihdhurii kabisa
HahahaWe use to die in ze rake....
We msukuke wa lumumba sijui hata unaongea madudu gani hapa!Endelea kulamba viatu vya mabwana zako wanaokupa kula hapo Lumumba!Basi sawa bibi mchawi ila tambua huko nafanyiwa maombi na soon uchawi wako wa kuiloga nchi hii na kutuchukua misukule utaisha
NB: hawezi kiumbe wa kawaida kuwasiliana na msukule isipokuwa yule aliyemchukua msukule na Gwaj boy pekee😂😂😂
Hapana, kutakuwepo na majogoo aina ya kuchiNa mabeberu watakuwepo?
Your excellency i am preaching to you...but you are not reachable...!Sisi tunagawa majukumu kwa kadiri tuonavyo yafaa
Your excellency i am preaching to you...but you are not reachable...!
CCM mgombea huwekwa na chama bna chama ndicho msemaji wake kwa mambo yote tofauti na CHadema ambapo unakuta mgombea hata akichemka chama kikipelekewa barua kinakataa kinasema kamupeni hiyo barua mwenyewe!!!!Kwani Bashiri ndo mgombea urais, aache kimbelembele...tunamtaka yule mzee wa "we are suppose""we are suppose""we are suppose"