Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Wachina wanaongea kichina kila mahali na hawaoni aibu.Angeenda magu akaongee kisukuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachina wanaongea kichina kila mahali na hawaoni aibu.Angeenda magu akaongee kisukuma
Boss wake kimombo ni changamotoKwani Bashiri ndo mgombea urais, aache kimbelembele...tunamtaka yule mzee wa "we are suppose""we are suppose""we are suppose"
Kabisa Dr mzima anashindwa kutofautisha r & lHana jipya
Chama cha majambazi na weziMabalozi karibuni Sana Chama Cha kupigiwa mfano Afrika.
Chama kilichoshiriki kuzipatia nchi nyingine za Afrika Uhuru wake.
Hivyo unapozungumza neno UHURU CCM ndiko mahali pake.
watu wamekusanya ushahidi mzito wa mipango miovu
Ndoto nyevu zinakusumbuaHawa CCM wana Akili Sana Moves zao zina impact kubwa kwenye kuwaletea Ushindi
Lakini Hata hivyo CCM watashinda No way Hata tufanyaje yani
Najua Mtanitukana hapa[emoji28][emoji28]
Hao Mabalozi wajiandae kudanganywa sana Leo na kupewa vitisho uchwara!Tarehe 15 Oktoba, 2020, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, atakutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini.
Mazungumzo hayo yatafanyika Ofisi Ndogo za Makao Makuu Lumumba jijini Dar es salaam kuanzia mida ya saa nne asubuhi.
Vyombo mbalimbali vya habari vinaalikwa kufuatilia na kuhabarisha Umma katika mazungumzo hayo.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
14 Oktoba, 2020
Chama kilichoshiriki mauwaji ya BenMabalozi karibuni Sana Chama Cha kupigiwa mfano Afrika.
Chama kilichoshiriki kuzipatia nchi nyingine za Afrika Uhuru wake.
Hivyo unapozungumza neno UHURU CCM ndiko mahali pake.
Natamani watu kama wewe bao lake liwe nyeto, huna faida duniani kinyaia mkubwa na pimbi. Yaani huna uzalendo kabisa unashabikia tapeli, kibaraka ndiyo apewe nchi, una akili timamu??? Yaani hata kama huyo pimbi wenu kibaraka angeshinda atafanya kazi na vyombo gani vya ulinzi na msaliti wa nchi anayejulikana kabisa kajipanga kuuza kila kitu na kuhakikisha nchi yetu inakosa maamuzi yake inakuwa chini ya umiliki wa wazungu, yaani watu kama nyie mnatumalizia oxygenKuna watu sijui ilikuwaje wakazaliwa.
Imagine CCM ilivyowafukarisha Watanzania kwa miaka 60 sasa lakini hawalali usiku kucha kuhakikisha CCM haiondoki madarakani
Wataambiwa pia jinsi mbowe alivyojaribu kumuua lisu, pia na ushahidi wa vikundi vya ugaidi alivyoandaa lisu kwa video na audioHao Mabalozi wajiandae kudanganywa sana Leo na kupewa vitisho uchwara!
Move zao zinaimpact kivipi fafanua tupate faidaHawa CCM wana Akili Sana Moves zao zina impact kubwa kwenye kuwaletea Ushindi
Lakini Hata hivyo CCM watashinda No way Hata tufanyaje yani
Najua Mtanitukana hapa[emoji28][emoji28]
Nimekuelewa broHawa CCM wana Akili Sana Moves zao zina impact kubwa kwenye kuwaletea Ushindi
Lakini Hata hivyo CCM watashinda No way Hata tufanyaje yani
Najua Mtanitukana hapa[emoji28][emoji28]
Sisi tunagawa majukumu kwa kadiri tuonavyo yafaaHahaha mgombea yuko wapi kila kitu Bashiru?!
Kwanini asingempisha Bashiru agombee kama hawezi hata kuongea na wageni wake?!
Ramli chonganishi zishindwe na zilegee katika jina la TanzaniaHao Mabalozi wajiandae kudanganywa sana Leo na kupewa vitisho uchwara!
Unafanyaje utani kwa kudhalilisha watu?Hilo ndio tatizo lenu hamshirikishi vichwa kabla ya kusema/kuandika. Nani asiyejua Rais alikuwa anatania ili kunogesha mkutano?
sasa kama mpo huru mbona mnawewesekaNilisema na ninarudia tena, acha kubeba kichwa hicho kama pambo. Nenda Mbeya mjini, Arusha mjini na Ubungo. Fanya maeneo hayo kama sampo.
#maendeleohayanavyama
Mzito Kabwela, sisi ni taifa huru, hatuogopi kwani hakuna tulipokosea. Tumetekeleza kwa kishindo, tunasonga mbele pamoja